Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Nina kiasi mkuu.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kazi kweli kweli kwahyo na wewe Huwa huachi?
Hivi si walikuwa mapacha?! Angel ana pacha wake namfahamu tokea vidudu labda kama nimejichanganya.Anakaribia kufikisha watoto watano na wanaume tofauti tofauti.
Ila kabla ya kuwa mwimbaji wa gospel alianzaga kwanza na bongo flavor ila haikumtoa ndio akaingia gospel
We ni mkenya?!Kuwa na umbo kama unavyoliona sio sababu ya kutengenezewa nguo mrqdi nguo tu, kuna watu kama Mobetto wana maumbo ya kawaida lakini wanashonewa nguo akivaa unapata ana hips kama Sanchoka...
Kwenye fashion design huwa inafundishwa kuwa, every designer must know their customers na wajue kitu wanapaswa wadesign kwa kila mteja...
Ndio maana unapata kuna designers wa wanaume, wanawake, wanamichezo, marais, costume designers etc...
Unaweza kuta dada alienda kwa fundi wa nguo za kiume kutengeneza gauni la sherehe...
MuhandoRose Mushi au Rose Muhando?
π€£π€£ una kadi ya Chama Cha Mapinduzi nikuoe? Ni kweli mwanamke wa miaka 28 ana-match na wa kuanzia 36.Mimi mwanaume wangu anizidi hata miaka 10 sio kunizidi umri tu pia napenda anizidi hata dhambi aisee[emoji28][emoji28][emoji28]
Hapa namaanisha upige kavu halafu umwagie ndani.. kupiga na ndom ni kama kuna vitu vinakuwa havijakamilika.Kwani pa kikojolewa ni wapi kama sio mle mle ndani π
Kukojolea ndani ni jadi ya wanaume hasa wa Kitanzania
[emoji28][emoji28][emoji28]ninayo kadi[emoji1787][emoji1787] una kadi ya Chama Cha Mapinduzi nikuoe? Ni kweli mwanamke wa miaka 28 ana-match na wa kuanzia 36.
Wanaume wote mnafanana aiseeNina kiasi mkuu.
Sifahamu huyo pacha wakeHivi si walikuwa mapacha?! Angel ana pacha wake namfahamu tokea vidudu labda kama nimejichanganya.
Halafu hao wanaopiga na ndom ni sawa tu wapiga nyeto.Hapa namaanisha upige kavu halafu umwagie ndani.. kupiga na ndom ni kama kuna vitu vinakuwa havijakamilika.
Wewe si ni ke wewe utaoaje ke mwenzio?π€£π€£ una kadi ya Chama Cha Mapinduzi nikuoe? Ni kweli mwanamke wa miaka 28 ana-match na wa kuanzia 36.
Muda Huu Ameshafunga Ndoa Pia Anajiandaa Kuachika Ili Aolewe Tena
Amejipanga
We ni mkenya?!
Mmmh hizi ni storee kama storee zingine...hapo kwenye keki kuwa pesa nimecheka sana [emoji16][emoji16]Si unajua wanawake tukishazaa? Yeah wengi wanasema physically Rose ni mzuri zaidi
Nakubaliana na hilo kabisa. Ndiyo maana Pastor Rose anaonekana mkubwaMwanamke aliyezaliwa mwaka mmoja na mume lazima baada ya miaka michache aonekane mkubwa. Mke angalau umzidi miaka 5. Huwa nawaambia vijana wadogo kwamba hao girlfriend zenu sio wake zenu mmewashikia tu watu
Hasa huyo roseHuyo Rose atakuwa na 40 + aisee.
Kwa mnataka kumnyang'anya mumewe kijana?Hasa huyo rose
[emoji28][emoji28][emoji28]Wewe si ni ke wewe utaoaje ke mwenzio?
Mwanaume huyu siunaona mwandiko wa mwanaumeWewe si ni ke wewe utaoaje ke mwenzio?
Anae ila nashangaa simuoni kabisa. Ni identical twins ukimuona wamefanana kama majogoo.Sifahamu huyo pacha wake