Ndoa za mabandani hizo hakuna ndoa humo,Masanja afungishe ndoa uiite ndoa?au hao kina kuhani sijui mwamposa?
Mimi nikisikia mtu anasema anafunga ndoa huko kwenye mabanda ya mabati na kwa wapiga kelele naona bora hata angeenda kufungia kwa mkuu wa mkoa au wilaya ndiyo atakuwa yuko serious na anachokifanya.
Nilidhani pekeyangu naona hivyoHako kanick hata mkononi hakajai...kadunyuuu[emoji848][emoji848]
Akikaa na Rose utasema mtu na mamaake mdogo!
Rose mzuri sana hafananii kuwa na hicho kivulana sema ndo mapenzi
hao wa vumbi mpk kisogoni,huwa watamu na wana nidhamu na heshima, wanafaaa sanaAaahh....siye VUMBI mpk kichogoni hukoo ngoja tuwaa wadada WA mjini
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Eti biashara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa si anavumilia ili awe na ndoa maana walikuwa wanapigana sana, pia Kwa ajili ya hyo biashara ya huduma yake so lazima avumilie tu hamna namna
DuhYatakushindaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Amezaa na wanawake wawili kabla ya kuoa.
[emoji38]Bongo hii watu Wana forge umri Hadi kwenye passport to me they look older kuliko 35 aisee
AiseeeNa huko marekani alipelekwa na mwanaume aliyemuoa na u single Maza wake, kufika USA akampata mwingine
Wakatoliki hawana ndoa mbili, lakini wakristu wengine " Protestant " wanaruhusiwa talaka kama ndoa imeshindikana.Wakristo hatuna ndoa mbili,
Vip mume wa kwanza alikufa?
Matthew 5:31 -32Kwani anaa ndoa ngapi? Ndoa ikishavunjwa bado huitwa ndoa tu!?
Ujinga ni kipaji.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
hahahaha,umenikumbusha kipindi nacheza mpira,the nikatakiwa kwenda ughaibuni,hapo ktk pasportBongo hii watu Wana forge umri Hadi kwenye passport to me they look older kuliko 35 aisee
Hii bongo watu hawasemagi umri wa ukweli hata west Africa Kuna mchezaji ana pacha wake kabisa ila wametofautiana umri.hahahaha,umenikumbusha kipindi nacheza mpira,the nikatakiwa kwenda ughaibuni,hapo ktk pasport
Mhh kumbe alitolewa mbali ivo??🙄🙄Ndoa yake ya awaliView attachment 2608993
Utandawazi na usasa hauwezi halalisha DHAMBIAnna dear ,hayo mambo ya zamani,nowdays Watu wanaoa na kuolewa kanisani mara mbili mbili
Mfano Joyce kiria ana ndoa ya RC na Pentecostal na zote chalii
Dj Nelly ana ndoa mbili zote RC
Mwanzo DJ Nelly mwanzo alimuoa Joyce pale St.Peters wakashindwana dada akaolewa Tena hvyo Nely nao kaoa Tena
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Shaboka mtume/ Mchungaji [emoji1784]Ila huyu dada naye ana tatizo.
Before Sakafu ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)
Sihukumu ila yawezekana naye kuna kitu.
[emoji28]heri avumilie tu wakiachana Sasa atafubdisha Nini kuhusu mahusiano huku yake yamemshinda, na hivi wanaume wa bongo wote tu umalaya wanafanana heri utafte furushi lako lenye unafuu.Eti biashara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au naye ajikatae tu kama Shusho, afungue biashara yake maana kwenye huduma yao naona Rose yuko popular kuliko huyo Shaboka.
Yaan kuna mambo ambayo nyie mnaaminishana ni dhambi halafu kumbe kwa mungu ikawa sio dhambi ,mambo ya imani magumu sana acheni kuhukumu.hawana aibu wale, dhamiri zao zimekufa, wanaboronga na nyimbo za injili wanaimba. Ila wajue Mungu hadhihakiwi akiimba tena wimbo utadoda hautakuwa na utukufu wa Mungu. Bora hawa waimbaji wakishindwa maisha ya wokovu bora wakaimbe nyimbo za kidunia, za injili wawaachie washindi wanaoshindana na tamaa za kidunia
ni kweli kabisa,hilo la kucheza na umri,mie shahidiHii bongo watu hawasemagi umri wa ukweli hata west Africa Kuna mchezaji ana pacha wake kabisa ila wametofautiana umri.
Ni kama kuku wa kienyeji ni watamu sanahao wa vumbi mpk kisogoni,huwa watamu na wana nidhamu na heshima, wanafaaa sana
ewaaa,swadakta kabisaNi kama kuku wa kienyeji ni watamu sana