Kweli kabisaMaigizo ni mengi,kanisa ni biashara
Na uchafu unaanzia ngazi za juu kabisa dayosisi ya mwanga msaidizi wa askofu ana mtoto nje ya ndoa na katelekezwa milimani huko yaani mtu ana dhambi kama zote kuzini kuzaa nje ya ndoa na kutelekeza mtoto ili asijulikane ila dunia haina siriNa huu uchafu huu wanajificha eti wasisemwe kisa ni watumishi
Mamy sadaka za changizo hata mitume akina Paulo walizikusanya. Bado suala la aac no na sadaka ulivyoongelea si hojaMungu kawaita wapi sasa?,Wao ndo wamekamata fursa.Eti Mungu kawaita hizo banc account number wanaweka za nini?Mpesa sijui Airtel money.Mungu angewaita kweli wangesubiri waumini wajitolee wenyewe kuwapa hela na si kila siku kusisitiza tuma sadaka yako Mpesa .......
Unaopoa malaya tu desperate walio pale kutafuta waume n not otherwiseKwani humo mnashindaga wenyewe,,, na sie tunatoa ushuhuda kwa wapendwa tunaopoa
Acha kutafuta cheap popularityDuuh kumbe nimezeeka [emoji24][emoji24][emoji24] rose tumesoma shule moja A level
Kwahyo humu JF kote ni stress maana watu wanajadili mada nyingi tu [emoji28][emoji28]Bongo watu wana stress duuh. Maisha magumu mpaka watu wanawasakama wenzao kiasi hiki... ukiambiwa uthibitishe kuwa ni changu utaweza?
Ule ni mpango mkakati wa DGSE baada ya hesabu za mpango kazi kumkataa katika baadhi ya mambo Marine le Pen.Raisi wa France kazidiwa miaka zaidi ya 15 na mke wake hii imekaaje mkuu ?
Tena waumini wa aposto ni wamama wenye shida kweli hafu Huwa wanaambiwa watoe sadaka ya kujimaliza unakuta hawana hata nauli ya daladala kumbe sadaka zajenga mijengo.Sadaka zinajenga mahoteli huko. Wao wanakauka tu.
Ndio maana Mackenzie akaona awashindishe njaa wafe tu. Watu gani hawazinduki?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji2][emoji2]Wapendwa wanamakasiriko hao
Wanasikitisha sana si heri huko Kuna dayosisi anaweza dhibitiwa Sasa Hawa manabii watenda miujiza fake ni waharibifu mnoNa uchafu unaanzia ngazi za juu kabisa dayosisi ya mwanga msaidizi wa askofu ana mtoto nje ya ndoa na katelekezwa milimani huko yaani mtu ana dhambi kama zote kuzini kuzaa nje ya ndoa na kutelekeza mtoto ili asijulikane ila dunia haina siri
Mungu Mkuu muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo.Kuchaguliwa na Mungu yupi?![emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wapendwa wanamakasiriko hao
SawaNitasema kweli daima fitina kwangu mwiko Hawa watumishi type ya Mackenzie wafichuliwe tu ni waharibifu wa jamii na wauaji Kwa uongo
Kha[emoji28][emoji28][emoji28]huo si mfano mjini mipango wewe loh
Shkamoo Bina
Unaonekana ni mlaji sugu wa ugali. Hata ukila wali huna tofauti na mlaji ugali tu[emoji38]Dah hyo kumuogopa Mungu waambie hao wazinzi waone aibu kumtania Mungu kumbe wezi tu wakutesa maskini huku wao wachafu.
Mimi Huwa sili hata ugali
Kwa mda hii zaidi ya 90% ni njaa tu na stress hakuna kingineKwahyo humu JF kote ni stress maana watu wanajadili mada nyingi tu [emoji28][emoji28]
Kwani anaa ndoa ngapi? Ndoa ikishavunjwa bado huitwa ndoa tu!?Bible inaruhusu ndoa ngapi? Vifungu vipi hutumika?