Anguko la Simba lipo jirani

Anguko la Simba lipo jirani

Simba imefikia hatua ya kualikwa mechi ya kirafiki na timu ya Manyoni Secondary School, ujue ndo dalili zenyewe.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Africa bwana sijuwi Nani katuroga?
.hivi hujawahi kuona hata real Madrid au Manchester United zinakwenda hospital kutembelea wagonjwa?.
Au zinakwenda mashuleni?

Hiyo yote ni ktk kujiweka karibu na jamii mkuu.

Simba still ni dude kubwa sn,kulinganisha na utopolo .
 
Simba ilifikia hata kugombea nafasi isishuke daraja.
Sasa kwa Simba hii inayogombea ubingwa,

Hilo anguko lipo wapi?

Hizo ni ramli tu zinazopigwa na moshi wa bangi.
Hakuna ukwl wowote.
Ni kweli, ama mwisho 80' au kwenye 90'. Simba ilikuwa na matokeo mabaya sana. Mchezo wa kufunga ligi ilicheza na Yanga na ilikuwa ishuke daraja kama ingefungwa. Matokeo Yanga ilifungwa 2-1.
 
Kwahiyo miaka ya 2012 wakati utopolo anakung'utwa goli 5, 0 na simba ilikuwa mipango ya bashite?
Kwani mbona wewe kolo ulichomekwa tanotano kule Congo na Egypt na Jana umechomeka kimoko na Faisal halafu sie walau hatusemi tumewafichia kabisa hzo Siri zenu.. Wananchi haturingi kabisa
 
Kwani mbona wewe kolo ulichomekwa tanotano kule Congo na Egypt na Jana umechomeka kimoko na Faisal halafu sie walau hatusemi tumewafichia kabisa hzo Siri zenu.. Wananchi haturingi kabisa
Kwani as vita na Aly ahaly ni watani wa simba? Kwahiyo baada ya Yanga kushindwa kumfunga simba 5+ miaka yote umeamua kuipata furaha kutoka kwa wakongo na wa Misri yahe?

Ki uhalisia utopolo ndiye mhanga mkubwa wa vipigo vya mbwa mwizi

1977 simba 6 ,Yanga 0
1998 Raja casab 6 , Yanga 0
2012 simba 5 , Yanga 0
2020 simba 4 , Yanga 1
 
Kwani as vita na Aly ahaly ni watani wa simba? Kwahiyo baada ya Yanga kushindwa kumfunga simba 5+ miaka yote umeamua kuipata furaha kutoka kwa wakongo na wa Misri yahe?

Ki uhalisia utopolo ndiye mhanga mkubwa wa vipigo vya mbwa mwizi

1977 simba 6 ,Yanga 0
1998 Raja casab 6 , Yanga 0
2012 simba 5 , Yanga 0
2020 simba 4 , Yanga 1
Kuliwa ni kuliwa tyu.. Makolo tuwajua mnapunguza maumivu na history za maisha.. All in All Jana mmetafinwa kiboga.. nyie hamna Team Bali mna Squad na Mwaka huu hakuna mliachpambulia labda Lile kombe la dagaa kule Zenji🤣🤣
 
Leo mayanga njaa mwenzenu kawa wa maana coz tumemtimua baada ya kumshtukia?..ilifika hatua mlimkashifu hadi juunya ulemavu wake wa ngozi leo kawa mzuri?..timu ianguke coz ya MSEMAJI?..narrow mind I can't argue.
Narrow ameshajulikana kuwa ni wewe
 
Back
Top Bottom