Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 1,479
- 3,229
Koh! Koh! Koh! Yow yow
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hili ndio alibugi sana. Toka mwanzo sikuona uwezo wake wa kusimamia label. Angefanya muziki wake yeye kama yeye. Inaonekana mjomba nchumali mbishi sana. Sitaki kuamini kama hakushauriwa juu ya hilo.Harmo ameanzisha label tu akaanza kusign wasanii, nani alishauri hili jambo? everything was a joke right? Tulisema na kusema, Harmo alihitaji resources both watu na pesa ili asimame yeye kama yeye ajabu akaanza sign wasanii wachanga na kiki za kuwabalasa WCB.
Haya watetezi wanafiki wakibongo mko wapi mumshauri kijana cha kufanya? Next time mheshimu biashara za watu, ukiona mtu amesimama na ametengeneza jina jua imemchukua vingi sana.
Harmo apambane awe stable kwanza kuja kusign watu imchukue hata 5years with mipango lukuki na execution yake.
another mistake!??Nilisikia Hanstone anasajiliwa Kondegang mda si mrefu, ngojea tuone.
Nandi ana resources, si unakumbuka marehemu Ruge aliwekeza pale? kipaji bila pesa bongo huendi kokote.Bora nandy yeye aliamua kukomaa peke yake saiv anakula matunda tu.
We Nandy utakuwa humjui Nandy mpaka hits zake za mwanzo alikuwa anaandikiwa na kina Jay Melody,Mario na ile Ninogeshe kaiandika Aslay,huyo demu kapewa bonge la busta kuusu airtime ndio usiseme.Bora nandy yeye aliamua kukomaa peke yake saiv anakula matunda tu.
Kazi bado ni ngumu kwakweliMmoja wa mameneja Konde Gang ndugu Chopa anasema Anjella anatakiwa kununua mkataba wake kwa Tsh 1bilion,hiyo haitoshi pamoja na kulipa 1bilion,ila still nyimbo zote zilizo rekodiwa wakati akiwa Kondegang bado wataendelea kuchukua 55% kwenye mauzo kupitia Digital platforms.
Plus kuomba msamaha kwa rangerover mbili, aisee Mi mwnyw nilijua mwamba limbwata lishamkolea[emoji4]Nilipomskia Tu Akisema Atamfanya Kajala Kuwa Manager Wake….Nikaona Kweli Huyu Mwana Amepoteana [emoji23]
Bado yeye anaona Yuko Sawa, na chawa wake wanamteteaPlus kuomba msamaha kwa rangerover mbili, aisee Mi mwnyw nilijua mwamba limbwata lishamkolea[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana sapoti pia ya clouds Media mpaka LeoNandi ana resources, si unakumbuka marehemu Ruge aliwekeza pale? kipaji bila pesa bongo huendi kokote.
Kaambiwa kwanza awe msanii huru ndiyo aende wajadiliane, nadhani anatafuta namna ya kuchomoka.Too much money wanamchukua ibra acha tuone
Huu ndio ukweli sahihiIngekuwa WCB sasa hivi Wakazi huko twitter anatambaa na kuandaa mpaka mjadala wa masaa hata mawili, Mange Kimambe tena huko ndio hashikiki.
Ila Konde tena Cheed katoka kimya, Killy kimya na leo Anjella yupo BASATA.
Hapo utajua mtoto wa Tandale wanaomchukia hawana sababu ila tu wameamua kumchukia.
Naona na wao wameamua kuwa wanyonyaji.
THINGS FALL APART