Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Kama nakumbuka vizuri walishawahi kuandika; wamezaliwa mwaka mmoja na mwezi mmoja; Rose alimtangulia Nick masaa machache kuzaliwaDuuh...ila yule kaka huwa nahisi ana umri mdogo kuliko huyo rose
Ila Wacha azae huko USA atafyatua wengi sasaNi Kazi Mkuu
Elimu Bure, Tanzania Hakuna Njaa
Shaboka ana watoto wawili wa kiume aliowapata kabla hajamuoa Rose. So jumla wana watoto watanoRose na Shaboka wana watoto watatu...
Sasa nadhani wa nne ndiyo huyu wa Angel...
But rose looks older au ndio wanawake tunawahi kuzeekaKama nakumbuka vizuri walishawahi kuandika; wamezaliwa mwaka mmoja na mwezi mmoja; Rose alimtangulia Nick masaa machache kuzaliwa
Ooooooh...Nilijua ni huyo mmoja wa Angel..Okey...Shaboka ana watoto wawili wa kiume aliowapata kabla hajamuoa Rose. So jumla wana watoto watano
Yeah Wanawake tena na miili yetuBut rose looks older au ndio wanawake tunawahi kuzeeka
Kabisa Akiweza Apige 15 Apumzike Maana Sera Mpaka Mayai Yaishe Yote TumboniIla Wacha azae huko USA atafyatua wengi sasa
Ndio hapo watu wanashindwa kutofautisha kwamba kuimba nyimbo za injili ni usanii tu kama fani nyingineDu kakamata fursa.Hawa waimbaji nyimbo za Dini,wengi ni wasanii tu.Hata yule Upendo kilahiro aliolewa tena,Flora Mbasha pia.Ndoa ya Christina Shusho imekufa,ya Martha mwaipaja pia imekufa.
All is well dear.. Majukumu tu na uzeeOoooooh...Nilijua ni huyo mmoja wa Angel..Okey...
Been a While lakini HS...Hope all is well..
Tena angekuwa Canada ndio ange enjoy zaidi the more una fyatua the more unapewa msaada na serikaliKabisa Akiweza Apige 15 Apumzike Maana Sera Mpaka Mayai Yaishe Yote Tumboni
He he he...All is well dear.. Majukumu tu na uzee
Ahsante, sijapoa kwa kweli🤣🤣🤣He he he...
I know...Pole Dear.
Tumshauri Akifika US Aombe Kwenda Canada Akaishi Na Kufyatulia Kule Achote MapeneTena angekuwa Canada ndio ange enjoy zaidi the more una fyatua the more unapewa msaada na serikali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ahsante, sijapoa kwa kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hujui ulokole ni nini, na nguvu iliyomo ndani ya wokovu huijui...TUsimhukumu kwa kigezo cha utumishi wake,what if mwenye shida alikua huyo mume?ina maana alipaswa aendelee kuvumilia maumivu kwasababu yeye mlokole?mlokole hana moyo?hana hisia?au walokole wamewekea some sort of bullet proof kwenye mioyo yao?
why people are always negative?
As long as anaishi she deserves a husband kuliko kuwa mzinifu,acheni negative thinking au ndo nyie mkioa walokole mnawatesa mkijua talaka hakuna?smh
Canada ndio kuzuri mambo mteremko tuTumshauri Akifika US Aombe Kwenda Canada Akaishi Na Kufyatulia Kule Achote Mapene
Comments zako za ushauri Huwa NZuri sanaAll is well dear.. Majukumu tu na uzee
Kwa nini Shaboka hakumuoa?ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)
Thank you cariha 🙏🙏🙏Comments zako za ushauri Huwa NZuri sana
MmmmhKama nakumbuka vizuri walishawahi kuandika; wamezaliwa mwaka mmoja na mwezi mmoja; Rose alimtangulia Nick masaa machache kuzaliwa