imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Ukijikaza Kiume hujambi.I’m sure umejamba ulipotaja “bunduki [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukijikaza Kiume hujambi.I’m sure umejamba ulipotaja “bunduki [emoji1787]
Narudia tena, machafuko pekee ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatatupatia mabadiliko ya kweli ya kiutawala hapa nchini. Kinyume na hapo tutaendelea kutawaliwa kwa shuruti na mambo yetu kuendelea hivi hivi.
Kwanini uwaombee wenye uchu wa madaraka binafsi naona Bora wafe tu kwasababu hawataki yaliyo mema na ndio maana wamelaaniwa walimbikiza Mali wanakufa kwa magonjwaHuu ndio ukweli mchungu ambao unawatesa upinzani.
Tusahau #KatibaMpya ya wananchi (version ya mzee Warioba).
Ni kuweli kwamba kuna familia za wakubwa zilikuwa zimepanga tangu kipindi cha MMshua wa MMsoga kupeana vijiti kwenye uRais.
Mambo yaliharibika baada ya kusalitiana. Aliyeshinda 2015 nae akaanza kupanga mstari wake wa kurithishana uRais, bahati mbaya mipango ikaishia njiani baada ya kutwaliwa.
Baada ya kuingia mama pande hizi mbili (msoga vs chato) zinasigana haijulikani kitakachotokea. Tuwaombee tu wenye uchu wa madaraka wasimalizane.
Hakuna machafuko yatatokea hapa JMT angalau ndani ya miaka 50 ijayo. Hayapo na hayupo wa kuyasababisha.
Tukiacha Unafiki wa kisiasa na uchawa na tukitanguliza maslahi ya Taifa kwanza, Mbona tunatoka vizuri tu??
Shida ubinafsi.
Mfumo oneziMwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Anna Tibaijuka, ametoa pole kwa familia ya aliekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa.
"Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN. Nilishuhudia ukiweka maslahi ya nchi mbele ya yako. Jina lilipokatwa nilikushauri ubaki CCM kimfumo uwezekano kutangazwa mshindi ukitokea upinzani HAUPO Ukanijibu "UNAJUA ila hutaki MANYANYASO kuendelea. RIP" - Anna Tibaijuka
View attachment 2900766
Written by Mjanja M1 ✍️
Mimi pia naamini mpaka kesho jiwe hakushindahuo ndio ukweli.... za lowassa akapewa jiwe za jiwe akapewa lowassa, na huwez enda mahakama yoyote itayotengua uchaguzi wa raisi.. bila katiba mpya ccm itatawala milele hata ichukiwe na dunia nzima.
Unalaumu wapinzani kwani wewe umefanya nini?Unadhani hawajui wanajua ila kuna ruzuku ndio target kubwa kwa vyama vya upinzani kwa sasa they are not serious..
Sasa hapa u-statesman wa Lowassa ni upi ?
Inasikitisha sana.“….people of eminent stature.
Bongo hii hii ya wakwere?
Hii ni Bongo ya wana wa Pwani, kusutana na kuchambana ndio ustaarabu wao.
Kunguni, wahuni, wazuri hawafi, kamuulize mamako, nendeni mkalitazame..etc
Siku tano za maombolezo andaa notebook, I’m sure utanakiri vingi.
Uzuri wa tibaijuka huwa hakopeshi leo kaamuwa kulifunuwa kombe kazi kwenu watafta ruzuku
Tanzania ni Naturally defendedNarudia tena, machafuko pekee ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatatupatia mabadiliko ya kweli ya kiutawala hapa nchini. Kinyume na hapo tutaendelea kutawaliwa kwa shuruti na mambo yetu kuendelea hivi hivi.
Wakishashiba vijisenti na hela ya mboga wanatafuta huruma. Watuache na siasa zetu.Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Anna Tibaijuka, ametoa pole kwa familia ya aliekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa.
"Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN. Nilishuhudia ukiweka maslahi ya nchi mbele ya yako. Jina lilipokatwa nilikushauri ubaki CCM kimfumo uwezekano kutangazwa mshindi ukitokea upinzani HAUPO Ukanijibu "UNAJUA ila hutaki MANYANYASO kuendelea. RIP" - Anna Tibaijuka
View attachment 2900766
Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Nchi inayoendeshwa kwa mfumo wa kishetani.Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Anna Tibaijuka, ametoa pole kwa familia ya aliekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa.
"Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN. Nilishuhudia ukiweka maslahi ya nchi mbele ya yako. Jina lilipokatwa nilikushauri ubaki CCM kimfumo uwezekano kutangazwa mshindi ukitokea upinzani HAUPO Ukanijibu "UNAJUA ila hutaki MANYANYASO kuendelea. RIP" - Anna Tibaijuka
View attachment 2900766
Written by Mjanja M1 ✍️