Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

Wakurungwa salam,

Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.

Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Dem ni mtam huyu asikwambie mtu.
 
Jide hakukosea, mianaume ya siku hizi yani ni kama mabinti tu. Badala ya kushughulikia masuala ya msingi watu wanakuja jf kupiga umbea. Too bad!
Tusitafute watu waliopotea!? Kosa letu nn hapa, kumuulizia madam na hatujamwona siku nyingi!? Mbona mafala sana nyie watu
 
Wengine hatujawahi kumsikia, tuwekee picha yake tumuone.
Huyu hapa
images%20(22).jpg
 
Mwendazake alikuwa ana Pumzika na kula sehemu nzuri sana.

Code nyepesi sana hii, sihitaji ufafanuzi
 
Tusitafute watu waliopotea!? Kosa letu nn hapa, kumuulizia madam na hatujamwona siku nyingi!? Mbona mafala sana nyie watu
Kati ya dume anayepiga umbea na asiyepiga umbea fala ni nani sasa hapo?
Wanaume kama mabinti 🎶 - Jide
 
Chadema imekuwa kama vile vigenge vya wanawake wambea kusema watu, yaani kuna mijitu humu ina midevu na goroli zake 2 zimening'iniza yanapiga umbea kusema watu kama mabinti🤣😂🤣, wewe kama ametembea na flani we inakuuma nini? Kama amezalishwa si kapenda yeye? Halafu ukiambiwa uthibitishe kumbe na wewe umesikia kwa mtu, yaani kama wanawake wale wambea waliokosa kazi...

Aisee mnaudhi sana, hebu tuzungumzie mambo mengine sio kusema watu kama wanawake wa uswahilini dume zima na kende zako una discuss maisha ya watu..
Laana za familia alizovuruga maisha yao hazitamwacha. Huyu mwanamama sijui aliona watanzania Kama vitoi.

Wakati huo ulikuwa wakati wake wakutesa, Leo vipi Tena. Ni vizuri akaenda kumshauri huko aliko pia.
 
MMAMAA SAMIA RUDISHA HIZO ......NCHINI ZIMETUCHEZEA SANA HUKI CHINA KHA
...WAMO
...WAMO
 
Wanawake wa kiafrika wanapenda sana kubebwa na wanaume kwa kutumia mahaba kama qualification criterion.

Angalia wanawake wote walio ktk nafasi zenye ushawishi mkubwa katika nchi hii lazima utakuta nyuma yake kuna mwanaume, anzia juu kabisa kushuka chini.

Hakuna mwanamke anayeweza kufika kileleni bila kusaidiwa na mwanaume, kama yupo mniambie ni nani na uangalie usiropoke usije ukaumbuka bure humu.

Huyo anayesemwa humu hayuko peke yake, wanawake wote, hasa wa kiafrika, hiyo ndio hulka yao. Tuseme tu ukweli, isingekuwa mwanamme leo hii tusingekuwa na rais mwanamke, watu wazima watanielewa. So please leave Angela alone.
Mfano mzurimdogo Ni Prof. Anna Tibaijuka
 
Enzi chuma alikua waziri alikua bahili saana! Wabunge walikua wanamkimbia kwenye kazi zake na hata akiwatongoza..alivyopata urais alilipa fadhila Sana kwa wale wachache waliomvumilia udhaifu wake..pia aliibua Sana Tim mpya ambayo ukimtii anakupa unachotaka Ila ukimkaid anakupa maumivu hutokaa kuyasahau
Nadhani Kamata alimnyima
 
Weka ushahidi, vinginevyo majungu.
Endelea hivyo hivyo sukuma gang....bado wanawrweseka mungu wao kaenda.....
Sasa jiwe na ile pace maker alikuwa anauweza muziki wa yule Dada?!!!
Ukiwa boss wanakubembeleza .....one min anaondoka kaacha 20mik hapo...za kujikimu anaenda zake...anachafua tu ....unafikiri kuna cha maana wadasa wana siri nyingi za ma boss na wazee
 
Enzi chuma alikua waziri alikua bahili saana! Wabunge walikua wanamkimbia kwenye kazi zake na hata akiwatongoza..alivyopata urais alilipa fadhila Sana kwa wale wachache waliomvumilia udhaifu wake..pia aliibua Sana Tim mpya ambayo ukimtii anakupa unachotaka Ila ukimkaid anakupa maumivu hutokaa kuyasahau
Kwann alikuwa bahili
 
Wanawake wengi connection yao iliyowasaidia kufika juu ni K. Wametumia uchumi wa kati kufika kwenye mafanikio, kama huamini kazi kwako. Wamejazana serikalini kibao hakuna kinachofanyika ni mipasho tu.
 
MaCCM na matendo ya hovyo, hawataenda mbinguni. karudisha shombo kwa mumewe na mtoto wa kirundi juu, na maisha yanaendelea.😂😂😂😂
Uzuri utetezi upo yani! Kama walipendana kweli wataendelea sababu mwanamke alimshirikisha mumewe katika janga hilo!

Sio kwa kupenda ila alifosiwa sana na mikwara kuwa na mumeo tutamfuta kazi ukigomea hilo! Sometimes wanaume inabidi tujifunze kuwa na roho za chuma tu!

Inakuja jumbe tu unataka kazi au hutaki na mumeo wote mtarudi benchi 😂! Mtt lazma ajitetee hivi mwacheni akaombe msamaha huko uchinani
 
Back
Top Bottom