Angel Benard aolewa mara ya pili

Angel Benard aolewa mara ya pili

Hata mimi nashangaa, sijui uwa ana bahati mbaya gani kwenye mahusiano, nimjuavyo Angel ni mpole na very caring, beautiful and highly annointed, ni Moja ya watu walionifanya nivutiwe na maisha ya wokovu, katumika pia kuponya maisha ya kimahusiano ya wengi, si kitu shetani anapenda
Vitu vizuri ndiyo shetani anaharibu, vibaya hana muda navyo maana tayari yupo naye kwake.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Ila huyu dada naye ana tatizo.
Before Sakafu ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)

Sihukumu ila yawezekana naye kuna kitu.
Shaboka huyu mchungaji mmojawapo wa kizazi kipya?
 
Ila changamoto wanazokutana watumishi si za kitoto, pata picha lile shazi la Mwamposa, mule kuna kuna lundo la mabinti wakali yaani wazuri kila kila kitu sura mpaka maumbo, wanakuja pale wanatafuta waume then wanaomba session ya maombi binafsi na mtumishi, msifanye masihala........

Kuna kipindi na kumbuka bi mkubwa alikuwa kiongozi kanisani, walimpigaga marufuku binti mmoja kuja kumuona Padri jioni, kwani huyo binti mwenyewe siku hiyo ndio anakuja kumuona Padri alivyo vaa na alivyo umbika ,wakampiga marufuku kuja kumuona Padri midaa ya jioni na aina ile ya mavazi.

Sometimes tuna walaumu ila mitihani wanayo kutana nayo mizito na kumbuka Padri wa parokia yetu alibadilishwa parokia baada ya kuwa na mahusiano na mama wa kihaya,huyo mama ni ana matako halafu mwanakwaya.

Mimi ndio maana imani yangu siku hizi ipo kwenye kulisoma na kulijua neno la mimi binafsi,haya maswala ya imani yako kuijenga kupitia kwa watu au miujiza lazima utakuwa mtu wa kuhamahama na unaweza ukapotea tkk imani.

Kuhusiana n wanakwaya na waimba injili hawala ndio usisema kuna jamaa wawili na wafaham ni vitombi kishezi. Halafu haya mambo sometimes sijui yanakuwaje unakuta kipindi upo single mademu hawashoboki na wewe sana sasa ingia kwenye ndoa ndio utawaona wanavyo jisogeza yaani ili mradi.......... wakuvuruge.
Hilo ni kweli, yaani kama kwa mapdri na wachungaji wanawake wengi huwa wanajipeleka sana, watumishi wanapitiaga vishawishi vingi sana, bint anaweza mpigia mch.video call akiwa mtupu piga picha hapo, nikuwaombea tu watumishi wa Mungu.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Kaah...Sasa Kwani mtoto huyooo!!

Ila ana moyo sana na mwanaume km hakupendi ni shida sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuishi na mwanaume asiyekupenda daa hapana siwezi kabisa, anaweza kuwa anakufanyia vituko unaogopa hata kuongea kisa utamuudhi, maisha gani hayo mmmm!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Hilo ni kweli, yaani kama kwa mapdri na wachungaji wanawake wengi huwa wanajipeleka sana, watumishi wanapitiaga vishawishi vingi sana, bint anaweza mpigia mch.video call akiwa mtupu piga picha hapo, nikuwaombea tu watumishi wa Mungu.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Halafu ukionyeshea wanawake ambao wanawategaga watumishi ni wanakuwa ni wazuri mno mpaka unajiuliza hivi huko nje amekosa mtu wa kuwa nae mpaka amfuate mtumishi.
 
Halafu ukionyeshea wanawake ambao wanawategaga watumishi ni wanakuwa ni wazuri mno mpaka unajiuliza hivi huko nje amekosa mtu wa kuwa nae mpaka amfuate mtumishi.
Ndiyo hapo sasa, wakati mwingine mpaka umawaonea huruma ndiyo maana Mchungaji mmoja siku yakuonana na watu wanakuwa kanisani hapo hapo ndani viti vinapangwa kila mtu anaona ila sasa mwenye shida zake anaenda kumnong'oneza hapo hapo[emoji3]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom