Angekuwepo Hayati Magufuli bwawa la JNHP lingekamilika Juni 2022 na tungeanza kupata umeme kwa bei nafuu

Angekuwepo Hayati Magufuli bwawa la JNHP lingekamilika Juni 2022 na tungeanza kupata umeme kwa bei nafuu

Badala ya kujibu unakimbilia kutoa lugha za ovyo...

Binafsi nishasema sana hapa kwamba JPM Administration ilijaa UONGO lakini tukaonekana tuna chuki!!

Ripoti ya CAG (Development Projects) ambayo ilitolewa wakati JPM akiwa hai ilieleza mengi kuhusu Bwawa la Nyerere! Na wakati huku mitaani mkidanganywa mambo ni bam bam, ukweli ni pamoja na ufuatao:-

View attachment 2143150

Wakati wewe ukiamini mipesa ipo tu kwa sababu ndivyo mlivyokuwa mnaambiwa, CAG alishindwa kuona bajeti for 2 consecutive financial years.

Bajeti ambayo CAG alithibitisha kuwepo ni kwa 2019/20 and 2020/2021 ambayo unaona hapo TOTAL ni takribani TZS 3 Trillion, wakati Project Cost ni takribani TZS 7 Trillion!

Now endelea kuamini JPM alishatenga matrilions za kumalizia huo mradi!!

Je, baada ya kazi kuanza... mambo yalienda mserereko kama mlivyokuwa mnaambiwa huku mitaani?!

Setback ya kwanza ilikuja baada ya TANESCO kumruhusu Contractor kujenga 1 Diversion Tunnel badala ya 2 kama ambavyo mkataba ulikuwa unase,a. Matokeo yake, iliponyesha mvua, na kutokea mafuriko maji yakapanda juu!

View attachment 2143174

Outcome: Project ika-delay kwa miezi 5
View attachment 2143173



Again, endelea kuamini kwamba angewepo JPM basi mradi ungekamilika by June 2022 wakati tayari setbacks zilishatokea tangu wakati akiwa hai huku mkiambiwa "mambo kama kawa"!!

Je, baada ya ku-delay for 5 months, ina maana mambo ndo yakaanza kwenda kwa mserereko?! CAG mnoko ambae solution yake ilikuwa kuto-renew mkataba wake anaendelea hapa chini"-
View attachment 2143181

E bhana eh!

Kumbe wakati watu wanasubiria kusherehekea Mwaka 2021, mradi ndo kwanza ulikuwa umefikia 28.61%... ikiwa ni delay ya takribani 7 months.

Hapa nakukumbusha tu kwamba, hadi JPM anakutwa umauti, kuna kila dalili mradi ulikuwa hujafikia hata 35% completion rate!!

Je, shughuli zingine zilikuwa zinaenda kwa kasi?!

Summary ya project implantation ni kama inavyoonekana hapa chini:-

View attachment 2143187

Kumbe hadi CAG anaingia mitamboni, kulikuwa na major project components kibao ambazo zilikuwa hata hazijaanza huku zikiwa zime-delay kwa miezi kadhaa! Kuanza kwa ujenzi wa Permanent Bridge kwa mfano, ilikuwa ime-delay kwa zaidi ya Siku 500... sasa yale ma-crane yanayotakiwa kuwekwa kwenye tunnels sijui yatapitia wapi!!

All in all, yote hayo huenda yasingekuwa big issue kama kungekuwa na pesa ya kutosha!! Na hata mwanzoni mambo yalianza kwenda fasta baada ya kuchukua syndicated loans from Trade Development Bank ($ 1 Billion) na Credit Suisse ($0.5 Billion)!

Na hii mikopo inakuja wakati tuna 2 major projects, kwahiyo kuna uwezekano mkubwa ikawa pesa inayopatikana inakuwa distributed kwenye hizo projects 2.

Mikopo mingine ambayo JPM alifanikiwa kuipata kabla hajafariki ni pamoja na mkopo wa $400 Million kutoka UBA.

Hapo ndipo tunarejea swali uliloulizwa na JokaKuu ambalo umejibu kirahisi mno... "mbona kipande cha SGR kutoka Dar to Moro tu, alishindwa kumaliza"?

Sasa endelea kusingizia Wakandarasi na akina Makamba wakati uhalisi ni kwamba, hata wakati JPM anaaga dunia, bado sehemu kubwa ilikuwa haijafanyika!!
Nani asiyekujua wewe mnafiki na mpumbavu kwa data za kupika na kuokoteza kisa tu chuki zako kwa hayati JPM zionekane.
 
Hayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.

Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.

Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
kamfufue ndugu.acha kutupigia mayowe.
 
Hayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.

Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.

Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
Lisingekuwa limeisha ila walau tungekuwa tumefika ata 85%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli, mkandarasi ndio alikuwa analalamika juu ya milima na hali ya hewa kumchelewesha.
Hiyo ni excuse ya kuwapa wakazi wa Chato lakini siyo sisi wenye akili zetu. Mkandarasi alipokuwa anaandika BOQ hakuona milima na kujuaj jiografia ya eneo?
 
Hiyo ni excuse ya kuwapa wakazi wa Chato lakini siyo sisi wenye akili zetu. Mkandarasi alipokuwa anaandika BOQ hakuona milima na kujuaj jiografia ya eneo?
Utumwe mtu mwenye akili na wewe umo? Nani hakujui we bwege? Hujui huwa kuna unforeseen circustamces huwa zinatokea?
 
Mjomba Magu kwa SGR alichemsha sana,
Alikuwa hana plan ya mradi,mwanzo ilikuwa Dar hadi Moro,tena diesel locomotive.Mara akanogewa na mwendokasi ya umeme.Mara akataka ifike Dodoma.Novfinancial plan je hiyo pesa ataipata wapi?Akabaki anasema tutaijenga kwa pesa zetu kwa miaka mingapi?
Hata hilo bwawa la Mwl.Nyerere alichemka kwa kuteuwa mkandarasi fake.
Huyo Arab Contractor wa Misri hana sifa za kujenga mradi mkubwa,kwani hata Asswan dam anayojivunia yeye kama yeye hakujenga bali mafundi wa SOVIET "Urusi kishoka"
Mapungufu ya mkandarasi yamekuwepo toka day one lakini kwa kuwa mradi una elements za kisiasa wakubwa kama Waziri Mkuu walionekana kulalamika kimafumbo.

..hata mimi kandarasi toka Egypt alinipa wasiwasi.

..pia naona Jpm aliweka " mayai yote kwenye kapu moja. "

..nilidhani busara ni kujenga miradi ya medium size ambayo in total ingekupa megawatts sawa na zinazozalishwa na mradi mmoja mkubwa.

..advantage ya miradi ambayo ni medium size ingekuwa ni uharaka wa kukamilisha ujenzi na kuingiza umeme ktk gridi ya taifa.
 
TUNASHUKURU KWA MAJEDWALI. Tunahitaji umeme wa bei nafuu na MRADI HUU UKAMILIKE KABLA YA UCHAGUZI UJAO. HIYO GESI MUIUZE KAMA NI YETU. Hatuwezi kununua umeme wa gesi wa gharama kubwa wakati huu wa bwawa ni nusu ya bei. GESI ITANUNULIWA KWA WINGI MAANA HUKO WANAWEKEANA VIKWAZO VYA KUUZIANA.
Endeleeni kujidanganya kwamba hatimae tutapata umeme wa bei nafuu kutoka JNHPP!!

Nishafafanua hili mara kadhaa kwa indicators za kiuchumi, lakini hata nikiacha mwenendo wa uchumi, turudi kwenye mradi wenyewe!!

Mradi utatumia takribani TZS 7 Trillion... hivi mnadhani hizo TZS 7 Trillion zitalipwa na nani kama sio na watumiaji?! Hadi deni la JNHPP linapungua kwa kiasi cha kuridhisha, kuna uwezekano mkubwa wakati huo hata matumizi ya umeme nchini yakawa yameongezeka!!

Matumizi yakishaongezeka, hizo 2500MW za JNHPP hazitaonekana nyingi tena, na hivyo TANESCO wataendelea na utaratibu ule ule wa ku-discourage matumizi makubwa ya umeme!

Una-discourage vipi matumizi makubwa ya umeme? Very simple... unaongeza bei ili watu waendelee kutumia mkaa kupikia badala ya umeme!!

Nikukumbushe tu kwamba, daladala huwa zinalikwepa Daraja la Kigamboni kwa sababu na lenyewe lilijengwa kwa mkopo, tena mkopo kutoka taaisis ya umma (NSSF) lakini ili pesa ya NSSF iweze kurudi ni lazima magari yawe yanalipia kupita darajani!
 
Nani asiyekujua wewe mnafiki na mpumbavu kwa data za kupika na kuokoteza kisa tu chuki zako kwa hayati JPM zionekane.
Sa' dadangu matusi ya nini?!

Ni frustration za kuachwa na Basha wako marehemu au watoto na mke halali wa marehemu wamekupa vitasa?!

Tafuta mume utulie, kima wewe!
 
Utumwe mtu mwenye akili na wewe umo? Nani hakujui we bwege? Hujui huwa kuna unforeseen circustamces huwa zinatokea?
Msukulue wa Hayati katika ubora wake! Ona unavyoendelea kudhihirisha upumbavu wako! Badala ya kujibu hoja, we kazi ya matusi tu as if hayo matusi yanauzwa.... VERY STUPID!!
 
Endeleeni kujidanganya kwamba hatimae tutapata umeme wa bei nafuu kutoka JNHPP!!

Nishafafanua hili mara kadhaa kwa indicators za kiuchumi, lakini hata nikiacha mwenendo wa uchumi, turudi kwenye mradi wenyewe!!

Mradi utatumia takribani TZS 7 Trillion... hivi mnadhani hizo TZS 7 Trillion zitalipwa na nani kama sio na watumiaji?! Hadi deni la JNHPP linapungua kwa kiasi cha kuridhisha, kuna uwezekano mkubwa wakati huo hata matumizi ya umeme nchini yakawa yameongezeka!!

Matumizi yakishaongezeka, hizo 2500MW za JNHPP hazitaonekana nyingi tena, na hivyo TANESCO wataendelea na utaratibu ule ule wa ku-discourage matumizi makubwa ya umeme!

Una-discourage vipi matumizi makubwa ya umeme? Very simple... unaongeza bei ili watu waendelee kutumia mkaa kupikia badala ya umeme!!

Nikukumbushe tu kwamba, daladala huwa zinalikwepa Daraja la Kigamboni kwa sababu na lenyewe lilijengwa kwa mkopo, tena mkopo kutoka taaisis ya umma (NSSF) lakini ili pesa ya NSSF iweze kurudi ni lazima magari yawe yanalipia kupita darajani!
Huna akili wewe kenge, kwa hiyo kama Tril 7 ikitumika kwenye umeke lazima tulipe gharama kwa kununua umeme? Kwani hakuna source zingine? Pumbavu na elimu ya kukaririshwa upuuzi.
 
Msukulue wa Hayati katika ubora wake! Ona unavyoendelea kudhihirisha upumbavu wako! Badala ya kujibu hoja, we kazi ya matusi tu as if hayo matusi yanauzwa.... VERY STUPID!!
We nishobokee nistalusugua mpaka ukojoe shenzi mkubwa.
 
Nipo mtwara huku huyu mama hawamuelewi ata kidogo nikama hawa masikini wamejikatia tamaa.
 
Badala ya kujibu unakimbilia kutoa lugha za ovyo...

Binafsi nishasema sana hapa kwamba JPM Administration ilijaa UONGO lakini tukaonekana tuna chuki!!

Ripoti ya CAG (Development Projects) ambayo ilitolewa wakati JPM akiwa hai ilieleza mengi kuhusu Bwawa la Nyerere! Na wakati huku mitaani mkidanganywa mambo ni bam bam, ukweli ni pamoja na ufuatao:-

View attachment 2143150

Wakati wewe ukiamini mipesa ipo tu kwa sababu ndivyo mlivyokuwa mnaambiwa, CAG alishindwa kuona bajeti for 2 consecutive financial years.

Bajeti ambayo CAG alithibitisha kuwepo ni kwa 2019/20 and 2020/2021 ambayo unaona hapo TOTAL ni takribani TZS 3 Trillion, wakati Project Cost ni takribani TZS 7 Trillion!

Now endelea kuamini JPM alishatenga matrilions za kumalizia huo mradi!!

Je, baada ya kazi kuanza... mambo yalienda mserereko kama mlivyokuwa mnaambiwa huku mitaani?!

Setback ya kwanza ilikuja baada ya TANESCO kumruhusu Contractor kujenga 1 Diversion Tunnel badala ya 2 kama ambavyo mkataba ulikuwa unase,a. Matokeo yake, iliponyesha mvua, na kutokea mafuriko maji yakapanda juu!

View attachment 2143174

Outcome: Project ika-delay kwa miezi 5
View attachment 2143173



Again, endelea kuamini kwamba angewepo JPM basi mradi ungekamilika by June 2022 wakati tayari setbacks zilishatokea tangu wakati akiwa hai huku mkiambiwa "mambo kama kawa"!!

Je, baada ya ku-delay for 5 months, ina maana mambo ndo yakaanza kwenda kwa mserereko?! CAG mnoko ambae solution yake ilikuwa kuto-renew mkataba wake anaendelea hapa chini"-
View attachment 2143181

E bhana eh!

Kumbe wakati watu wanasubiria kusherehekea Mwaka 2021, mradi ndo kwanza ulikuwa umefikia 28.61%... ikiwa ni delay ya takribani 7 months.

Hapa nakukumbusha tu kwamba, hadi JPM anakutwa umauti, kuna kila dalili mradi ulikuwa hujafikia hata 35% completion rate!!

Je, shughuli zingine zilikuwa zinaenda kwa kasi?!

Summary ya project implantation ni kama inavyoonekana hapa chini:-

View attachment 2143187

Kumbe hadi CAG anaingia mitamboni, kulikuwa na major project components kibao ambazo zilikuwa hata hazijaanza huku zikiwa zime-delay kwa miezi kadhaa! Kuanza kwa ujenzi wa Permanent Bridge kwa mfano, ilikuwa ime-delay kwa zaidi ya Siku 500... sasa yale ma-crane yanayotakiwa kuwekwa kwenye tunnels sijui yatapitia wapi!!

All in all, yote hayo huenda yasingekuwa big issue kama kungekuwa na pesa ya kutosha!! Na hata mwanzoni mambo yalianza kwenda fasta baada ya kuchukua syndicated loans from Trade Development Bank ($ 1 Billion) na Credit Suisse ($0.5 Billion)!

Na hii mikopo inakuja wakati tuna 2 major projects, kwahiyo kuna uwezekano mkubwa ikawa pesa inayopatikana inakuwa distributed kwenye hizo projects 2.

Mikopo mingine ambayo JPM alifanikiwa kuipata kabla hajafariki ni pamoja na mkopo wa $400 Million kutoka UBA.

Hapo ndipo tunarejea swali uliloulizwa na JokaKuu ambalo umejibu kirahisi mno... "mbona kipande cha SGR kutoka Dar to Moro tu, alishindwa kumaliza"?

Sasa endelea kusingizia Wakandarasi na akina Makamba wakati uhalisi ni kwamba, hata wakati JPM anaaga dunia, bado sehemu kubwa ilikuwa haijafanyika!!

..asante kwa majibu yako ambayo umeyatetea kwa USHAHIDI wa data na vielelezo toka vyanzo vya serikali.

..tatizo la vijana wengi tunaojadiliana nao hapa JF ni kuamini zaidi ktk propaganda za Ccm kuliko ukweli na uhalisia.
 
Huna akili wewe kenge, kwa hiyo kama Tril 7 ikitumika kwenye umeke lazima tulipe gharama kwa kununua umeme? Kwani hakuna source zingine? Pumbavu na elimu ya kukaririshwa upuuzi.
We nishobokee nistalusugua mpaka ukojoe shenzi mkubwa.
Dadangu uwe unajibu unachoulizwa...

Nimekuuliza:-

Sasa matusi ya nini dadangu?

NI frustration za kuondokewa na basha wako marehemu au watoto na mke halali wa marehemu wamekupa vitasa?

Anza na hayo maswali, kima wewe!!
 
..asante kwa majibu yako ambayo umeyatetea kwa USHAHIDI wa data na vielelezo toka vyanzo vya serikali.

..tatizo la vijana wengi tunaojadiliana nao hapa JF ni kuamini zaidi ktk propaganda za Ccm kuliko ukweli na uhalisia.
Na ni ripoti ya serikali yao ile ile ambayo wamekuwa wakiimba lakini bila aibu, mtu anakuambia data za kupika!!

JPM aliwakamata hawa watu kwa sababu alishafahamu wengi wao ni vilaza wenye uwezo mdogo sana wa kuweza kutofautisha hata rangi...
 
Dadangu uwe unajibu unachoulizwa...

Nimekuuliza:-

Sasa matusi ya nini dadangu?

NI frustration za kuondokewa na basha wako marehemu au watoto na mke halali wa marehemu wamekupa vitasa?

Anza na hayo maswali, kima wewe!!
Nimekuambia nitakusugua mpaka ukojoe, we nishobokee.
 
Back
Top Bottom