Anguko la Makonda

Anguko la Makonda

Hilo andiko lako lingeleta maana kama ingekuwa labda alitumbuliwa, lakini alijiengua mwenyewe akajaribu bahati sehemu nyingine, mambo yakawa tofauti, basi anaendelea na maisha mengine. Cha ajabu bado unalala unamuota
Kabisa kwa upeo wako mpk mtu atumbuliwe ndo liwe ANGUKO??
Hivi Makonda wa leo ndo Makonda wa juzi jombaa??
 
gari ajali.jpg
 
Ni majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa

Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha

Makonda atarudi tu
Arudi Kama Mbunge wa kuteuliwa na Waziri (Ulinzi)?
 
Serikali za kiafrica zinawalinda wahalifu huyo ana makubwa kuliko hata ya Sabaya enzi za upumbavu.
 
Ni majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa

Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha

Makonda atarudi tu
Hana vyeti...safari hii tutathibitisha cheti chake Cha form four
 
Huyu mtu hawezi kurudi tena, naomba uniamini. Zero brain ameshindwa kuutumia vizuri ukaribu wake na JPM.
Ametumia vibaya ukaribu wake na Jiwe kuwapora matajiri magari, fedha kwa kisingizio cha "dawa za kulevya" au kwa kisingizio kuwa "Mzee amenituma anataka hela".

Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga. Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite. Atabakia tu kutumia hela alizo dhulumu.

Kuporomoka kwa Makonda kumeenda sawa na Mayor Benjamin Sitta na DED wa Kinindoni Aron Kajurumjuli. Utatu wao ilikuwa unapiga hela za miradi ya Coco, Machinjio na Stendi
Ile nyumba anayodaiwa na Gharib niliisemea hapa kabla Magufuli hajazikwa. JF haidanganyi
 
Huyu mtu hawezi kurudi tena, naomba uniamini. Zero brain ameshindwa kuutumia vizuri ukaribu wake na JPM.
Ametumia vibaya ukaribu wake na Jiwe kuwapora matajiri magari, fedha kwa kisingizio cha "dawa za kulevya" au kwa kisingizio kuwa "Mzee amenituma anataka hela".

Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga. Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite. Atabakia tu kutumia hela alizo dhulumu.

Kuporomoka kwa Makonda kumeenda sawa na Mayor Benjamin Sitta na DED wa Kinindoni Aron Kajurumjuli. Utatu wao ilikuwa unapiga hela za miradi ya Coco, Machinjio na Stendi
Kuporomoka kwa Makonda kumeenda sawa na Mayor Benjamin Sitta na DED wa Kinindoni Aron Kajurumjuli. Utatu wao ilikuwa unapiga hela za miradi ya Coco, Machinjio na Stendi
 
Hatupaswi kumhukumu mtu kwani sio jukumu letu ni la mahakama au Mwenyezi wa yote. Makonda alipewa madaraka na hakuyatumia madaraka yale vizuri kweni aliwazuru wengine na kuwa na dharau kwa viongozi wenzake. Ila pia kuna vitu alivitekeleza vema by chance.
 
Back
Top Bottom