Angel Benard aolewa mara ya pili

Anakaribia kufikisha watoto watano na wanaume tofauti tofauti.
Ila kabla ya kuwa mwimbaji wa gospel alianzaga kwanza na bongo flavor ila haikumtoa ndio akaingia gospel
Hivi si walikuwa mapacha?! Angel ana pacha wake namfahamu tokea vidudu labda kama nimejichanganya.
 
We ni mkenya?!
 
[emoji1787][emoji1787] una kadi ya Chama Cha Mapinduzi nikuoe? Ni kweli mwanamke wa miaka 28 ana-match na wa kuanzia 36.
[emoji28][emoji28][emoji28]ninayo kadi
Gap linasaidia wanawake tunachoka fasta pia we grow fast in our mind that's why napenda mtu aliyenizidi Kila kitu kwanza ni ngumu kusumbuana hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…