Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Si ndo hapo Sasa unaishia kupata gono tu na Hela huna kanaisha koteeee 🤣🤣🤣🤣🤣Wewe unadindisha tu sasa utamrungishia nani eti mkuuu hahahahh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndo hapo Sasa unaishia kupata gono tu na Hela huna kanaisha koteeee 🤣🤣🤣🤣🤣Wewe unadindisha tu sasa utamrungishia nani eti mkuuu hahahahh
Vise versa is true.usipokua makini dunia ya leo kua na mtoto wa kike ni 70% hasara.
kuna mtu unakuta ana watoto 6 girls full set
very disappointment
watoto wa kiume wa dar ndo janga ila mkoani vijana wapo wanachapa kazi hawana mambo ya kifarauni mikoani huko mara mwamnza mbeya iringa moshi arusha manyara moro kagera hakuna ushogaVise versa is true.
Hebu tengeneza sentensi yako igeuke Kwa mtoto wa kiume Karne na Karne inajulikana watoto wakike ni chombo Cha starehe Kwa mwanaume had kwenye vitabu vya din wanawake wanaojiuza walitajwa
Haya hebu tuambie hasara ya watoto wa kiume Kwa Sasa
Nina rafiki angu kipenzi ndoa Ina miez saba Sasa mwanaume anamwambia mim nilioa sababu ya presha ya wazaz ila mim Nina tumia jinsia kama yeye
Usimzungumzie mtoto wakike ilhal mtoto wakiume umemuweka kwenye kivul
Kuzaa mtoto wa kike na sawa na kubeti.usipokua makini dunia ya leo kua na mtoto wa kike ni 70% hasara.
kuna mtu unakuta ana watoto 6 girls full set
very disappointment
Hakika mkuuVise versa is true.
Hebu tengeneza sentensi yako igeuke Kwa mtoto wa kiume Karne na Karne inajulikana watoto wakike ni chombo Cha starehe Kwa mwanaume had kwenye vitabu vya din wanawake wanaojiuza walitajwa
Haya hebu tuambie hasara ya watoto wa kiume Kwa Sasa
Nina rafiki angu kipenzi ndoa Ina miez saba Sasa mwanaume anamwambia mim nilioa sababu ya presha ya wazaz ila mim Nina tumia jinsia kama yeye
Usimzungumzie mtoto wakike ilhal mtoto wakiume umemuweka kwenye kivul
Siku hizi sehemu za siri za mwanamke ni internal organs only. Figo, ini, mapafu na moyo.Kuna babu yangu aliniambia enzi zao mwanamke akivaa sketi paja likaonekana anazua gumzo kwa vijana wa mtaa mzima.
Ilikua adimu sana kuona paja tu yaani!! 😆
SawaVise versa is true.
Hebu tengeneza sentensi yako igeuke Kwa mtoto wa kiume Karne na Karne inajulikana watoto wakike ni chombo Cha starehe Kwa mwanaume had kwenye vitabu vya din wanawake wanaojiuza walitajwa
Haya hebu tuambie hasara ya watoto wa kiume Kwa Sasa
Nina rafiki angu kipenzi ndoa Ina miez saba Sasa mwanaume anamwambia mim nilioa sababu ya presha ya wazaz ila mim Nina tumia jinsia kama yeye
Usimzungumzie mtoto wakike ilhal mtoto wakiume umemuweka kwenye kivul
Usishindane na ke mkuu, watoto wakike wana hela za kupewa nyingi tu. Ila hako ni katam haswaAu sio 🤣🤣🤣🤣
Kama haka eti
Kwa maisha ya sasa unaweza kuta kabinti kama haka kanakuzidi pesa vibaya sanaa😂😂😂
View attachment 3211171
Inategemea mkuu!usipokua makini dunia ya leo kua na mtoto wa kike ni 70% hasara.
kuna mtu unakuta ana watoto 6 girls full set
very disappointment
Siku hizi tunaona hadi tumekinaiKuna babu yangu aliniambia enzi zao mwanamke akivaa sketi paja likaonekana anazua gumzo kwa vijana wa mtaa mzima.
Ilikua adimu sana kuona paja tu yaani!! 😆
😂🤣😅 Unajua nacheka kwa nini?
Shida sio jinsia, bali tatizo ni wazazi kutowapa malezi watoto waousipokua makini dunia ya leo kua na mtoto wa kike ni 70% hasara.
kuna mtu unakuta ana watoto 6 girls full set
very disappointment
Noma sanaHahaha hatari mkuu