Angel Benard aolewa mara ya pili

Na huu uchafu huu wanajificha eti wasisemwe kisa ni watumishi
Na uchafu unaanzia ngazi za juu kabisa dayosisi ya mwanga msaidizi wa askofu ana mtoto nje ya ndoa na katelekezwa milimani huko yaani mtu ana dhambi kama zote kuzini kuzaa nje ya ndoa na kutelekeza mtoto ili asijulikane ila dunia haina siri
 
Mamy sadaka za changizo hata mitume akina Paulo walizikusanya. Bado suala la aac no na sadaka ulivyoongelea si hoja
 
Na uchafu unaanzia ngazi za juu kabisa dayosisi ya mwanga msaidizi wa askofu ana mtoto nje ya ndoa na katelekezwa milimani huko yaani mtu ana dhambi kama zote kuzini kuzaa nje ya ndoa na kutelekeza mtoto ili asijulikane ila dunia haina siri
Wanasikitisha sana si heri huko Kuna dayosisi anaweza dhibitiwa Sasa Hawa manabii watenda miujiza fake ni waharibifu mno
 
Dah hyo kumuogopa Mungu waambie hao wazinzi waone aibu kumtania Mungu kumbe wezi tu wakutesa maskini huku wao wachafu.
Mimi Huwa sili hata ugali
Unaonekana ni mlaji sugu wa ugali. Hata ukila wali huna tofauti na mlaji ugali tu[emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…