JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Hata yeye alikuwa hizi,tender za tanlosds zote zilienda kwa kampuni yake ya mayangaHivi madini ya pesa nyingi kamaa hizi yanatoroshwa na kwenda kuunzwa nje mamlaka husika hazina taarifa, huu ni uzembe mkubwa sana.
Taifa linaibiwa rasilimali zake kama shamba la bibi.
Hayati JPM alidhibiti haya mambo. Maana huko nyuma hata Nairobi ndio ilikuwa soko kubwa la dhahabu ya Tanzania na ilikuwa inatoroshwa kama pipi.
Leo hii ruby ya bil 240 na ushee inatoroshwa kama vile mtu anavusha ubwabwa kwenye hotpot?
Kama angekuwepo hayati JPM vyombo vya ulinzi vingekuwa makini zaidi. Huu uzembe usingefanyika kabisa.
Je unajua imetoroshwa nchini lini? Inawezekana ilikuwa mafichoni muda mrefu tu! Vitu vya wizi vinahifadhiwa muda mrefu mpaka mambo yatulie ndiyo vinatolewa hadharani.Hivi madini ya pesa nyingi kamaa hizi yanatoroshwa na kwenda kuunzwa nje mamlaka husika hazina taarifa, huu ni uzembe mkubwa sana.
Taifa linaibiwa rasilimali zake kama shamba la bibi.
Hayati JPM alidhibiti haya mambo. Maana huko nyuma hata Nairobi ndio ilikuwa soko kubwa la dhahabu ya Tanzania na ilikuwa inatoroshwa kama pipi.
Leo hii ruby ya bil 240 na ushee inatoroshwa kama vile mtu anavusha ubwabwa kwenye hotpot?
Kama angekuwepo hayati JPM vyombo vya ulinzi vingekuwa makini zaidi. Huu uzembe usingefanyika kabisa.
WEWE NI MPUMBAVU .Jpm alikua jizi kuliko Raisi yoyote Tz, na wizi wake ulikua unafanywa na watu wake wa ndani very selective
Wee mjinga, Sheri hizo zipo tangu lini????Dunia ya Leo unategemea mtu Mmoja kuendesha nchi badala ya Sheria?
Ujinga tupu, No usimamizi Bora wa JPM ndio pekee umekuja kufanya Sekta ya Madini kuchangia Pato kubwa la TaifaMbona hata JPM alipokuwepo watu walikua wanaiba madini wakipitisha chini ya ukuta aliojenga? Ufisadi haukuwahi kuisha Tanzania tofauti ni kwamba JPM alikua hapendi media kuongelea haya mambo maana aliona kama yanachafua serikali yake.
Hata wewe tu nikikuuliza kuna ripoti yoyote ya CAG imewahi ona hakuna wizi kabisa? JPM alichukua hatua Gani kwa watu wa TASAC kulipana mabilioni ya posho Kila mwaka? Alichukua hatua Gani kwa mafisadi wakina lugola? Nchambi alichukuliwa hatua Gani kwa ujangili wake? Kina sabaya na makonda waliopita watu pesa walichukuliwa hatuaa Gani? Walioiba makinikia walichukuliwa hatua Gani kina chenge na kafumu n.k? Tuliambiwa Acacia ni majizi na Mwanyika akaitwa fisadi kivipi alipewa ubunge na JPM? Au ufisadi uliisha alipojiunga CCM?
Msimkuze sana JPM ufisadi CCM haukuwahi kuisha na hautaisha mpaka siku muamke na kuitoa madarakani. Nyie mko busy kumshambulia Mama Samia ila mchawi mnajifanya hamumuoni!!
Funny
UFISADI WA JPM UKO WAPI???Rais fisadi kuliko wote waliowahi kutokea Tanzania
Mbaya zaidi alikuwa muuaji
Na ingetoroshwaje ???? Ni mpuuzi tu ndo anaweza puuza usimamizi Bora wa JPM katika Maliasili za Taifa hili.Wakati wa jiwe, tusinge jua kabisaa kama imetoroshwa.
Nani angethubutu kusema?
Hawa makamanda uchwara ni wakuwaacha kama walivyo....Mbona mnajifanya wapuuzi na ukweli uko wazi?...
Kama huna ushahidi wa unachokiandika, kaaa kimya usijiondolee hata hako ka heshima kadogo ulikonako, TutakupuuzaLete wewe ushahidi kwamba hakuwa jizi
Hiyo ruby haikutoka TanzaniaJikite kwenye mada
We kibumbu kweli.Hiyo ruby haikutoka Tanzania
kasome ripoti ya CAG
Ko ukipanga wizi ukidakwa sio kosa? Adhabu ya mwizi ni kutumbuliwa sio kutupwa ndani na kufilisiwa?Lugola alipiga dili zimamoto na likakamilika? Mbona alimtumbua
Ko fisadi anapewa ubunge?Ishu ya Nchambi ilikuwa mahakamani ulitaka afanyeje?
Si mahakama ilimkuta Sabaya ana hatia..... Kwani JPM hakujua hayoSabaya na Makonda?
Si JPM alisema Mwanyika ambaye alikua VP Acacia! Alitusababishia hasara ya Trillion 450+ je hakuwa fisadi?Mwanyika na ufisadi wa mali ya umma wapi na wapi?
Unajua ilitoroshwa lini??..Hivi madini ya pesa nyingi kama hizi yanatoroshwa na kwenda kuuzwa nje mamlaka husika hazina taarifa, huu ni uzembe mkubwa sana.
Taifa linaibiwa rasilimali zake kama shamba la bibi.
Hayati JPM alidhibiti haya mambo. Maana huko nyuma hata Nairobi ndio ilikuwa soko kubwa la dhahabu ya Tanzania na ilikuwa inatoroshwa kama pipi.
Leo hii Ruby ya bilioni 240 na ushee inatoroshwa kama vile mtu anavusha ubwabwa kwenye hotpot?
Kama angekuwepo hayati JPM vyombo vya ulinzi vingekuwa makini zaidi. Huu uzembe usingefanyika kabisa.
Mbona imesemwa hilo jiwe jamaa analimiki tangu 20018? Kwani wakati huo Rais alikuwa nani?Hivi madini ya pesa nyingi kama hizi yanatoroshwa na kwenda kuuzwa nje mamlaka husika hazina taarifa, huu ni uzembe mkubwa sana.
Taifa linaibiwa rasilimali zake kama shamba la bibi.
Hayati JPM alidhibiti haya mambo. Maana huko nyuma hata Nairobi ndio ilikuwa soko kubwa la dhahabu ya Tanzania na ilikuwa inatoroshwa kama pipi.
Leo hii Ruby ya bilioni 240 na ushee inatoroshwa kama vile mtu anavusha ubwabwa kwenye hotpot?
Kama angekuwepo hayati JPM vyombo vya ulinzi vingekuwa makini zaidi. Huu uzembe usingefanyika kabisa.
ww umeandika jambo jema lkn unaonyesha una ka damu ka sukuma gang !Hivi madini ya pesa nyingi kama hizi yanatoroshwa na kwenda kuuzwa nje mamlaka husika hazina taarifa, huu ni uzembe mkubwa sana.
Taifa linaibiwa rasilimali zake kama shamba la bibi.
Hayati JPM alidhibiti haya mambo. Maana huko nyuma hata Nairobi ndio ilikuwa soko kubwa la dhahabu ya Tanzania na ilikuwa inatoroshwa kama pipi.
Leo hii Ruby ya bilioni 240 na ushee inatoroshwa kama vile mtu anavusha ubwabwa kwenye hotpot?
Kama angekuwepo hayati JPM vyombo vya ulinzi vingekuwa makini zaidi. Huu uzembe usingefanyika kabisa.
Hawana document yoyote kuonyesha kuwa ile ruby imeoriginate tz..We kibumbu kweli.
Umeniwahi mkuuMbona inasemekana imetoroshwa mwaka 2016 au 2019