Anjela anajihangaisha Tu pale BASATA

Anjela anajihangaisha Tu pale BASATA

Slowly

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
10,589
Reaction score
35,268
Taarifa zilizopo ni kuwa Anjela yupo Basata akipambana angalau kupata haki yake, hata hvyo mshale unaonekana atashindwa tuu, mana Harmonize hajatangaza kumfukuza kama alivyowafukuza wengine, pamoja na Yule mlamba mdomo yeye aliamua kukimbia kimya kimya.

Harmonize amemwambia Anjela Yuko huru kufanya mambo yake, na akihitaji msaada basi atamsaidia, at the same time, account zake zote za kidigital kondegang wamezipiga pin, hata Instagram Hana ubavu wa kupost chochote, kiufupi amefukuzwa kimya kimya, na achotakiwa ni kuanza upya, ..... Kuzipata million kumi za kutenguliwa mkataba kwake itakuwa ngumu sababu Harmonize hajatoa tamko public, ni kama amemtelekeza na kumkacha kimtindo.

Ushauri wangu namsihi aachane na Basata , akae chini atulie ,aanze upya naamini hawez kosa miambili au miatatu ya kuchanganyia mboga
 
Ingekuwa WCB sasa hivi Wakazi huko twitter anatambaa na kuandaa mpaka mjadala wa masaa hata mawili, Mange Kimambe tena huko ndio hashikiki.

Ila Konde tena Cheed katoka kimya, Killy kimya na leo Anjella yupo BASATA.

Hapo utajua mtoto wa Tandale wanaomchukia hawana sababu ila tu wameamua kumchukia.

Naona na wao wameamua kuwa wanyonyaji.
 
Taarifa zilizopo ni kuwa Anjela yupo Basata akipambana angalau kupata haki yake, hata hvyo mshale unaonekana atashindwa tuu, mana harmonize hajatangaza kumfukuza kama alivyowafukuza wengine , pamoja na Yule mlamba mdomo yeye aliamua kukimbia kimya kimya .
Kwa maelezo uliyotiririka hapa inamaana Mmakonde ni zulumati, mwizi na tapeli. Kumfanyia umafia binti aliyeahidi kuwa angempeleka India akatibiwe matende ni ukatili uliokithiri.
 
Toka diamond awasapoti mashoga wa mjini support waliyoamua kumpa sio ya kawaida ,kwa Ground mambo ni moto.

Diamond ndio name of the game, mnaonea watoto wa watu alafu bado mnataka lawama wabebe WCB hahahaha.

Aliyelia pale airport akakimbilia mpaka kwa Magufuli kutafuta huruma, leo kawaekea wasanii wake billion moja wakitaka kuvunja mkataba kwenye lebo 😂😂😂
 
Anjela alishauriwa na nan jaman hali yake ile nan angempokea ametoka mapema sana anafkr wapi atakaa ili asimame aisee binadam huwa hatuangalik tuliko toka aende akaendelee kuomba omba kama zaman
 
Back
Top Bottom