ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Yeuwii mchezo wa ma cult huo!Yeah Mzee Jon Voight, Angie amepinda kiasi chake, si alikuwa anakulana na kaka ake yule toka nitoke!?![emoji80] [emoji80] [emoji80] [emoji80]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeuwii mchezo wa ma cult huo!Yeah Mzee Jon Voight, Angie amepinda kiasi chake, si alikuwa anakulana na kaka ake yule toka nitoke!?![emoji80] [emoji80] [emoji80] [emoji80]
Hiyo depression ya Brad ilikuwepo tangu wakati wa ndoa au una-speculate tu kwamba atapata depression kwa vile ameachwa? Brad nae ana uzuri gani? Mbona alimbwaga Jennifer?Hataki child support?basi atamkamua kwenye kugawana mali,ila Brad lazima atowe child support.Namchukia sana Anjelina,si kwa kumsababishia depression Brad jamani.Ila malipo ni hapa hapa duniani,mama Brad alimshauri mwanae hakusikia ,leo anaachwa kiaibu
I think there is more to a marriage than boobs, just saying.Jolie hawezi olewa tena maana alikatwa maziwa kutokana na breast cancer
Imebidi nicheke tu, unampenda Tom mzee wa scientologyNataka anayovuta mkulu
Kama nakumbuka vizuri Angelina mwaka Jana aligundulika ana saratani ya matiti, na matiti yake yote mawili yalikatwa. Labda Brad anaona mkewe hana mvuto tena. Hata hivyo Brad lazima alikuwa na stress, sio kwa kulea kundi lote hilo la watoto.
I think there is more to a marriage than boobs, just saying.
Kuwa na mpunga mrefu bado hakuumpunguzii mwanaume hadhi yake ila marekani ni nchi ya kigorokoNimesoma Yahoo amesema hataki cha Child support wala sent tano ya Brad...huyu ni mwanamke wa shoka...ukute yeye ndio ana mpunga mrefu...
Child support ya watoto sita kwa sheria za wenzetu zilivyo kali zitamfilis BradJennifer Anston atakuwa anachekelea tu huko aliko,kazi ipo kwenye kugawana mpunga,Brad kazi anayo,Child support kwa watoto sita ataipata fresh.
Kama nakumbuka vizuri Angelina mwaka Jana aligundulika ana saratani ya matiti, na matiti yake yote mawili yalikatwa. Labda Brad anaona mkewe hana mvuto tena. Hata hivyo Brad lazima alikuwa na stress, sio kwa kulea kundi lote hilo la watoto.
Inapendeza eehWarudiane tu ila jamaa aachane na kula msuba
Yaani i don't understand them
Ila ni couple niliyoipenda sana!