fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Wala si kweli,ingekuwa bado ba kuhusu bei nafuu,sahau bro hakuna duniani kwenye umeme wa bei nafuuHayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app