Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Du shaboka huyu mume wa rose shabokaIla huyu dada naye ana tatizo.
Before Sakafu ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)
Sihukumu ila yawezekana naye kuna kitu.
Ndiyo maana anaitwa Madame Martha [emoji3]Martha kaachika lini
Vitu vizuri ndiyo shetani anaharibu, vibaya hana muda navyo maana tayari yupo naye kwake.Hata mimi nashangaa, sijui uwa ana bahati mbaya gani kwenye mahusiano, nimjuavyo Angel ni mpole na very caring, beautiful and highly annointed, ni Moja ya watu walionifanya nivutiwe na maisha ya wokovu, katumika pia kuponya maisha ya kimahusiano ya wengi, si kitu shetani anapenda
Yaani kwa emma ilikuq ni suala la muda TU waachane hakuna mwanamke anavumilia umalaya na uhuni baada ya kutoboa na kupata mzuri kuzidi wa zamaniIla Hadi flora kukimbia alipitia mengi na wanaume ma handsome huwa ni majipu tu, ila flora huyu mume mwingine ana mpenda sana
Shaboka huyu mchungaji mmojawapo wa kizazi kipya?Ila huyu dada naye ana tatizo.
Before Sakafu ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)
Sihukumu ila yawezekana naye kuna kitu.
Mimba isio halali[emoji1787][emoji1787]Huyu binti alishawahi fukuzwa kanisani kwake zamani kisa uzinifu, inasemekana alipata mimba isio halali.
Jf ni zaidi ya uijuavyo ndo maaana naogopa Sana kua staa maana najua ntaanikwa humu balaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]na utakua ukweli mtupuEeh ila watu mnakuwaga na information aiseee
Anamlinda sana mume wakeRose mwenyewe anasema haikuwa rahisi mahusiano Yao ila raha ya ndoa mwanaume akupende sio wewe u force na hyo ndoa rose ndio huibeba zaidi
Ahahahah...why do you think so mr Glenn ... you think everyone is obsessed with multiple annonymity??Hizi posts zinaonyesha wewe ni Stress Challenger
Hilo ni kweli, yaani kama kwa mapdri na wachungaji wanawake wengi huwa wanajipeleka sana, watumishi wanapitiaga vishawishi vingi sana, bint anaweza mpigia mch.video call akiwa mtupu piga picha hapo, nikuwaombea tu watumishi wa Mungu.Ila changamoto wanazokutana watumishi si za kitoto, pata picha lile shazi la Mwamposa, mule kuna kuna lundo la mabinti wakali yaani wazuri kila kila kitu sura mpaka maumbo, wanakuja pale wanatafuta waume then wanaomba session ya maombi binafsi na mtumishi, msifanye masihala........
Kuna kipindi na kumbuka bi mkubwa alikuwa kiongozi kanisani, walimpigaga marufuku binti mmoja kuja kumuona Padri jioni, kwani huyo binti mwenyewe siku hiyo ndio anakuja kumuona Padri alivyo vaa na alivyo umbika ,wakampiga marufuku kuja kumuona Padri midaa ya jioni na aina ile ya mavazi.
Sometimes tuna walaumu ila mitihani wanayo kutana nayo mizito na kumbuka Padri wa parokia yetu alibadilishwa parokia baada ya kuwa na mahusiano na mama wa kihaya,huyo mama ni ana matako halafu mwanakwaya.
Mimi ndio maana imani yangu siku hizi ipo kwenye kulisoma na kulijua neno la mimi binafsi,haya maswala ya imani yako kuijenga kupitia kwa watu au miujiza lazima utakuwa mtu wa kuhamahama na unaweza ukapotea tkk imani.
Kuhusiana n wanakwaya na waimba injili hawala ndio usisema kuna jamaa wawili na wafaham ni vitombi kishezi. Halafu haya mambo sometimes sijui yanakuwaje unakuta kipindi upo single mademu hawashoboki na wewe sana sasa ingia kwenye ndoa ndio utawaona wanavyo jisogeza yaani ili mradi.......... wakuvuruge.
Kaah...Sasa Kwani mtoto huyooo!!Anamlinda sana mume wake
Eh unga tenaRose unga ndo ulimharibu
Kuishi na mwanaume asiyekupenda daa hapana siwezi kabisa, anaweza kuwa anakufanyia vituko unaogopa hata kuongea kisa utamuudhi, maisha gani hayo mmmm!Kaah...Sasa Kwani mtoto huyooo!!
Ila ana moyo sana na mwanaume km hakupendi ni shida sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Usicheze na upwiru weweHakuna watu wanapenda nanihii kama walokole...[emoji125][emoji125][emoji125]
Halafu ukionyeshea wanawake ambao wanawategaga watumishi ni wanakuwa ni wazuri mno mpaka unajiuliza hivi huko nje amekosa mtu wa kuwa nae mpaka amfuate mtumishi.Hilo ni kweli, yaani kama kwa mapdri na wachungaji wanawake wengi huwa wanajipeleka sana, watumishi wanapitiaga vishawishi vingi sana, bint anaweza mpigia mch.video call akiwa mtupu piga picha hapo, nikuwaombea tu watumishi wa Mungu.
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Ni vile amejipa jukumu la kupenda ambalo ni la mume. Mwanaume ukimbana ni kero na Hawa viumbe hata uwape Nini Huwa hawatulii asijichosheAnamlinda sana mume wake
Weeee usifanye mchezo na utamu wa mbunye acha kabisa[emoji28][emoji28][emoji28] hawezi acha ka Hadi Huwa wanapigana unategemea Nini Sasa hapo.
Ila wanaume nyie ni viumbe vichomi mnatugombanisha wanawake sana
Ndiyo hapo sasa, wakati mwingine mpaka umawaonea huruma ndiyo maana Mchungaji mmoja siku yakuonana na watu wanakuwa kanisani hapo hapo ndani viti vinapangwa kila mtu anaona ila sasa mwenye shida zake anaenda kumnong'oneza hapo hapo[emoji3]Halafu ukionyeshea wanawake ambao wanawategaga watumishi ni wanakuwa ni wazuri mno mpaka unajiuliza hivi huko nje amekosa mtu wa kuwa nae mpaka amfuate mtumishi.
Hata Mimi ningekimbia tu chakufia Nini hasaYaani kwa emma ilikuq ni suala la muda TU waachane hakuna mwanamke anavumilia umalaya na uhuni baada ya kutoboa na kupata mzuri kuzidi wa zamani
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app