na hao waliosoma kata na wenyewe hawapewi mpaka wawe hawana wazazi au walemavu.Mikopo inatolewa kwa watoto waliosoma shule za Kata tu, huo ndiyo msimamo wa Serikali hii na ndiyo kigezo kikuu
Sasa kwa wazo hili, mwaka huu nitajiandikisha tena chuo kikuu. Nitakutembelea.Natafuta, hii tunachangishana sisi raia na tunaikopeshea watoto wetu kwa riba ndogo ya mabadiliko ya fedha (devaluation of the Tshs)
Kimsingi siamini kama viongozi wanania njema kuhusu elimu na sioni tatizo liko wapi? mfano NSSF, LAPF, PSPF, PPF, GEPF n.k hawa badala ya kujenga majengo ambayo hayana wapangaji, kila mfuko ukatoa billions 50 zikapatikana billions 250 na kila mmoja akapata million 6 jumla ya wanafunzi 41,667 hawa wote waliyokosa wangepata na tatizo likapungua hata kama siyo kuisha kabisa.
Asante, tunalifanyia kazi tulete utaratibu. Asante.Kipindi cha nyuma kadri tunavosikia stori kulikuwa na tatizo mtoto anafaulu kwenda sekondari lakini alikosa nafasi kwa upungudu wa shule husika!!!
Sekta binafsi ilipoliingilia kati , imefikia hatua kila mtoto anayehitaji sasa kwenda shule sekondari anaenda tena bila shida.
Sasa kwa wazo kama hili hili, mama ameliona akawaazaaa akatoka na jibu hili,
Ameamua kuanzisha chombo cha binafsi cha kutoa mikopo kwa vijana watakao kuwa na sifa za kupata mikopo hiyo,
Uwekezaji katika eneo hili mama kaiona kama fursa na itafika hatua kutokee bodi za mikopo binafsi, kuwe na uchaguzi mtu kuamua kwenda kuchukua mkopo atakapo basi.
Hili ni bonge la wazo jamani mama Anna tumekuelewa.
Hii si ya chama chochote. Tufike mahali tuangalie uhalisia wa kila jambo. elimu ni suala nyeti, tukicheza nalo tunapoteza kizazi. Tutadaiwa sana.Wazo zuri lakini litazuiwa ili uwekwe utaratibu mzuri wa kuchangia na CCM ndio watakuwa wasimamizi wa ugawaji wa hizo fedha .
Tuchange tu, tusaidie watoto wetu.Maisha ni magumu, kodi tunalipa lakini viongozi hawana priorities. Unanunuaje ndege huna dawa. Unajengaje airport chato huna hela za mikopo ya elimu ya juu. Ishu kubwa ni prioritie na wananchi tukiona serikali iko kinyume na sisi nani atasaidia? Nchi jirani wanapambana na baa la njaa sisi bei hazishikiki na haturuhusiwi kusema kitu. Unadhani mtu mwenye machungu moyoni kiasi hicho atachanga?
Nipo! Kilaza wa michango! Hahahaaa!!!!Kumbe mother upo humu ndani? basi JF ni kitu kikubwa sana lakini hatujui kuitumia vizuri.
lichukulie kama suala la kijamii, tuchange kuwachangia waliokosa mikopo. Tutimize wajibu wetu kama raia.Mama Mghwira
Nadhani tungeanza kuwa kujiuliza kwanza, ni kwa nini hii serikali imeshindwa kusomesha vijana wa taifa ili.
Inawezekana vipi pesa za kusomesha vijana zikakosekana lakini:
1. Pesa za Bombadier zikasepo
2. Pesa za kulipia Boeing zikawepo
3. Pesa za kujengea Chato Airport zikawepo
4. Pesa za kuamishia serikili Dodoma zikawepo
5. etc
Naamini kabisa hii serikali inayo pesa za kutosha za kulipia vijana wenye vigezo, ila tatizo ni kwamba, kipaumbele cha serikali sio kuwa na wasomi wengi wa Higher Education. Kipaumbele ni kuwa na vijana wengi walioishia darasa la 7 au Form 4, ndio maana huku ndiko serikali imeweka nguvu zake na msisitizo
Amen!Alright! This sounds positive!
Then, naamini tayari una watu ambao wanafanya analysis na kuweka mipango ya mawazo ambayo unayapata hapa...
Weka mpango kazi mezani ili ukishaanza utekelezaji inakuwa ni rahisi kuwaeleza watu ambao humu hawapo lakini tunaamini watakuwa na moyo wa kuinua Elima kama wewe.
Uwe na safari njema.
You have our support...!
wewe hivi unadhani waliokosa mkopo wote wamesoma private schools?.hebu kabla hujaropoka jaribu kufanya uchunguzi hata upate data za juu juu tuu#mimi ni mmoja wa wahanga takriban 30kMikopo inatolewa kwa watoto waliosoma shule za Kata tu, huo ndiyo msimamo wa Serikali hii na ndiyo kigezo kikuu
Sijakuelewa motherNipo! Kilaza wa michango! Hahahaaa!!!!
Tuanze hapa hapa JF kwa 500 kila member na kila mweziNi kweli tunaweza kabisa kulimaliza tatizo hili...Tuweke mikakati mizuri, tutafika na Mungu atutangulie. Atusaidie kuona uhitaji huu tu.
Utachanga vipi hali unalipa kodi kubwa, maisha magumu unadhani serikali ingeweka maisha bora kwa wananchi wake kungekuwa na ulazima wa wanafunzi kupewa mikopo? Jibu ni hapana maana wazazi wengi wangemudu kulipia watoto wao ada. Unaingia gharama za kuwapeleka kidato cha sita jeshi kuwalisha na kuwavika halafu huna hela za kuwapa mkopo.Atleast wangekuwa basi wanaenda kulima ili chakula kipatikane hivi mchakamchaka wa miezi sita ndo unamfanya mtu kuwa mzalendo.Tuchange tu, tusaidie watoto wetu.