Wewe mgeni wa JF eeh JF Kuna wazito wengi tu wasomi mbalimbali huku Huwa ni kijiwe ka vijiwe vingine tuKwa mda hii zaidi ya 90% ni njaa tu na stress hakuna kingine
Silagi chakula Cha watu wasio na akili mimiUnaonekana ni mlaji sugu wa ugali. Hata ukila wali huna tofauti na mlaji ugali tu[emoji38]
Wakristo wa kisasa hawa.Wakatoliki hawana ndoa mbili, lakini wakristu wengine " Protestant " wanaruhusiwa talaka kama ndoa imeshindikana.
Tutaaminije sasa? Umekulia ugali now unajifanya kuukataa[emoji3]Silagi chakula Cha watu wasio na akili mimi
Naamini wazito wapo ila uwezi kuta wanachangia mada za njaa njaa km hizi, tena komenti za kinjaa njaa. Wazito utawakuta intelligence huko huku ni walalahoi tu km ww[emoji16][emoji23]Wewe mgeni wa JF eeh JF Kuna wazito wengi tu wasomi mbalimbali huku Huwa ni kijiwe ka vijiwe vingine tu
Kweli ninachosema kuliko Nile heri nishinde njaaTutaaminije sasa? Umekulia ugali now unajifanya kuukataa[emoji3]
Hahah teba donaKweli ninachosema kuliko Nile heri nishinde njaa
Wee hujui sisi hupiga nao umbaye humu humu unafikiria nao hawapendi umbeya, mama mwenyewe yumo humu na hufatilia Hadi ubuyuNaamini wazito wapo ila uwezi kuta wanachangia mada za njaa njaa km hizi, tena komenti za kinjaa njaa. Wazito utawakuta intelligence huko huku ni walalahoi tu km ww[emoji16][emoji23]
Haya CarihaWee hujui sisi hupiga nao umbaye humu humu unafikiria nao hawapendi umbeya, mama mwenyewe yumo humu na hufatilia Hadi ubuyu
Uelewa wako kuhusu ndoa ni mdogo sanaNdoa za mabandani hizo hakuna ndoa humo,Masanja afungishe ndoa uiite ndoa?au hao kina kuhani sijui mwamposa?
Mimi nikisikia mtu anasema anafunga ndoa huko kwenye mabanda ya mabati na kwa wapiga kelele naona bora hata angeenda kufungia kwa mkuu wa mkoa au wilaya ndiyo atakuwa yuko serious na anachokifanya.
unajua hukumu ya Mungu inaanzia wapi?Yaan kuna mambo ambayo nyie mnaaminishana ni dhambi halafu kumbe kwa mungu ikawa sio dhambi ,mambo ya imani magumu sana acheni kuhukumu.
Biashara ya kanisa????
Nimekuelewa sana. BarikiwaNilichomaanisha mkuu, Yesu aingilie kanisa lake maana linachafuliwa na watumishi feki, for how long will they continue using the JESUS NAME for their behind evil and wicked motives?! Awapige viboko tu kwa kuwafichua ili watu wafahamu Yale yaliyofichwa. By the way muda upo nao waja na umeshakaribia....
Unaweza kuthibitisha kuwa ni biashara?Ndiyo
Mkuu economist wewe ulienda kwenye hilo kanisa kusali au ulikuwa na jambo lako na Shusho?Tatizo watu ni wanafiki, wanaujua ukweli lakini wanaukataa. Shusho pale kanisani kwake manzese ni full maigizo, akihubiri unaona anaigiza tu.
Oya hao sio watumishi wa Mungu, ni watumishi wa matumbo yao. Hakuna cha upakwa mafuta wala nn, ni ujinga ujinga tu.Ndugu usiingie kwenye mkumbo wa kuwasema watumishi wa Mungu, humu kila mtu anasema lake bila kuwa na ushahidi walio wengi wanafuata mkumbo,tukumbuke ukimsema mpakwa mafuta wa Mungu ni hatia,labda kama hamtumikii Mungu alie hai.
Mbona wao wakiwa makanisa ya mabati huwasema walioko bar, acha wasemweWaombee sana kwa mzigo, usiwaseme muache Mungu ashughulike nao.
Marhaba mdogo wanguShkamoo Bina
Nipo hapa mjini nashangaa umbea mpya
Hahahaha.....sio wavaa less wigshao wa vumbi mpk kisogoni,huwa watamu na wana nidhamu na heshima, wanafaaa sana