Anguko la vijana wa kileo

Anguko la vijana wa kileo

Hapo umenionea mkuu size ya kiuno ikizidi 30 sio aina yangu kabisa 😁😁
Nakupata mkuu uko simple sana, najua vitu vyako😁😁😁
Screenshot_20250121-174449.png
 
Sure kabisa.

Unapata kitu ipo sealed na nembo yake, kabisa , Made in Germany sio made in kimboka
Hakuna ushindani wala msongo wa mawazo vile unataka awe anakuwa , cha muhimu ni kuishi aman na utulivu tu.
 
Hakuna ushindani wala msongo wa mawazo vile unataka awe anakuwa , cha muhimu ni kuishi aman na utulivu tu.
Hakika hata mzee wangu aliwahi kuniambia

Kosa kubwa utakalo fanya ni "kuanguka kimapenzi na kimapendo kupitiliza kwa mwanamke"
 
Back
Top Bottom