Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakuwa sija-log out ila net itakuwa imekata kwa bahati mbaya tu kama Chelsea imefungwa vile teh teh tehSawa, lakini uendelee kuwepo humu hadi mwisho wa game. Isije kutokea ukalogout kimya kimya 😀
Wapopo wanacheza kibishoo sana hapa leo hawana ubavu wowote.
station gani hasa?Again!!Game zote zinapatikana online...bofya kwenye link ya game unalohitaji kucheki hapa;
http://www.atdhe.net/index.html
Mod: Mnaweza kuweka hii link kama sticky..michezo karibu yote inapatikana hapa live...online!!
station gani hasa?
onlinestation gani hasa?
teyari kaka/dada nimekusoma...pamoja...Mkuu, ukiingia kwenye link hiyo bofya live sport halafu utaona list za michezo mingi. Chagua/double click kwenye game unalolitaka na utaona window nyingine yenye hiyo stream!!
ni mapumziko nini?online
Ilikuwa mapumziko mkuu, samahani tunakuwa hatukupi updates, hatuko fair. Tunafanya assumptions kuwa hata wewe uko na TV mbele yako. Match inaendelea, wanashambuliana kwa zamu, Nigeria wameamka. Wanaonyesha uhai sana! Huenda wakarudisha muda si mrefu. Inaelekea dakika ya 51 hivini mapumziko nini?
May be alikuwa majeruhi kabla ya mashindano kuanzaHuyu John Mensah wa Ghana hayupo huku Angola kwa madai kwamba yeye ni majeruhi, lakini ni jana tu ameichezea Sunderland kwenye Premier League dhidi ya Everton. Sasa naona uzalendo wa fedha ulimshinda akaamua aikimbie timu yake ya taifa kwa kisingizio cha kuwa majeruhi.
Yana mwisho mkuu, kuna siku atakuja kuona umuhimu wa kulitumikia taifa kwanza! Hata waliompa ruksa ya kulichezea taifa si kama walikuwa wendawazimu, sema miafrika ndivyo tulivyo...Huyu John Mensah wa Ghana hayupo huku Angola kwa madai kwamba yeye ni majeruhi, lakini ni jana tu ameichezea Sunderland kwenye Premier League dhidi ya Everton. Sasa naona uzalendo wa fedha ulimshinda akaamua aikimbie timu yake ya taifa kwa kisingizio cha kuwa majeruhi.