Angekuwepo Hayati Magufuli Ruby ya bilioni 240+ isingetoroshwa. Taifa litaibiwa sana rasilimali zake

Rais fisadi kuliko wote waliowahi kutokea Tanzania

Mbaya zaidi alikuwa muuaji
bado nashangaa sana Rais Magufuli alikuwa muuaji ukimaanisha nini. Unafahamu historia ya nchi hii kweli? Unafahamu habari za Mwangosi, je unafahamu habari za Mauaji ya Kipindi cha Rais Mkapa?
 
Jana kwenye IG page,Msigwa alipost Kwa furaha Ile taarifa ya African News...... kuonyesha hiyo Ruby....Leo katoa baada ya kusikia waziri anajibu bungeni hawajui na wanafuatilia imefikaje........kifupi nchi yetu ni ya kijinga sana.....nadhani Kwa Dunia nzima inawezekana Tz ndiyo nchi yenye uongozi usiojali rasilimali zake duniani.......


Neno uzalendo halipo kabisa
 
Wee mjinga, Sheri hizo zipo tangu lini????


Nani anazisimamia.

Sibora JPM aliyeamua kupiga Rula!!.

Ok SHERIA zipo, nani azisimamie ????

Sent from my V2118 using JamiiForums mobile app
Ww ni mpuuzi huyo magufuli Yuko wapi? Nchi haiwezi kuongozwa na mtu Mmoja aliyejuu ya Sheria.

Ndo maana ripoti ya CAG imeibua madudu mengi yaliyotokea awamu ya tano.
 
Vipi zile dhahabu alizoleta uhuru kenyata zilifikaje kule kenya wakati magufuli alikuwepo au wewe ni msahaulifu?
 
Unatumia makalio na mavi kichwani kwani .
 
Watu wanasema tulitangazwa bure kwenye jengo la dubai..
 
Unatumia makalio na mavi kichwani kwani .
Mavi kichwani ni ulichoandika na nikajikuta nalazimika kukijibu. Magufuli alikuwa binadamu wa kawaida tu.

Mnavyoendelea kujikomba kwake hata akiwa ndani ya kaburi lake tena zaidi ya mwaka mnajishushia heshima.

Kama akili ipo sawa sawa inafaa ujiulize kwanini unatumia nguvu kubwa kumtetea mpaka unakuja kutukana wakati yeye sio sehemu ya walio hai muda huu.
 
Wakati linatoroshwa waziri wa madini alikuwa udom akisoma Phd
 
Nyinyi si mlikuwa mnashangilia Burj Khalifa kupambwa kwa rangi za bendera ya nchi mlijua kuna vya bure.Liweni kidogo ili na nyinyi mle kwa urefu wa kamba yenu.

Habibi come to Dubai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…