myao wa tunduru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2010
- 614
- 235
Ukienda Dermarnk unaulizwa how is Mr NICE,kuna madem wa kizungu mpaka walijichora tatoo ya mr nice
sijui kwanini naamini kipindi mr nice alivyokuwa juu usingeweza kumfagilia hivi...naamini kipindi mr nice yupo juu ungesema bongo hamna msanii kama marehemu mbaraka mwishehe!.........wabongo wengi humkubali mtu akiwa amechoka kipindi mtu yupo juu atakandiwa sana