Angelina Jolie aanza kusumbuliwa na Mama wa mtoto aliyemuasili

Nitafanya mpango kwenda kuopoa mke huko Ethiopia.

Ngoja nijifunze Ki Amharic...[emoji1]
 
Kisheria haki hiyo hana ya kulazmisha kuongea naye kwa sababu Mwenye haki ya kumruhusu ni mama yake zahara ambaye ni Angelina jolie (Kisheria) alikuwa wapi miaka yote hiyo? Aje arudi sasa hivi
 
Hii kesi asubuhi tu anashindwa
 
Baba yako anajisikiaje kumtelekeza mtoto?
Hakuna chochote, hakumtekekeza mtoto, yule mama aliondoka bara akiwa na mimba changa kurudi pwani kwao baadaye, wakaondoka ng'ambo na mama yake kaolewa na mmarekani, na mzee alihamishwa bara kuja mkoa mwingine, na Wala yule mama hakutafuta baba wa mtoto wake, mawasiliano zamani ya shida, na yule mama yake kamueleza story yote ilivyokuwa, ndomana kaenda wizara x, kuangalia kahamishiwa sehemu fulani na ye kufatilia, ye kataka kukutana na baba yake na kutufahamu basi na si kingine, nachowasilisha damu nzito kuliko maji.
 
Ana roho nzuri sana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…