[emoji2][emoji2][emoji2]walimu wa mahusiano Yao yalishafeli siku nyingi,[emoji2][emoji2] Mungu atusaidieAnatumia zile changamoto zake kuwa fundisha wengine , nilionaga mama mmoja ilikuwa kazi zake kuwa fundisha watoto wa wengine binti zake ndoa kila mmoja zinavunjika
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hata mimi huwa napenda zaidi kumsoma kuliko kumsikiliza[emoji2][emoji2] hata Mimi Huwa namshangaa she is beautiful ila sauti Huwa inahatibu hata ujumbe anaotaka kuhuburi, Mimi binafsi Huwa napenda kusoma anachoandika kuliko kuhubiri maana ile sauti inachosha Hadi naona na mimi naumia. Ila wachungaji walokole wengi wanapenda kuongea hivo wakifikiria ndio vizuri kumbe wanaharibu hata ukiongea kawaida unaeleweka tu mbona ma padri huongea kiustaarabu na tunawaelewa tu vizuri bila shida.
Kiukweli hyo sauti kwangu hapana.
Kumbe kwenu ni ileje wewe ni mndaliKwa sababu anatokea hapo Vwawa[emoji23]
Probably atatembea kwenda mbele ambako ni Mlowo[emoji1787]
Kule kwetu Ileje anaenda kutembea wapi?[emoji38]
Kwenda😂😂Kumbe kwenu ni ileje wewe ni mndali
Mimi kwetu kabisa ileje pia ndo asili
Isije ikawa naongea na ndugu yangu kabisa hapa
Sio tu kuchosha inakata hamu ya kusikiliza inaumiza masikioHata mimi huwa napenda zaidi kumsoma kuliko kumsikiliza
Sauti yake ya kupayuka inachosha .
Ila akiandika ,anaandika kweli yule mama[emoji119]
Na anavyojua kupendeza,nguo zake ni[emoji91]
Una kitu Dada heaven utafika mbaliMmh binamu kwani anateseka na ndoa yake? Naamini hata wao Wana ups and downs kama sisi tu; ila suala la kusema anateseka kwenye ndoa; nafikiri wengi wetu hapa hatuna uhakika nalo. Fact that alipambana hadi yeye akawa mshindi, haimaanishi anateseka sasa hivi. Sio Kila mtu anapata ndoa smoothly, especially kwenye ndoa ambazo zimebeba "purpose" kubwa kama Ile ya kina Rose. Sio rahisi utoke tu from nowhere na ukamlazimisha mtu akuoe; hadi anakubali kukuoa it means kuna sababu ameipata ya yeye kukuoa. As a matter of fact; as Christians hatuoani tu kwa sababu ya upendo ambao leo unaweza ukawepo na kesho ukapungua; tunaoa kwa sababu ya "kusudi" ambalo Mungu ameweka kati yetu.
Plus we learn to grow in love. Unaweza ukamuoa mtu kwa sanabu ana mimba yako tu, ila huko mbeleni ukaona daah kumbe huyu anafaa kuwa mke kweli, so ukakaa ukatulia kwelikweli. Na wapo wanaoana kwa upendo tu, ila ndani wanaishi kwa majuto
Kuhusu kumlinda mumewe; nafikiri ni wajibu wa kila mume/mke kumlinda mwenza wake physically na spiritually. Sisi tu ambao waume zetu hawajulikani; tunawalinda kwelikweli; sembuse kwa Shaboka mwenye influence yake na anakutana na wanawake wa Kila aina daily? Hivi mnawajua mabinti wa kilokole walivyojaa mitego na hizo "daddy this, daddy that"?
No tell meKwenda[emoji23][emoji23]
Kwa kweliSio tu kuchosha inakata hamu ya kusikiliza inaumiza masikio
Mimi natokea undali pure😂No tell me
I am here listening
My indesecret village ni itumba kabisa
Na kuzikwa kabisa[emoji2][emoji2][emoji2]walimu wa mahusiano Yao yalishafeli siku nyingi,[emoji2][emoji2] Mungu atusaidie
Hata mimi MndaliMimi natokea undali pure[emoji23]
Achana na hapo mjini Itumba[emoji38]
Nmezaliwa isoko mimiMimi natokea undali pure[emoji23]
Achana na hapo mjini Itumba[emoji38]
I am so happy to meet my relatives [emoji23][emoji23]Mimi natokea undali pure[emoji23]
Achana na hapo mjini Itumba[emoji38]
Ukifuatilia wengi wa hawa Gen z (generation z) pastors, yaani wachungaji wa kizazi kipyaYaani hata mm huwa najiuliza, kwanini aisiongee tu kawaida?
Akiongea taratibu tu ana sauti bomba,na Ile lafudhi yake ya kaskazini basi sauti inakuwa nzuri..
Ila sasa anatumia nguvu kuongea sauti ya kumwaruza kama anafoka hivi,
Ile sauti ya mikwaruzo inaumiza masikio ,,, Kuna muda nikiona mtu anapayuka sana nahisi koo langu linaumia.
Mwakaseghe anaongeaga kawaida tu na watu wanamuelewa sana,wansfurika kwenye mikutano yake
Sasa Hawa wapentecoste wengi wanaona bila kupayuka ni kama hawajahubiri.
Ukifuatilia wengi wa hawa Gen z pastors (wachungaji wa kizazi kipya), ni motivational speakers wanaotumia Biblia na ndio maana inabidi waweke vionjo kama vya sauti, mionekano(looks), misemo na mbwembwe ili kuvutia hadhira.Yaani hata mm huwa najiuliza, kwanini aisiongee tu kawaida?
Akiongea taratibu tu ana sauti bomba,na Ile lafudhi yake ya kaskazini basi sauti inakuwa nzuri..
Ila sasa anatumia nguvu kuongea sauti ya kumwaruza kama anafoka hivi,
Ile sauti ya mikwaruzo inaumiza masikio ,,, Kuna muda nikiona mtu anapayuka sana nahisi koo langu linaumia.
Mwakaseghe anaongeaga kawaida tu na watu wanamuelewa sana,wansfurika kwenye mikutano yake
Sasa Hawa wapentecoste wengi wanaona bila kupayuka ni kama hawajahubiri.
Kwa ujumla akupendeza ukweli tuseme.Aliyeshona gauni la 'mwimbaji wa injili' Mungu anamuona....[emoji2960][emoji2960]
MmhNmezaliwa isoko mimi
Later wazazi wakahama kikazi nikiwa mdogo kabisa mama alianza kazi kama nesi pale isoko kabisa
😆I am so happy to meet my relatives [emoji23][emoji23]
Ndo maana damu zilikua zinavutana
Huyo mama ni pisi kali haswaa, jamaa ake hana stress za kugongewa, mke wake anamtumikia MunguDu shaboka huyu mume wa rose shaboka