Anguko la Diamond Platinumz kimziki

Anguko la Diamond Platinumz kimziki

Nini Chris Brown, hata huyo Michael Jackson au Rashid Kalindende aka R Kelly si kwamba kila ngoma walizokuwa wanatoa zilikuwa zinabamba!

Ha ha ha ha R. Kelly ndo anaitwa Rashid kalindende ha haha lol....
 
Hivi kwann Omy Dimpoz nyimbo zake ni nzuri na zinapendwa lakini kama watu wanampotezea....Yani huwa sielewagi..
 
Uko very wrong mkuu...Diamond atakuwa mkubwa mara ata tatu ya hapa alipo amini usiamini,na kitorondo ni next big hit kibongobongo......Alafu kwa nini mashabiki wa Kiba mnamlaumu diamond kupotea kwa kiba, Kiba kapotea kwa uzembe wake msimhusishe yoyote.
Labda aje na mengine mapya mkuu matumbo ila kwa sasa graph lake linakuja chini
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwann Omy Dimpoz nyimbo zake ni nzuri na zinapendwa lakini kama watu wanampotezea....Yani huwa sielewagi..
Ommy dimpoz ni mkali kuliko Diamond,ila nadhani kwenye promo wanatofautiana
 
Wakuu sishabikii ,ila I predict nyimbo zote zinazokuja za Diamond Platnumz hazitahit tena,Katoa wimbo unaitwa Kitorondo,nimesikiliza but kaimba rubbish ukifananisha na ''My number one''

count on me hakutakuwa na wimbo mzuri na utakao mjulisha Diamond kimataifa kama ''My number one remix"
now atafunikwa hata na wasanii wa kawaida wa hapa bongo.


NB:ASIMDHARAU ALIKIBA WOTE WANAFANANA TU

Kitu ya 'MOTO! ya mkubwa na wanae!
 
Kuna watu wana bahati tu kwenye maisha lakini sio wana vipaji sana, unaweza kuta mtu kichwa kimetulia sana lakini hatoki kimaisha.

Namkubali sana T.I.D ila unga na promo Hana ukweli Ana kipaji hata sauti yake imetulia sana.
Mkuu ni promo tu nothing special,imagine Diamond media zikimkataa atahit kuliko wengine au kuliko huyo TID?kuna watu hawana promo na wanasikika hivo hivo
 
Wivu utawamaliza. Dogo yuko juu sana sasa. Angalieni na yenu pia.
 
Anataka kila songi la Diamond limbambe
wakati kila mtu anabambwa na anachokiona bora kwake
kuna songi mi zinankera hadi kesho Rita,busu la pink na bembeleza za marlow ila kuna watu zinawakuna mbaya

Una matatizo yako binafsi na marlow si bure
 
Una matatizo yako binafsi na marlow si bure
Hivi ushaona Enrique Inglesis nyimbo zake?zote zina hit!kuna huo wa Bailando kaimba kispanish na video ya kawaida just simple video,wimbo kama wa ukweli wa ukweli tu haijalishi lugha,lakini huo wimbo kila tv za ulaya nadhani hata bongo lazima upigwe tu
 
Kuna mtu anaitwa Heaven in Desert ngoja aje mtakoma!
 
Hatuhitaj ustaa jina 2nahtaj ubunifu na ujanja wa kusoma soko la muzik na mashabik kibaaa kibaa...wat has he done so far???!!! Mi c shabik wa diamond bt ni shabik wa kjana mwenzang yyte anayejtuma na anayejua kusoma alama za nyakat, diamond hoyeeee!!!
 
Hatuhitaj ustaa jina 2nahtaj ubunifu na ujanja wa kusoma soko la muzik na mashabik kibaaa kibaa...wat has he done so far???!!! Mi c shabik wa diamond bt ni shabik wa kjana mwenzang yyte anayejtuma na anayejua kusoma alama za nyakat, diamond hoyeeee!!!
kwahiyo we ni mshabiki wa kijana yupi anayejituma?
 
Achana na hiyo unayosema,hivi unajua Diamond ana video ambayo inasumbua sana kimataifa inaitwa Bum bum kamshirikisha Iyanya!!!? Kama unakodoleaga Channel 0,Trace na tv zingne za kimataifa utaona kule jamaa anavyosumbua mpaka hiyo Number 1 unayoisema watu washaisahau kule sema tu humu ndani haijaanza kupigwa kawapa kwanza hiyo Mdogomdogo.....haaaaa haaaaa huyu jamaa utamsubir sana kama unategemea atashuka yan ni sawa na kusubir meli ubungo
 
Back
Top Bottom