Angekuwepo Hayati Rais Magufuli Kamwe Asingekubali Haya Yatokee

Sasa kama alifuga mafisadi kwenye utawala wake utasemaje alifunga mafisadi? Mafisadi gani ambao Magufuli aliwafunga? Kikwete aliwafunga Mramba na Yona, yeye alimtia mwanasiasa kigogo gani hatiani akafungwa
Ckia we makonda, sabaya Ni wanyang'anyi sawa waliwapora mafisad,wazung wa unga, pesa na Mali na hii ndio sabab waliachukiwa na matajir wa taifa,
Hakuna aliefisad nchi kwa kutumia pesa kwa manufaa binafs kpnd Cha magufuli na angetokea angefungwa maan weng waliojarib walifunguliwa kesi za uhujum uchumi na kusimamishwa au kufukuzwa kabsa
 
Achana NAO wafuga Ngombe
 
Haki zao ndio zipi Jiwe alipoteka kuua kupora ulilalamika wapi Wacha CHUKI Kwa mama Jiwe NI alikua Dikteta WA Zama HIZI
Kiufupi MUNGU KAMALIZA UGOMFI FULL STOP
 
Una kanyangwa wewe

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 


Asingekubali asingekubali !!!--- unawezaje kumsemea marehemu??!!, umejigeuza wewe Mungu na ujue yale yangalikuwepo ndani ya nafsi ya marehemu kama angekuwa hai??!!, wewe umejuaje kama angefanya hivyo unavyodhani??!😏

kukufuru sio lazima umkanushe Mungu bali hata kujivika sifa zake usizostahili ni kufuru pia.
 
Oneni mwendawazimu huyu!

Halafu hii nchi ina watu wa ajabu sana ukimuondoa Mangi Kimambi basi namba mbili ni wewe!

Hivi umesoma kwa kina huu uzi na ukauelewa???

Haya hao wafanyakazi unaowasema leo wananini? Gharama za maisha zimepanda mara dufu hakuna anayechukua hatua ila kusingizia vita sijui nn.
 
Ukilinganisha na haya yanayoendelea, mwamba alikosea kuwa mpole sana, alitumia lugha ya kuremba remba! Haya mang'ombe ukiyazungumzisha huwa hayaelewi, ni viboko na mbwa tu ndo wanajua njia ya kupita!
Kinyume chake, mwamba mpaka kesho watu wanamsema vibaya humu jamvini. Hakucheka na kima hata kidogo hakutaka ujinga katika taasisi za kiserikali.
 
Wameongeza Tozo kwenye kutoa pesa bank yaani huyu jamaa alietumbuliwa Kigoma na kurudishwa kupewa sekta nyeti anaharibu Nchi na huku Mama akimuangalia inaumiza sana kwa kweli...
 
Haki zao ndio zipi Jiwe alipoteka kuua kupora ulilalamika wapi Wacha CHUKI Kwa mama Jiwe NI alikua Dikteta WA Zama HIZI
Kiufupi MUNGU KAMALIZA UGOMFI FULL STOP
Dega, Dega, Dega. ID name yako ni tofauti kabisa na mawazo yako. Mimi ni miongongozi ya wengi waliopiga kelele sana kuhusu udiktekta na uongozi mbovu wa Magufuli. Infact bado natamani hata sasa iundwe tume huru kuchunguza na kila aliyehusika apate haki yake. Mama Samia sina chuki naye kabisa ila huwa nakosoa penye kasoro ili tusudi tena kule tulikotoka. Anachotakiwa kufanya ni kufumua na kusuka upya mfumo wetu wa uongozi ASAP! Wakati wa kuanza ni sasa na siyo kesho! Historia imetuonyesha kuwa hatujui ya kesho (rejea Magufuli).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…