Angel Benard aolewa mara ya pili

Angel Benard aolewa mara ya pili

Ila huyu dada naye ana tatizo.
Before Sakafu ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)

Sihukumu ila yawezekana naye kuna kitu.
Ipo interview yake utube,tafuta
Alielezea kuhusu hao watt, na ni watt wa utotoni ambapo hao waliozaa nae ,ndo walizingua,walitumia uchanga wake kwenye Imani nk
 
Huyu binti alishawahi fukuzwa kanisani kwake zamani kisa uzinifu, inasemekana alipata mimba isio halali.
hawa mabinti wazuri na warembo huwa wahanga wa kufukuzwa makanisani mwao kutokana na kashfa za kimapenzi. Lakini wale wabaya wenye sura ngumu wasiojiremba huwa hawakutani na mikasa ya kutengwa au kufukuzwa kutokana na jinsi walivyo, hawavutii
 
Ni kweli tunabarikiwa na nyimbo zao, flora mbasha, upendo kilahiro na sasa angel bernad. Hatuwezi kuzitupa nyimbo, tujue tu ni Mungu aliwatumia kufikisha ujumbe kama vyombo vyake ingawa vyombo hivyo vimeshindwa kuhimili migongano kabatini vikavunjika vunjika kiasi cha kutotumika tena bila neema ya Mungu. Kwa kuuwa Mungu ni mfinyanzia mkuu anaweza kuunda tena vyombo hivyo na akavitumia kuleta ujumbe wake. Ni kwa neema tu Mungu anaweza kuwaponya kwa namna yake ingawa wameharibika vibaya, wameharibu shuhuda zao njema walizokuwa nazo. Toba ipo watubu
 
unajua hukumu ya Mungu inaanzia wapi?
Hakuna anae jua zaidi ya kuyaishi maneno ya wanayo hubiri na kupotosha hao wataka sadaka na zaka makanisani na ndio maana imesha andikwa usihukumu maana usije ukahukumiwa , vipimo vya mungu ni vigumu sana mwanadamu kuvijua

Na kwakulijua hilo ndio maana hosea aliambiwa na mungu aoe mwanamke kahaba.
 
Kilahiro alitisha aisee[emoji23]
Alienda nje,mumewe anajua ameenda kumwimbia Bwana kumbe mwenzie anaolewa.

Maswali ninayojiuliza ni mengi,likiwemo hili;-
Ni dhehebu gani linaruhusu mtu kufunga ndoa mara 2?
Wizioo ,I miss u ...😅.
Kuhusu kilahiro na upendo ,Ile haikuwa coincidence, wale waliachana muda sana,km sikosei 2014...lkn walifanya kimyakimya,mpk watu wanakuja kujua washa achana muda....kama Martha mwaipaja pia,after 2 yrs ndo watu walikuwa kuwa washa achana na mumewe...
Ndo badae upendo akaolewa zake USA na sshv ni Mchungaji 🙌, Dunia hii!
Yesu anakaribia kurudi aisee
 
Wizioo ,I miss u ...😅.
Kuhusu kilahiro na upendo ,Ile haikuwa coincidence, wale waliachana muda sana,km sikosei 2014...lkn walifanya kimyakimya,mpk watu wanakuja kujua washa achana muda....kama Martha mwaipaja pia,after 2 yrs ndo watu walikuwa kuwa washa achana na mumewe...
Ndo badae upendo akaolewa zake USA na sshv ni Mchungaji 🙌, Dunia hii!
Yesu anakaribia kurudi aisee
Nimefurahi kukuona Wizo😍
Sasa ndoa alifungaje tena Kanisani hali ya kuwa ya mwanzo ilikuwa ya Kanisani pia?
Yupo mwingine anajiita Madam Martha sasahivi, naye aliachana na mumewe,
Yaani shetani amejua kucheza na ndoa za waumini jamani🥺
 
Ndoa ni moja tu .

Kiroho hakuna,sema kibinadamu ndo hivyo .Watu wana tamaa,naona Upendo aliiona fursa USA akaona Amon hawezi mfikisha kule yeye anataka afike kimafanikio.
Nyimbo zao zlkua zinanibariki Sana nabubujikwa na machozi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24]

Kuna Ile Mungu unaishi Dah aisee [emoji23]
 
Habari,

Msanii Angel Bernard ameolewa kwa mara ya pili.

Mara ya kwanza aliolewa na Producer wa Nyimbo za Injili Godsave Sakafu.

Kulikoni wanamuziki wa nyimbo za injili wa kike?

Huyu hapa;

Acheni kufatilia maisha ya watu,awe muimba injili,awe mtawa,mchungaji,furaha yake ni jukumu lake,usitumie watu kama rada ya maadili yako ya kidini,utakuwa unakwazika sana,
Every one deserve to be happy,kama mume wa kwanza alileta shida,akafulia unataka Binti wa watu afanyeje?
Flora mbasha,Martha mwaipaja,Shusho,wote wapo sahihi kwa maisha yao,wasihukumiwe kwa kuishi maisha yao,hawana deni na mtu kufata "maadili ya dini,live ur life,and for https://jamii.app/JFUserGuide sake,let others live their life,the don't owe you any explanation.
 
Umeona eeh yeye anatumia fursa tu kupiga hela watumishi wanaume wajinga na hivi geodave anapenda kusifiwa akampa
Unaona kabisa Mungu hatukuzwi
Sifa zote zinaenda kwa mchungaji

Aisee,
Watu wanajizima data[emoji1787]
Nikashangaa, hadi huyu dada?
Ndio kuna mtu kaniambia eti ana kanisa lake, na ashaachana na mumewe kitambo Sana.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Acheni kufatilia maisha ya watu,awe muimba injili,awe mtawa,mchungaji,furaha yake ni jukumu lake,usitumie watu kama rada ya maadili yako ya kidini,utakuwa unakwazika sana,
Every one deserve to be happy,kama mume wa kwanza alileta shida,akafulia unataka Binti wa watu afanyeje?
Flora mbasha,Martha mwaipaja,Shusho,wote wapo sahihi kwa maisha yao,wasihukumiwe kwa kuishi maisha yao,hawana deni na mtu kufata "maadili ya dini,live ur life,and for JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala sake,let others live their life,the don't owe you any explanation.
Ni upuuzi kujiita mtumishi wa Mungu huku ukifanya mambo ya kishetani. Acha kutetea ujinga wewe.
 
Yaani we jamaa unaonekana wazi umetuma hata haujifichi [emoji23][emoji23]

Au ndo unaifia Imani mtumishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chizi wewe[emoji1787]

Mm mwenyewe nimeandika maombi yangu .
Mambo yake ya siri anajua yeye na Mungu wake,,,
Ila as long watu wanafunguliwa nawanapona, hilo latosha

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom