Anjela anajihangaisha Tu pale BASATA

Anjela anajihangaisha Tu pale BASATA

Mmoja wa mameneja Konde Gang ndugu Chopa anasema Anjella anatakiwa kununua mkataba wake kwa Tsh 1bilion,hiyo haitoshi pamoja na kulipa 1bilion,ila still nyimbo zote zilizo rekodiwa wakati akiwa Kondegang bado wataendelea kuchukua 55% kwenye mauzo kupitia Digital platforms.
Kila nikikumbuka kilio cha Mmakonde pale airport nacheka tu na kuna mbuzi wasiojielewa walim-support, dogo ana roho mbaya,ana husda, hapendi mafanikio ya wengine na ni mnafiki.
Anatimua watu baada ya kuwapotezea muda bila ya kuwainua kuwafikisha kwenye viwango bora kama alivyofikishwa yeye alipokuwa WCB, anawasainisha wasanii wake mikataba ya masharti magumu kuliyo masharti ya mikataba aliyokuw akiilalamiki ya WCB.
-Konde genge fo everebadi.
 
yow yow yow konde geng fo everibade
Screenshot_20221105-082041_Instagram.jpg
 
yow yow yow konde geng fo everibadeView attachment 2407182
Naona sauti ya Meneja wake aliyo ivujisha Anjella imemtoa machakani, anaona aibu akikomaa ili alipwe hela anaona ataonekana mnafiki.

Hajikaze hivyo hivyo ila naona mda wake wa kunyooshwa ndani ya mwaka wasanii wanne wametoka, pamoja na yote dogo kaporwa gari na nyumba waliyokuwa wampangia wamemtimua.
 
Ingekuwa WCB sasa hivi Wakazi huko twitter anatambaa na kuandaa mpaka mjadala wa masaa hata mawili, Mange Kimambe tena huko ndio hashikiki.

Ila Konde tena Cheed katoka kimya, Killy kimya na leo Anjella yupo BASATA.

Hapo utajua mtoto wa Tandale wanaomchukia hawana sababu ila tu wameamua kumchukia.

Naona na wao wameamua kuwa wanyonyaji.
giphy.gif
 
Vijana wengi wa kaskazini na hao feminist huko mitandaoni wanamchukia sana msela mpaka imekuwa noma since kwa career yake ya mziki ndo ana mafanikio ya kipesa kuliko iyo kanda yao nzima ...yaani jamaa hata time nao ila shobo kibao hata upe mda wa kuwajibu hana kabila..kama kile kembamba kana chuki mno yaani za waziwzi


Bongo ukifanikiwa unachukiwa wazazi hata mtu awe na billion moja ila ukikamata mil 100 anaanza kukuchukiwa hiii ni kutokana na kutokujiamini na kupenda kila kitu kiwe upenda wa wao.
Achana na mada za kikabila pambana upate mkate wako wa kila siku axha visingizio vya ukabila
 
Naona sauti ya Meneja wake aliyo ivujisha Anjella imemtoa machakani, anaona aibu akikomaa ili alipwe hela anaona ataonekana mnafiki.

Hajikaze hivyo hivyo ila naona mda wae kunyooshwa ndani ya mwaka wasanii wanne wametoka, pamoja na yote dogo kaporwa gari na waliyokuwa wampangia wamemtimua.
For everibade kafukuzwa kwenye nyumba?
 
Mmoja wa mameneja Konde Gang ndugu Chopa anasema Anjella anatakiwa kununua mkataba wake kwa Tsh 1bilion,hiyo haitoshi pamoja na kulipa 1bilion,ila still nyimbo zote zilizo rekodiwa wakati akiwa Kondegang bado wataendelea kuchukua 55% kwenye mauzo kupitia Digital platforms.
Duuuh konde si alilalamika kua wananyonywa WCB kwa label kuchukua 60 kumbe yeye anachukua 55 kweli pata pesa tuijue tabia y'ako ukifilisika tuijue tabia ya mkeo
 
Back
Top Bottom