zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Acha uongo bei ya dhahabu iliporomoka since 2014 imekuja kustabilize 2018/19 Wala haina connection na JPM.Ujinga tupu, No usimamizi Bora wa JPM ndio pekee umekuja kufanya Sekta ya Madini kuchangia Pato kubwa la Taifa
Mbona mnajifanya wapuuzi na ukweli uko wazi?.
Sent from my V2118 using JamiiForums mobile app
In fact Bado 84% ya pesa ya madini unaenda kwa Acacia!! Hiyo 16% ndio ipandishe GDP? kumbuka hyo ni kampuni mpya mpka ije kubreak even unadhani ni Leo au kesho tuanze kupata hta gawio Hilo dogo??
Mtaji wa CCM ni watu wasio na Elimu kama wewe.