white hat
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 3,321
- 2,488
na hao waliosoma kata na wenyewe hawapewi mpaka wawe hawana wazazi au walemavu.Mikopo inatolewa kwa watoto waliosoma shule za Kata tu, huo ndiyo msimamo wa Serikali hii na ndiyo kigezo kikuu
elimu imekuwa biashara watoto wamaskini kupata elimu ni shida