Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Zipo wapi đź¤Tutumie hela zangu my [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Tuone kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo wapi đź¤Tutumie hela zangu my [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Ha ha hata hao hao ma sekretary wanajiseviaga humo humo, mie niliongoza sana Viwawa na nilikuwa karibu sana na sister japo nilikuwa bint mdogo lakini alikuwa rafiki nilikuwa naona vituko, sahizi nikikumbuka huwa nasikitika sana, Mungu awalinde na kuwatunza watumishi wake.Mfano sasa hivi Kanisani ninapo sali ukitaka kumuona padri kuna sekretari mama wa makamo,anakuhoji na kukutizama mavazi yako then anakuruhusu. Hii kidogo inasaidia lkn hii kurupu unataka kumuona mtumishi,hii ndio inawapaga wakati mgumu watumishi.
Yule mama akitoka pale madhabahuni nahisi anaenda kubugia asali na tangawizi kunyoosha koo maana sio kwa kupayuka kule
Ha ha ha ha ha mbavu zangu, ndiyo shida hiyo anakuwa na stress za ndoa hivyo sehemu yakuzitolea ni hapo tu.[emoji23]Yule mama akitoka pale madhabahuni nahisi anaenda kubugia asali na tangawizi kunyoosha koo maana sio kwa kupayuka kule
Inamaana angle ilikua aolewe na mabeyo au utani tuNamlaumu tu angel Mimi ningekimbilia Kwa mabeyo sio kwamba nampenda sana Wala nivile naangalia future ya watoto
Aaa sana,una enjoy kabisa, hata kama ndugu hawafurahii mausiano yenu kama wenyewe mnapendana maisha yanaenda tu.Kwanini u force kupenda au kupendwa ujue mwanaume akikupenda una enjoy kuliko kujiliza Kwa asiye kupenda.
Hahaaa mbona unachekaNick ALIGOMBANIWA? Na wanawake???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unakua mtumwa wa NdoaKuishi na mwanaume asiyekupenda daa hapana siwezi kabisa, anaweza kuwa anakufanyia vituko unaogopa hata kuongea kisa utamuudhi, maisha gani hayo mmmm!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Ni binadamu ambao hamjui mnataka Nini so nawashangaa wanawake wanaohangaka kuwa pleaseNINi ndio nini? Mpaka sasa hujafafanua.
Na wanawake wenye tabia njema ndio wanaume huwatesa na kuwapiga matukio mazitoInamfanyia yote kwa yote lakini utasikia wanawake sijui nini, mpaka unajilaumu bora uishi kikomandoo ili mwende sawa.
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Umeona eehh .. yaani ni taabu tupuKuwa maarufu ni msalaba utashangaa Siri zinatoka mfano humu JF hata mwanafamilia anayekujua ana mwaga tu mambo. Niwape pole watu maarufu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]dahh
But why [emoji2][emoji2][emoji2]Hana pa kujishikia...Ha ha ha ha ha mbavu zangu, ndiyo shida hiyo anakuwa na stress za ndoa hivyo sehemu yakuzitolea ni hapo tu.[emoji23]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Ndivyo ilivyo, ila wakifanyiwa wao wanatukanywa wanawake wote duniani kasoro mama yakeNa wanawake wenye tabia njema ndio wanaume huwatesa na kuwapiga matukio mazito
Ila Kwa alipofikia akomae TU,Wanawake a kichaga Kwa kupambania Ndoa wako vzr nawasifi mnooo!!!
Ndio huyo huyo
Yaani mie mtu anaye jimwambafy kuhusu ndoa huwa namtizama tu, hajielewi kwasababu kila ndoa inajanga lake, kuna wengine akikusimulia unasema afadhali mimi maana unakuta mtu anavumilia tu wanaishi kama kaka na dada humo ndani nje Mme na mke, Mke anatunza heshima tu .[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]dahh
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Alainike wapi na ukute na ndugu niwanafiki unakufa umesimama kama nguzoBut why [emoji2][emoji2][emoji2]Hana pa kujishikia...
Ukiwa na Ndoa chungu utajua hujui na mwanaumee km hakupendi ht ufanyeje ,halainiki ng'ooo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hivi hawezagi kuongea kawaida maana Mimi naonaga ka anatumia nguvu nyingi sana sauti Hadi inakaruza si awe anaongea kawaida tu. Dada mzuri ila ile sauti sio kabisaYule mama akitoka pale madhabahuni nahisi anaenda kubugia asali na tangawizi kunyoosha koo maana sio kwa kupayuka kule