Angelina Jolie aanza kusumbuliwa na Mama wa mtoto aliyemuasili

Angelina Jolie aanza kusumbuliwa na Mama wa mtoto aliyemuasili

Soma literature ujue factors za kuzaa watoto wengi! Caldwell ndiye enzi hizo anaeleza njia za kupunguza population!

Naomba nikueleze hata factors za Kuoa wanawake wengi katika nchi zetu maskini ni kupata cheap labour. Si migegedo kama mnavyoamini.

kabla ya hizi shule etc wanaume walio ili wapate Watoto na Watoto wawape social security wazazi wao wakizeeka. Jinsi ya kupunguza vizazi hata kwa wenzetu ilikuwa ni serikali zao kutoa social benefits, nyumba za wazee ili mtu aone hakuna haja ya kuzaa Watoto wengi.

Kwa muktadha huo, sisi watu maskini hatuzai bila malengo. Tunazaa na kuhangaika na Watoto ili hapo baadaye watufae.

Hapa JF Naona madogo wanajitoa ufahamu kiasi wanadai wazazi wao ndiyo wanapaswa kuwatunza na pumbu zao Mpaka wafe! This is wrong, mzazi ni investor, anainvest kwako. Although mara nyingi tumekuwa bad investment- tunakuwa mizigo kwa wazazi wetu.

Nenda moshi uone, mzazi asiye na kijana nje ya moshi anavyoadhirika wakati wenye Watoto nje, wanavyofurahia maisha kutokana na remittances!
Hayo ni mawazo finyu kwa nchi zetu maskini, ndio maana watu wanazaa watoto wanashindwa kuwatunza tunaishia kuwa na kizazi cha ajabu kabisa. Mtu unazaa watoto kumi halafu unashindwa kuwatunza anaishia kutegemea wengine.
Zaa watoto unaoweza kuwatunza hata kama ni mmoja, mpe malezi na mazuri. Watu wengi huko vijijini wamezaa watoto wangi lakini ukiangalia maisha wanayoishi yanatia huruma. Mtoto anakuja mjini hana mtaji wala nini anaishia kuwa na maisha magumu, anashindwa hata kumsaidia mzazi hela ya matumizi.
 
Hayo ni mawazo finyu kwa nchi zetu maskini, ndio maana watu wanazaa watoto wanashindwa kuwatunza tunaishia kuwa na kizazi cha ajabu kabisa. Mtu unazaa watoto kumi halafu unashindwa kuwatunza anaishia kutegemea wengine.
Zaa watoto unaoweza kuwatunza hata kama ni mmoja, mpe malezi na mazuri. Watu wengi huko vijijini wamezaa watoto wangi lakini ukiangalia maisha wanayoishi yanatia huruma. Mtoto anakuja mjini hana mtaji wala nini anaishia kuwa na maisha magumu, anashindwa hata kumsaidia mzazi hela ya matumizi.
Ni sahihi ila kumbuka kuna pro natalists na nyie antinatalists ujue. Kila kundi lina mtizamo na Ute Tezi wake
 
Shida siyo umaskin WATU hawataki kujua nini kimewaleta duniani na kwanini wapo umaskin ndo unanzia apo
 
Kumbe wakati mwingine kuna jambo linatokea kwa maana zake, Manake ni kuwa bila huyo binti kutelekezwa leo hii asingekuwa hapo alipo.
Mungu apewe sifa
Mungu angekuwepo, kusingekuwa na watu wenye umasikini wa mali na akili kiasi cha kutupa watoto wao kwa namna hii.

Acheni ujinga wa kumsifia Mungu ambaye clearly hayupo.
 
Unaona! Damu nzito kuliko maji. Mtoto hawezi kuacha biological mother akaadhirika wakati ana uwezo. Kikubwa kufaidika kutokana na kuzaa.
we kiazi hata hujaelewa nilichokiandika, yaani unafaidika na mtoto wako ambaye hana mapenzi na wewe? mtoto wako wa kumzaa anakusaidia kama mtu baki halafu unasema unafaidika kwa kuzaa, mkuu uko sawa kichwani kweli, yaani unamuomba mtoto wako hela anakutumia, ukishapokea unajipigisha simu na maneno kibao, asante mwanangu kpenz nimepata mungu akubariki uzidi kufanikiwa zaid, nakupenda sana mwanangu kpenz, yeye anajibu tu, haya. anakata simu.
 
we kiazi hata hujaelewa nilichokiandika, yaani unafaidika na mtoto wako ambaye hana mapenzi na wewe? mtoto wako wa kumzaa anakusaidia kama mtu baki halafu unasema unafaidika kwa kuzaa, mkuu uko sawa kichwani kweli, yaani unamuomba mtoto wako hela anakutumia, ukishapokea unajipigisha simu na maneno kibao, asante mwanangu kpenz nimepata mungu akubariki uzidi kufanikiwa zaid, nakupenda sana mwanangu kpenz, yeye anajibu tu, haya. anakata simu.
Tatizo una mihemko au bado umri! Faida ya mtoto ni kile anachokupa ukaweka kinywani. Masuala ya mapenzi waachie wapendanao. Ndo maana mnapigwa na vitu vizito na mabinti.
 
Kabisa ndugu tukutane kwenye matukio tu
Ila nadhani Angelina hajapata usumbufu kwa hao watoto wengine alio walea....kama alivyopata kwa huyo mwafrika
Huku kwetu ukiwa na Jema sie tuna Baya.Baya sie jema.

Hao wenzetu kuzaliwa tu kukuta umeme ,maji safi.N.k
Sasa huku maji shida mpaka upishane na fisi..unafikiri akili zetu zitakuwaje?

Kashindwa kuelewa kuwa mwanae katoka ngumuni kuelekea laini.Yeye badala atumie laini ya mwanae mdo mdo anautaka ugumu.
 
simlaumu mama yake kwa kumtelekeza kwa bibi. Na Ethiopia kuna dhiki kali hakuna mfano.
Hakuna excuse kwenye swala la malezi mkuu.
Kama kweli kuna dhiki mbona ye bado yupo hai mpaka leo!
Alikua anakula nini? Alikua anaishi wapi? Kama aliweza kuishi na kula basi angeweza kufanya hayo yote na mwanae.

Atabaki kua mwanamke ila hawezi kua mama”

Ilitakiwa kama shida ni njaa ilitakiwa yeye afe kwanza ndo wasamalia wema waje wamwokoe mtoto, angekua ametimiza moja ya sifa ya Mama ya upendo na angebakiza muhuri wa kipekee kwenye moyo wa mtoto milele.
 
Hakuna excuse kwenye swala la malezi mkuu.
Kama kweli kuna dhiki mbona ye bado yupo hai mpaka leo!
Alikua anakula nini? Alikua anaishi wapi? Kama aliweza kuishi na kula basi angeweza kufanya hayo yote na mwanae.

Atabaki kua mwanamke ila hawezi kua mama”

Ilitakiwa kama shida ni njaa ilitakiwa yeye afe kwanza ndo wasamalia wema waje wamwokoe mtoto, angekua ametimiza moja ya sifa ya Mama ya upendo na angebakiza muhuri wa kipekee kwenye moyo wa mtoto milele.
KAma ni mauaji umeniua kikatili. Kwa ufupi nimepindua maelezo yangu na kuafiki yako.
 
Back
Top Bottom