Anjela anajihangaisha Tu pale BASATA

Anjela anajihangaisha Tu pale BASATA

Anjela alishauriwa na nan jaman hali yake ile nan angempokea ametoka mapema sana anafkr wapi atakaa ili asimame aisee binadam huwa hatuangalik tuliko toka aende akaendelee kuomba omba kama zaman
Inavyoonekana binti Hana shida , boss tuu ameamua kutembeza safisha safisha pale , matumizi yamekuwa makubwa kuliko wanachoingiza , ukiacha harmonize wasanii wengine wa kondegang hamna wanachoingiza cha maana , Ila lazima wapate matumizi , inaonekana pia kulikuwa na mkono wa mfadhili ambao ni kama umekatika , mda huo huo boss yupo kwenye bata zito... !! Na yeye pesa anazotegemea Kwa asilimia kubwa ni za digital platforms , na shoo za hapa na pale , mana Hana endorsement wala kitega uchumi kinachoeleweka .... Hii pia inamforce boss kutoa ngoma non stop ili kisima kisipungue

Kaona isiwe tabu ni kutimua wote , ili ajitosheleze Kwa kile anachioingiza .... Some time nafkria ukiona WCB wamemsimamisha mtu , ujue wametumia nguvu hasa ..
 
Anjela alishauriwa na nan jaman hali yake ile nan angempokea ametoka mapema sana anafkr wapi atakaa ili asimame aisee binadam huwa hatuangalik tuliko toka aende akaendelee kuomba omba kama zaman
Amefukuzwa,hajatoka kwa kutaka. Kapigwa chini kinyemela ili asiweze kudai 10 million, angetoka kwa utashi wake angedaiwa 1 billion.
 
Inavyoonekana binti Hana shida , boss tuu ameamua kutembeza safisha safisha pale , matumizi yamekuwa makubwa kuliko wanachoingiza , ukiacha harmonize wasanii wengine wa kondegang hamna wanachoingiza cha maana , Ila lazima wapate matumizi , inaonekana pia kulikuwa na mkono wa mfadhili ambao ni kama umekatika , mda huo huo boss yupo kwenye bata zito... !! Na yeye pesa anazotegemea Kwa asilimia kubwa ni za digital platforms , na shoo za hapa na pale , mana Hana endorsement wala kitega uchumi kinachoeleweka ....

Kaona isiwe tabu ni kutimua wote , ili ajitosheleze Kwa kile anachioingiza .... Some time nafkria ukiona WCB wamemsimamisha mtu , ujue wametumia nguvu hasa ..
Kwa show off njomba nchumali hapo kaweza
 
Ingekuwa WCB sasa hivi Wakazi huko twitter anatambaa na kuandaa mpaka mjadala wa masaa hata mawili, Mange Kimambe tena huko ndio hashikiki.

Ila Konde tena Cheed katoka kimya, Killy kimya na leo Anjella yupo BASATA.

Hapo utajua mtoto wa Tandale wanaomchukia hawana sababu ila tu wameamua kumchukia.

Naona na wao wameamua kuwa wanyonyaji.
Sahih kbsa wakazinna kina sarungi wange andaa space kbsa kumjadili mondi ila kwa kuwa Ni konde wako kimya

Na sas HV namfata huko Twitter nimuulize. Kuhusu swala la anjlela na konde ganga

Baada ya kajala kutua konde gang mambo yamekuwa hovyo mno

Mondi anachukiwa Sana na watu wengi kisa mafanikioa yake
 
Hpn konde gang imezingua hata mwijaku leo amefafanua vzr tu ,konde gang wampe mtot wa watu nyimbobzake na account zake .kwani anjlea alikuwa tunamfahamu kbbla ya huyo konde kumuonaakiimbia huku mtaandaoni
Acha unafiki, lini ulimfahamu Anjela!!?? Labda awe jirani yako huko Kingugi.
 
Harmo ameanzisha label tu akaanza kusign wasanii, nani alishauri hili jambo? everything was a joke right? Tulisema na kusema, Harmo alihitaji resources both watu na pesa ili asimame yeye kama yeye ajabu akaanza sign wasanii wachanga na kiki za kuwabalasa WCB.

Haya watetezi wanafiki wakibongo mko wapi mumshauri kijana cha kufanya? Next time mheshimu biashara za watu, ukiona mtu amesimama na ametengeneza jina jua imemchukua vingi sana.

Harmo apambane awe stable kwanza kuja kusign watu imchukue hata 5years with mipango lukuki na execution yake.
 
Harmo ameanzisha label tu akaanza kusign wasanii, nani alishauri hili jambo? everything was a joke right? Tulisema na kusema, Harmo alihitaji resources both watu na pesa ili asimame yeye kama yeye ajabu akaanza sign wasanii wachanga na kiki za kuwabalasa WCB.

Haya watetezi wanafiki wakibongo mko wapi mumshauri kijana cha kufanya? Next time mheshimu biashara za watu, ukiona mtu amesimama na ametengeneza jina jua imemchukua vingi sana.

Harmo apambane awe stable kwanza kuja kusign watu imchukue hata 5years with mipango lukuki na execution yake.
Nilisikia Hanstone anasajiliwa Kondegang mda si mrefu, ngojea tuone.
 
Sahih kbsa wakazinna kina sarungi wange andaa space kbsa kumjadili mondi ila kwa kuwa Ni konde wako kimya

Na sas HV namfata huko Twitter nimuulize. Kuhusu swala la anjlela na konde ganga

Baada ya kajala kutua konde gang mambo yamekuwa hovyo mno

Mondi anachukiwa Sana na watu wengi kisa mafanikioa yake
Vijana wengi wa kaskazini na hao feminist huko mitandaoni wanamchukia sana msela mpaka imekuwa noma since kwa career yake ya mziki ndo ana mafanikio ya kipesa kuliko iyo kanda yao nzima ...yaani jamaa hata time nao ila shobo kibao hata upe mda wa kuwajibu hana kabila..kama kile kembamba kana chuki mno yaani za waziwzi


Bongo ukifanikiwa unachukiwa wazazi hata mtu awe na billion moja ila ukikamata mil 100 anaanza kukuchukiwa hiii ni kutokana na kutokujiamini na kupenda kila kitu kiwe upenda wa wao.
 
Mimi nashauri atafute wakili wakumsaidia, habari za kwenda front mwenyeww bila mtaalamu wa shera ni kosa kubwa linalofanywa na watanzania wengi sana.

Asisubiri mambo yakawa magumu kabisa ndio ashtuke. Atafute wakili amsaidie jambo lake. Sio mbaya akinitafuta pia 🙂
 
Joyce Kiria yupo wapii😝😝

Mwanamke mwenzio hajatimiziwa haki na malengo
yake(si kimuziki walk kiafya)

Namuonea huruma sana huyu bint. Changes katika lebel yake imemuweka katika wakati mgumu sana kiakili na kiafya.

Umaskini na ukosefu wa elimu juu ya mikataba ya kimaslai ni pigo kwake.
 
Joyce Kiria yupo wapii😝😝

Mwanamke mwenzio hajatimiziwa haki na malengo
yake(si kimuziki walk kiafya)

Namuonea huruma sana huyu bint. Changes katika lebel yake imemuweka katika wakati mgumu sana kiakili na kiafya.

Umaskini na ukosefu wa elimu juu ya mikataba ya kimaslai ni pigo kwake.
Mmoja wa mameneja Konde Gang ndugu Chopa anasema Anjella anatakiwa kununua mkataba wake kwa Tsh 1bilion,hiyo haitoshi pamoja na kulipa 1bilion,ila still nyimbo zote zilizo rekodiwa wakati akiwa Kondegang bado wataendelea kuchukua 55% kwenye mauzo kupitia Digital platforms.
 
Back
Top Bottom