Anjela anajihangaisha Tu pale BASATA

Kila nikikumbuka kilio cha Mmakonde pale airport nacheka tu na kuna mbuzi wasiojielewa walim-support, dogo ana roho mbaya,ana husda, hapendi mafanikio ya wengine na ni mnafiki.
Anatimua watu baada ya kuwapotezea muda bila ya kuwainua kuwafikisha kwenye viwango bora kama alivyofikishwa yeye alipokuwa WCB, anawasainisha wasanii wake mikataba ya masharti magumu kuliyo masharti ya mikataba aliyokuw akiilalamiki ya WCB.
-Konde genge fo everebadi.
 
yow yow yow konde geng fo everibadeView attachment 2407182
Naona sauti ya Meneja wake aliyo ivujisha Anjella imemtoa machakani, anaona aibu akikomaa ili alipwe hela anaona ataonekana mnafiki.

Hajikaze hivyo hivyo ila naona mda wake wa kunyooshwa ndani ya mwaka wasanii wanne wametoka, pamoja na yote dogo kaporwa gari na nyumba waliyokuwa wampangia wamemtimua.
 
 
Achana na mada za kikabila pambana upate mkate wako wa kila siku axha visingizio vya ukabila
 
For everibade kafukuzwa kwenye nyumba?
 
Duuuh konde si alilalamika kua wananyonywa WCB kwa label kuchukua 60 kumbe yeye anachukua 55 kweli pata pesa tuijue tabia y'ako ukifilisika tuijue tabia ya mkeo
 
Ila dunia iko kasi sana. Yaani kwenye huu Uzi huwezi kujua nani mwanamume nani chakubimbi.
We jamaa ni kiazi Sana , hili jukwaa ni la celebrity , chochote anachofanya celebrity ni ruhusa kujadiliwa humu , ulitaka tujadili nini ? Au tukujadili wewe na p_mbu zako , huna hoja kazi ku_annoy watu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…