Dem ni mtam huyu asikwambie mtu.Wakurungwa salam,
Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.
Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Tusitafute watu waliopotea!? Kosa letu nn hapa, kumuulizia madam na hatujamwona siku nyingi!? Mbona mafala sana nyie watuJide hakukosea, mianaume ya siku hizi yani ni kama mabinti tu. Badala ya kushughulikia masuala ya msingi watu wanakuja jf kupiga umbea. Too bad!
Huyu hapaWengine hatujawahi kumsikia, tuwekee picha yake tumuone.
Kati ya dume anayepiga umbea na asiyepiga umbea fala ni nani sasa hapo?Tusitafute watu waliopotea!? Kosa letu nn hapa, kumuulizia madam na hatujamwona siku nyingi!? Mbona mafala sana nyie watu
Laana za familia alizovuruga maisha yao hazitamwacha. Huyu mwanamama sijui aliona watanzania Kama vitoi.Chadema imekuwa kama vile vigenge vya wanawake wambea kusema watu, yaani kuna mijitu humu ina midevu na goroli zake 2 zimening'iniza yanapiga umbea kusema watu kama mabintiπ€£ππ€£, wewe kama ametembea na flani we inakuuma nini? Kama amezalishwa si kapenda yeye? Halafu ukiambiwa uthibitishe kumbe na wewe umesikia kwa mtu, yaani kama wanawake wale wambea waliokosa kazi...
Aisee mnaudhi sana, hebu tuzungumzie mambo mengine sio kusema watu kama wanawake wa uswahilini dume zima na kende zako una discuss maisha ya watu..
Mambo wanayohoji machadema yanashangaza sana
Sasa jiwe na ile pace maker alikuwa anauweza muziki wa yule Dada?!!!Alizalishwa kinguvu na bwana yule.....
Wivu huwa hamsaidii mtu kuwa tajiri au kupunguza matatizo yake. Pambaneni na hali zenu.
Mtanikumbuka kwa mema - RIP JPM
Mfano mzurimdogo Ni Prof. Anna TibaijukaWanawake wa kiafrika wanapenda sana kubebwa na wanaume kwa kutumia mahaba kama qualification criterion.
Angalia wanawake wote walio ktk nafasi zenye ushawishi mkubwa katika nchi hii lazima utakuta nyuma yake kuna mwanaume, anzia juu kabisa kushuka chini.
Hakuna mwanamke anayeweza kufika kileleni bila kusaidiwa na mwanaume, kama yupo mniambie ni nani na uangalie usiropoke usije ukaumbuka bure humu.
Huyo anayesemwa humu hayuko peke yake, wanawake wote, hasa wa kiafrika, hiyo ndio hulka yao. Tuseme tu ukweli, isingekuwa mwanamme leo hii tusingekuwa na rais mwanamke, watu wazima watanielewa. So please leave Angela alone.
Nadhani Kamata alimnyimaEnzi chuma alikua waziri alikua bahili saana! Wabunge walikua wanamkimbia kwenye kazi zake na hata akiwatongoza..alivyopata urais alilipa fadhila Sana kwa wale wachache waliomvumilia udhaifu wake..pia aliibua Sana Tim mpya ambayo ukimtii anakupa unachotaka Ila ukimkaid anakupa maumivu hutokaa kuyasahau
Endelea hivyo hivyo sukuma gang....bado wanawrweseka mungu wao kaenda.....Weka ushahidi, vinginevyo majungu.
Ukiwa boss wanakubembeleza .....one min anaondoka kaacha 20mik hapo...za kujikimu anaenda zake...anachafua tu ....unafikiri kuna cha maana wadasa wana siri nyingi za ma boss na wazeeSasa jiwe na ile pace maker alikuwa anauweza muziki wa yule Dada?!!!
Khaaaa[emoji849][emoji849][emoji134]MaCCM na matendo ya hovyo, hawataenda mbinguni. karudisha shombo kwa mumewe na mtoto wa kirundi juu, na maisha yanaendelea.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwann alikuwa bahiliEnzi chuma alikua waziri alikua bahili saana! Wabunge walikua wanamkimbia kwenye kazi zake na hata akiwatongoza..alivyopata urais alilipa fadhila Sana kwa wale wachache waliomvumilia udhaifu wake..pia aliibua Sana Tim mpya ambayo ukimtii anakupa unachotaka Ila ukimkaid anakupa maumivu hutokaa kuyasahau
Uzuri utetezi upo yani! Kama walipendana kweli wataendelea sababu mwanamke alimshirikisha mumewe katika janga hilo!MaCCM na matendo ya hovyo, hawataenda mbinguni. karudisha shombo kwa mumewe na mtoto wa kirundi juu, na maisha yanaendelea.ππππ
Kauliza 'kimshadadio' au siyo?!Mkurungwa MFIZIGO anajua huyo basi tu kauliza kimshadadio.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app