Angel Benard aolewa mara ya pili

Angel Benard aolewa mara ya pili

"Dada Rose", ndivyo tulivyokuwa tunamuita hadi waliompita umri walimuita hivyo, kwasababu ya jinsi alivyokuwa anajiweka. Mstaarabu, anampenda Yesu, kichwa balaa maana alikuwa anakimbiza darasani, mshauri mzuri, boonge la muimbaji, halafu sasa ni msafiiiiii anajipenda hadi sio poa.
Na wewe uache uchafu uige usafi sasa. Siyo una chupi 4 tu, ongeza ziwe 30
 
Bible inaruhusu ndoa ngapi? Vifungu vipi hutumika?
Ndoa ni moja tu .
Kilahiro alitisha aisee[emoji23]
Alienda nje,mumewe anajua ameenda kumwimbia Bwana kumbe mwenzie anaolewa.

Maswali ninayojiuliza ni mengi,likiwemo hili;-
Ni dhehebu gani linaruhusu mtu kufunga ndoa mara 2?
Kiroho hakuna,sema kibinadamu ndo hivyo .Watu wana tamaa,naona Upendo aliiona fursa USA akaona Amon hawezi mfikisha kule yeye anataka afike kimafanikio.
 
Hawaambiliki. Ukipanda magari yanayotoka kawe siku ya jumapili utacheka. Kila mtu anachupa au carton ya maji ya Canadian. Wenyewe wanaamini kabisa wajinywa Yale maji changamoto zao zina isha
Kumbe kuna Mtu anaabudu jiwe ,mti na anapona pia
Imani popote pale unapoamini mbona unapata tiba
Yaani Mimi Toka nilivoskia hizo mambo zake nachekaga tu nikimuona Kwa video

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji16]acha wakajimalize na sadaka zao
Wanatetea upuuzi kabisaaaa
Yaani hii nchi Ina vitukoo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sadaka zinajenga mahoteli huko. Wao wanakauka tu.
Ndio maana Mackenzie akaona awashindishe njaa wafe tu. Watu gani hawazinduki?
 
Kilahiro alitisha aisee[emoji23]
Alienda nje,mumewe anajua ameenda kumwimbia Bwana kumbe mwenzie anaolewa.

Maswali ninayojiuliza ni mengi,likiwemo hili;-
Ni dhehebu gani linaruhusu mtu kufunga ndoa mara 2?
Anna dear ,hayo mambo ya zamani,nowdays Watu wanaoa na kuolewa kanisani mara mbili mbili
Mfano Joyce kiria ana ndoa ya RC na Pentecostal na zote chalii
Dj Nelly ana ndoa mbili zote RC
Mwanzo DJ Nelly mwanzo alimuoa Joyce pale St.Peters wakashindwana dada akaolewa Tena hvyo Nely nao kaoa Tena


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna huduma pale ni biashara tu ndio maana ameng'ang'ana nae coz ni perfect business partner
Acha wivu. Kama hakuna huduma why watu wajibiwe maombi yao? Watu wamepata kazi kupitia pale na bado wanafanikiwa.. what are u talking about?
 
Nakumbuka mchungaji alienifungisha ndoa alituasa sana kwenye ibada kuwa tuiache mizigo na vifurushi (kutoka nje ya ndoa) lakini baada ya muda alisimamishwa kazi kwa kugombana na mchungaji mwenzake kisa kstibu wa usharika kuhamishwa na mchungaji alikua anamla mpka kampa mimba.
Imagine mtu wa hivyo alafu anakusisitiza usizini acha dhambi kumbe yeye ndio namba moja.

Kwengine muinjilisti anawatoto watano lakini kazaa na katibu wa vijana wa usharika nq walivyo wangese ww ukifanya dhambi wanasema urudi kundini ila wao wakifanya hawarudi kundini mambo ya aibu sana
Na huu uchafu huu wanajificha eti wasisemwe kisa ni watumishi
 
Bwana sakafu ni mpiga vinanda studio ila yule mwamba mpya ni Sergeant jeshini [emoji1787]!

Kwa akili za hawa dada zetu siwezi kulaumu sana maana hakuna mtu atakomaa na S2keezy halafu amuache Venance Mabeyo mtu wa serikalini anaetembea na escort kibabe na pesa ya uhakika.
Hao akina Mabeyo siyo washamba wa wanawake kaka. Ukiwa na hela automatic tu unakuwa sio mshamba... wamewaoa wake zao waliosota nao
 
Sadaka zinajenga mahoteli huko. Wao wanakauka tu.
Ndio maana Mackenzie akaona awashindishe njaa wafe tu. Watu gani hawazinduki?
[emoji16][emoji2][emoji2][emoji2]yaani afu wanakuambia mtumishi WA Mungu lazima awe na mafanikio ...kaaahh
Hahahaha
Mackenzie nadhani Ile ilikua kafara yake ile

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom