Anguko la Diamond Platinumz kimziki

Anguko la Diamond Platinumz kimziki

Ukienda Dermarnk unaulizwa how is Mr NICE,kuna madem wa kizungu mpaka walijichora tatoo ya mr nice

sijui kwanini naamini kipindi mr nice alivyokuwa juu usingeweza kumfagilia hivi...naamini kipindi mr nice yupo juu ungesema bongo hamna msanii kama marehemu mbaraka mwishehe!.........wabongo wengi humkubali mtu akiwa amechoka kipindi mtu yupo juu atakandiwa sana
 
Back
Top Bottom