Kabisa kwa upeo wako mpk mtu atumbuliwe ndo liwe ANGUKO??Hilo andiko lako lingeleta maana kama ingekuwa labda alitumbuliwa, lakini alijiengua mwenyewe akajaribu bahati sehemu nyingine, mambo yakawa tofauti, basi anaendelea na maisha mengine. Cha ajabu bado unalala unamuota
wa leo yukoje mwenzangu unaeishi naeKabisa kwa upeo wako mpk mtu atumbuliwe ndo liwe ANGUKO??
Hivi Makonda wa leo ndo Makonda wa juzi jombaa??
Ni yule yule ana msambwanda kama Shilolewa leo yukoje mwenzangu unaeishi nae
Kwa Umri gani haha acheni vichekeshoNasikia atarudi kama Mwenyekiti wa UVCCM Taifa!!Je ni kweli?Tusubiri !!!
Arudi Kama Mbunge wa kuteuliwa na Waziri (Ulinzi)?Ni majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa
Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha
Makonda atarudi tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo Alhad alikuwa anapumzika kwenye ule msambwanda wa Bashite?
MamaaaeeNi majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa
Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha
Makonda atarudi tu
Rudia tena, anamuandalia nini?Makonda hajaanguka, Jiwe kuna kitu anamuandalia
Mnaomtetea makonda ni wanufaika nae,aidha ukuta au aliwasaidia vyumbani mlikokuwa mnapata aibuHajaanguka kateleza ila kuanzaia 2025 nadhani ataangukia pua
Hana vyeti...safari hii tutathibitisha cheti chake Cha form fourNi majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa
Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha
Makonda atarudi tu
Jifunze mwandiko kwanzaMnaomtetea makonda ni wanufaika nae,aidha ukuta au aliwasaidia vyumbani mlikokuwa mnapata aibu
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
ThubutuuAnaweza kurudi kivingine kama makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Sharif!
Ile nyumba anayodaiwa na Gharib niliisemea hapa kabla Magufuli hajazikwa. JF haidanganyiHuyu mtu hawezi kurudi tena, naomba uniamini. Zero brain ameshindwa kuutumia vizuri ukaribu wake na JPM.
Ametumia vibaya ukaribu wake na Jiwe kuwapora matajiri magari, fedha kwa kisingizio cha "dawa za kulevya" au kwa kisingizio kuwa "Mzee amenituma anataka hela".
Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga. Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite. Atabakia tu kutumia hela alizo dhulumu.
Kuporomoka kwa Makonda kumeenda sawa na Mayor Benjamin Sitta na DED wa Kinindoni Aron Kajurumjuli. Utatu wao ilikuwa unapiga hela za miradi ya Coco, Machinjio na Stendi
Kuporomoka kwa Makonda kumeenda sawa na Mayor Benjamin Sitta na DED wa Kinindoni Aron Kajurumjuli. Utatu wao ilikuwa unapiga hela za miradi ya Coco, Machinjio na StendiHuyu mtu hawezi kurudi tena, naomba uniamini. Zero brain ameshindwa kuutumia vizuri ukaribu wake na JPM.
Ametumia vibaya ukaribu wake na Jiwe kuwapora matajiri magari, fedha kwa kisingizio cha "dawa za kulevya" au kwa kisingizio kuwa "Mzee amenituma anataka hela".
Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga. Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite. Atabakia tu kutumia hela alizo dhulumu.
Kuporomoka kwa Makonda kumeenda sawa na Mayor Benjamin Sitta na DED wa Kinindoni Aron Kajurumjuli. Utatu wao ilikuwa unapiga hela za miradi ya Coco, Machinjio na Stendi