Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

Ummy alipewa uwaziri
Kairuki alipewa uwaziri
Joketi UDC
Sundi Ukaguzi wa migodi

Alikuwa anawakumbuka sana.
kwa hiyo huyo alokuwa anapigiwa simu usiku wa manane kipindi cha corona ile corona ilikuwa geresha tu kumbe wana mambo yao 🤦‍♂️
 
Ila Jiwe ni kitu kimoja tu alifanikisha maishani mwake ni kwa kugonga huyu superlady. Hii ni everlasting legacy kaacha.

Mwacheni alale mahala pema JPM

Halafu Maghayo kumbe bado hujawajua wanawake eeeh
 
Wanawake wa kiafrika wanapenda sana kubebwa na wanaume kwa kutumia mahaba kama qualification criterion.

Angalia wanawake wote walio ktk nafasi zenye ushawishi mkubwa katika nchi hii lazima utakuta nyuma yake kuna mwanaume, anzia juu kabisa kushuka chini.

Hakuna mwanamke anayeweza kufika kileleni bila kusaidiwa na mwanaume, kama yupo mniambie ni nani na uangalie usiropoke usije ukaumbuka bure humu.

Huyo anayesemwa humu hayuko peke yake, wanawake wote, hasa wa kiafrika, hiyo ndio hulka yao. Tuseme tu ukweli, isingekuwa mwanamme leo hii tusingekuwa na rais mwanamke, watu wazima watanielewa. So please leave Angela alone.
Huyu kawekwa na mwanaume gani Dr. Asha-Rose Migiro
 
Anjela dhambi kubwa alotenda kumshauri Meko ktk zoezi la fukuzafukuza vyeti feki na darasa la Saba haitamuacha salama ilitakiwa busara km walivopotezea mzee Mkapa na JK
 
Chadema imekuwa kama vile vigenge vya wanawake wambea kusema watu, yaani kuna mijitu humu ina midevu na goroli zake 2 zimening'iniza yanapiga umbea kusema watu kama mabinti🤣😂🤣, wewe kama ametembea na flani we inakuuma nini? Kama amezalishwa si kapenda yeye? Halafu ukiambiwa uthibitishe kumbe na wewe umesikia kwa mtu, yaani kama wanawake wale wambea waliokosa kazi...

Aisee mnaudhi sana, hebu tuzungumzie mambo mengine sio kusema watu kama wanawake wa uswahilini dume zima na kende zako una discuss maisha ya watu..
 
Na akina nani ambao aliwaondoa kwa kinyimwa
Hatujui kwa uhakika. Lakini.hao angalao kuna uhakika alikuwa nao. Wawili, miongoni mwao, alibahatika kuzaa nao. Japo huyo mmoja kuna ukakasi maana ni mke wa mtu.

Mzee Lusinde akionesha kufadhaishwa na kitendo hicho, aliandika, 'siyo vizuri kutumia cheo chako kumnyang'anya mwenzako mke wake". Na hata huyo mwingine, alimpa mimba akiwa mwanafunzi wa kidato cha 6. Nayo, tena kwa nafasi yake, wakati huo akiwa waziri, haikuwa hakibwala busara.
 
Anjela dhambi kubwa alotenda kumshauri Meko ktk zoezi la fukuzafukuza vyeti feki na darasa la Saba haitamuacha salama ilitakiwa busara km walivopotezea mzee Mkapa na JKwe jamaaa nawe utaw
we nawe itakuwa ulikuwa una cheti feki sio bure
 
Chadema imekuwa kama vile vigenge vya wanawake wambea kusema watu, yaani kuna mijitu humu ina midevu na goroli zake 2 zimening'iniza yanapiga umbea kusema watu kama mabinti🤣😂🤣, wewe kama ametembea na flani we inakuuma nini? Kama amezalishwa si kapenda yeye? Halafu ukiambiwa uthibitishe kumbe na wewe umesikia kwa mtu, yaani kama wanawake wale wambea waliokosa kazi...

Aisee mnaudhi sana, hebu tuzungumzie mambo mengine sio kusema watu kama wanawake wa uswahilini dume zima na kende zako una discuss maisha ya watu..
Mkuu kwa kujibu tu inaonyesha we mwenyew unapenda umbea
sie tuliosoma saokolojia tushakumanya🤣
 
Hatujui kwa uhakika. Lakini.hao angalao kuna uhakika alikuwa nao. Wawili, miongoni mwao, alibahatika kuzaa nao. Japo huyo mmoja kuna ukakasi maana ni mke wa mtu.

Mzee Lusinde akionesha kufadhaishwa na kitendo hicho, aliandika, 'siyo vizuri kutumia cheo chako kumnyang'anya mwenzako mke wake". Na hata huyo mwingine, alimpa mimba akiwa mwanafunzi wa kidato cha 6. Nayo, tena kwa nafasi yake, wakati huo akiwa waziri, haikuwa hakibwala busara.
mkuu inaonekana una confidence na taarifa zako utadhan gerson msigwa
 
Mkuu kwa kujibu tu inaonyesha we mwenyew unapenda umbea
sie tuliosoma saokolojia tushakumanya🤣
Huu ni umbea na hakuna facts wala habari zilizothibitishwa, wale wanawake wa uswahilini ndio kazi zao hizi, we unasema kawapa mimba, we ndie ulikuwa kitanda kipindi wanadinyana? We ndiye ulikuwa daktari kumpima DNA mtoto, humu kutakua na mabwabwa and soon yatapakuliwa..
 
Hapana ni tamaa zake tu yule dada ukisikia watu wanatumia fursa kwa nguvu za u.c.h.i ndio yulea dada kote alikopita utashangaa ni kilaza dunia hii haipo...akiwa UK akamdandia Mbwelwa ....akapenya aliporudi anrpenya penya kwa nguvu ya k hatari sana yule dada..mtoto kigogo mmoja alikuwa PM na KM OAU....Mama Mpare....
....
Ila wewe jamaa una Majungu sana. Na ndio sifa ya wabongo wengi Majungu, uzushi, fitina na roho mbaya. Yaani kuzusha tuuu. Mkiona mwanamke mzuri anafanikiwa basi ndio kama hivi kuzusha tu. Japo najua Mwanamke yeyote mwenye mvuto kama Angela lazima atengenezewe Majungu popote atakapopita .

Kuhusu Mtoto aliyezaa mmemuona anavyofanana.

Lambati sikujua wewe ni Jungulist kiasi hiki. Ninashaka hata kazini kwako ni shida. Hata mtaani unakoishi I doubt
 
Wakurungwa salam,

Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.

Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Mmeanza 😂😂😂 wabongo mna nongwa
 
Chadema imekuwa kama vile vigenge vya wanawake wambea kusema watu, yaani kuna mijitu humu ina midevu na goroli zake 2 zimening'iniza yanapiga umbea kusema watu kama mabinti🤣😂🤣, wewe kama ametembea na flani we inakuuma nini? Kama amezalishwa si kapenda yeye? Halafu ukiambiwa uthibitishe kumbe na wewe umesikia kwa mtu, yaani kama wanawake wale wambea waliokosa kazi...

Aisee mnaudhi sana, hebu tuzungumzie mambo mengine sio kusema watu kama wanawake wa uswahilini dume zima na kende zako una discuss maisha ya watu..
Wengi tu ambao siyo CHADEMA wamechangia humu. Wacha generalization.
 
Back
Top Bottom