Naona wanakimbilia kujificha kwenye uchungaji kuficha mambo yao.Wafunguliwe akili na ufahamu imagine hata bahati bukuku naye eti ni mchungaji
Ongea na wahusika wazi wazi huenda wakakuelewa vizuri sana na wakatubu kuliko kusambaza machafu yao kwa mataifa, huko sio sawa.Tukae kimya ujinga ukifanyika?. Mimi nitasema kweli daima maana huu unafiki ndio unaliharibu kanisa. Juzi Kuna msanii kafunga ndoa madhabahuni kkKT Mbezi beach ana mimba ya miezi minne, tulipoongea tukaambiwa tusimseme ni Maisha yake.
Yani tunaona halali kufunga ndoa madhabahuni ukiwa na mimba na watu wakae kimya. Tukiendelea na huu unafiki watu wataishia kwenye uislamu.
Usilitaje jina Yesu Kristo hovyo.Binafsi huyu dada napenda sana kazi zake Mungu ambariki ampe hitaji la moyo wake, na wote wanao mchukia, vijicho husda na roho mbaya washindwe katika jina la yesu.
Hata hapa ni wazi na wanayapata vizuri.Ongea na wahusika wazi wazi huenda wakakuelewa vizuri sana na wakatubu kuliko kusambaza machafu yao kwa mataifa, huko sio sawa.
Hata hapa ni wazi na wanayapata vizuri.Ongea na wahusika wazi wazi huenda wakakuelewa vizuri sana na wakatubu kuliko kusambaza machafu yao kwa mataifa, huko sio sawa.
Sio kweli, hapa unawaanika tu na kuwasengenya.Hata hapa ni wazi na wanayapata vizuri.
Ni kosa kuwaanika?. Mbona mafisadi tunawaanika na wanashughulikiwa, ila matapeli wa kiroho ndio tuwaache?. Mbona Kenya wameweza? Sisi je. Kasome story ya Jim Jones , zilianza hivhivi, watu wakisema wanaonekana vibaya. Mwisho wa siku Jim Jones kaua waumini wake wote kwa sumu. Tuache tuongee ukweli tufunge watu wasife Kama kwa Mackenzie.Sio kweli, hapa unawaanika tu na kuwasengenya.
Bro! Huna point. Kausha.Sio kweli, hapa unawaanika tu na kuwasengenya.
Huo ni upeo wako wa kuona mambo,acha kuhukumu watu hukumu ni juu ya Mungu.Mtu kazaa na wanaume wanne tofauti, Bado unakuja hapa watu msimseme mpakwa mafuta wa bwana. Unajua maana ya kupakwa mafuta? Yani mpakwa mafuta wa bwana anafanya uzinifu kuliko mpagani. Tuache unafiki.
Ila Hadi flora kukimbia alipitia mengi na wanaume ma handsome huwa ni majipu tu, ila flora huyu mume mwingine ana mpenda sanaIla Emma mbasha NAE muhuni muhuni yule mtoto was Vingunguti
Kampiga sana matukio madam flora,ujue mom flora anakuja kumsaliti alivumilia mengi mnoo yule dada
Mimi Kwa Flora naona Mbasha anastahiki kuachwa maana alikua Malaya halafu ule Wa waziwazi kuanzia kitaa mpk church
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Inasikitisha wanazalilisha Imani ya kristo ionekane ni wahuni woteNaona wanakimbilia kujificha kwenye uchungaji kuficha mambo yao.
Ila sista ana sauti aiseeee 😄 nina nyimbo zake kama mbili hiviKanaonekana katapeli ka maneno balaa, na ile sauti ya "salama rohoni mwanguuu" ni balaa zito kumbe kajitu hakana mbele wala nyuma aisee 🤣🤣🤣
Hilo jina linaendana na huduma anayoitoa Rose ShabokarobakaraaaaaabotaaaaHapana, ni Rose Shaboka
Na aliyeshona nguo za bwanaharusi wa pili ANYONGWE😌Aliyeshona gauni la 'mwimbaji wa injili' Mungu anamuona....🤭🤭
Nooo..am serious darling [emoji8]Unanijaza [emoji23][emoji23][emoji23]