Angelina Jolie aanza kusumbuliwa na Mama wa mtoto aliyemuasili

, Mama Zahara akatoroka nyumbani na kumuachia mtoto bibi yake, bibi nae kwa hofu ya kumkosa mtoto kutokana na lishe duni akampeleka kituo cha kulea watoto yatima na kuomba msaada wampokee mtoto, atakufa kwa njaa,
Kama aliweza kumtelekeza, maana yake hakujali kama ataishi au la. Anapata wapi ujasiri wa kutaka kuongea nae sasa hivi, ingekuwaje kama angekufa?

Huyo mama atulie tu kwasasa, asubirie siku mtoto atakapotaka kujua chimbuko lake, pengine ndio watafahiana.
 
Jolie ana nafasi yake ktk thamani ya binadamu.
Apewe maua yake.
 
Ndiyo Cuzoo...
Sasa hivi Anamuita Mond Daddy na Zuch ni Mumy[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hii Dunia ni ngumu sana Wallah...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila sis Una nn wee lakini??
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimechekaa sana Cuzo, hii Dunia au tuimarinate na tangawizi Nini mbona ngumu hivi???
Sasa baba kama yule kuendekeza njaa Hadi kujitoa akili maana yake Nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninyi ambao mnalea watoto wenu vizuri mmefika wapi huko duniani? Zaidi ya hao hao wa hovyo ndio wanaowaletea misaada hadi nguo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akikujibu nitag.
 
Tupe namba ya uyo bint
 
Huyo Mama ni mpumbavu tu.
Sana sana ambacho angeweza kufanya ni kumuomba msamaha Binti yake tena hadharani, na Mengine amuachie Binti mwenyewe.

Ila kwa ujumla Mama wa kweli na WA halali wa Binti ni Anjela.
usemalo ni kweli kabisa, mwenye maamuzi ya mwisho ni binti mwenyewe, biological mama wake anaposema binti ana familia africa na inampenda huo ni unafiki mkubwa. huwezi kumpenda mtu ukamtelekeza, ingekuwa mama yake mzazi ndo alimchukua na kumpeleka kwenye kituo cha kulelea watoto kutokana na maisha magumu ningemwelewa, lkn kitendo cha kumtelekeza kwa bibi yake siwezi kumwelewa kabisa. mama akae kwa kutulia, amwombe binti msamaha na asubiri reaction ya binti, asilazimishe uhusiano aliouvunja mwenyewe.

#mamahalaliwabintiniangelina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…