Angekuwa ndio Magufuli kapokea report ya CAG leo, naamini angefanya maamuzi haya ya kishujaa...

Angekuwa ndio Magufuli kapokea report ya CAG leo, naamini angefanya maamuzi haya ya kishujaa...

Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.

Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama

Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.

Ngoja tuone
Hebu elewa Jiwe wenu ameshakufa , hivi huwa hamuelewi ?
Screenshot_20210329-000300.png
Screenshot_20210328-233856.png
 
Magufuli alikuwa anashirikiana na deus kakoko kuiba pale bandarini asingeweza kumfukuza kamwe. Kama huamini jiulize baada ya tuhuma za wizi na PM kuwafukuza maafisa wa chini kwanini Magufuli hakuchukua hatua kumfukuza kakoko?
sasa Magufuli aibe billioni 2 ili afanyie kazi gani? Magufuli hawezi kuiba pesa acha kuidanganya dunia haiwezi kukuelewa, tena ukitoka hata ukaenda pale ubongo ukamsema vibaya Magufuli utapigwa mawe.
 
Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.

Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama

Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.

Ngoja tuone

MKuchika huyu tokea mwakaa 60 yupo serekalini analipi jipya?
 
Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.

Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama

Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.

Ngoja tuone
hayo ni maamuzi ya kidikiteta acha kukariri zama zimebadilika mzee
 
Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.

Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama

Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.

Ngoja tuone
Umesahau CAG angefungasha virago kwa kusema ATCL imepata hasara
 
Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.

Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama

Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.

Ngoja tuone
Papara za miaka tano na ushee, mbona mambo yale yale yanajirudia?
 
Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.

Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama

Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.

Ngoja tuone
Pumbafu ashindwe ķuvunja akiwa hai unataka avunje akiwa Marehemu?Mizombie yake mnapata tabu sana,,mama anafuata sheria
 
Unayosema ni kweli kabisa. Usichojua ni kwamba JPM alikuwa mtawala na kaeaida ya watawala hutawala na kuchukua maamuzi kutegemeana na ameamkaje lakini SSH ni Kiongozi na mara zote Kiongozi huongoza kulingana na Sheria zinavyosema. Utamfukuzaje DG ilihali tuhuma hazijachunguzwa?
Wakati Mwingine sheria ugeuka kichaka cha kulinda wezi. Ili uwe kiongozi Imara ni lazima Uchukue hatua hatakama sheria zinamlinda Mtuhumiwa.

Kama Ndugu yetu Magufuli Angefata sheria kudhibiti mambo Ambayo yalitengeneza Wizi na Ufisadi Leo Nchi yetu isingefikia Mafanikio tuliyonayo.

Hivyo namshauri Mama yetu Samia Hasikubali Kushauriwa na wale wanaotaka kujidai Kumshauri Azingatie sheria. Afanye Maamuzi kwa kuzingatia Maslai Mapana ya Nchi Yetu.
 
Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.

Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama

Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.

Ngoja tuone
Iyo ripoti wala usingeisikia ungesikia tu ATCL inaleta gawio
 
Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.

Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama

Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.

Ngoja tuone
Kabla hujafika mbali! Believe or not ya kua Magu asingepewa report hiyo ya jana, Angepewa FAKE ya kusifu na kuunga juhudi...
 
ucwe nguchiro ww,unadhan sheria zmewekwa kwa kubahatisha???huyo mwendazake mnaempamba na sifa ambazo wala hakuwa nazo acheni kukariri
Wakati Mwingine sheria ugeuka kichaka cha kulinda wezi. Ili uwe kiongozi Imara ni lazima Uchukue hatua hatakama sheria zinamlinda Mtuhumiwa.

Kama Ndugu yetu Magufuli Angefata sheria kudhibiti mambo Ambayo yalitengeneza Wizi na Ufisadi Leo Nchi yetu isingefikia Mafanikio tuliyonayo.

Hivyo namshauri Mama yetu Samia Hasikubali Kushauriwa na wale wanaotaka kujidai Kumshauri Azingatie sheria. Afanye Maamuzi kwa kuzingatia Maslai Mapana ya Nchi Yetu.
 
Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.

Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama

Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.

Ngoja tuone
Wanajeshi na Biashara wapi na wapi?
 
Yaan jiwe aliwashka kuanzia akili,mpaka miku nd u yenu pumba fu.

Yaan mliamin yupo safi kila kitu,nawaombeni huo mharisho mliokuwa mmelishwa muutapke
 

Polepole akikokotoa mahesabu kuonyesha zilipo sh. Trilioni 1.5 zilizosemwa na CAG Assad


1617001261820.png
 
Back
Top Bottom