Pre GE2025 Anna Tibaijuka: Kimfumo uwezekano wa kutangazwa mshindi ukitokea upinzani haupo

Pre GE2025 Anna Tibaijuka: Kimfumo uwezekano wa kutangazwa mshindi ukitokea upinzani haupo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa kwanini tupoteze mihela kwenye chaguzi, si twende tu na mfumo....
Nyerere alishauri kuwa upinzani Bado sana kushika uraisi wajitahidi kugombea ubunge na udiwani na uongozi wa serikali za mitaaa

Kama walishindwa kushika uraisi 2015 hawaji shika Tena Hata Lowasa mwenyewe alisema hivyo kuwa tukishindwa safari hii upinzani sio Tena kuja kushinda
 
Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Anna Tibaijuka, ametoa pole kwa familia ya aliekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa.

"Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN. Nilishuhudia ukiweka maslahi ya nchi mbele ya yako. Jina lilipokatwa nilikushauri ubaki CCM kimfumo uwezekano kutangazwa mshindi ukitokea upinzani HAUPO Ukanijibu "UNAJUA ila hutaki MANYANYASO kuendelea. RIP" - Anna Tibaijuka

View attachment 2900766

Written by Mjanja M1 ✍️
Mafisadi wawili wakipeana ushauri
 
Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Anna Tibaijuka, ametoa pole kwa familia ya aliekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa.

"Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN. Nilishuhudia ukiweka maslahi ya nchi mbele ya yako. Jina lilipokatwa nilikushauri ubaki CCM kimfumo uwezekano kutangazwa mshindi ukitokea upinzani HAUPO Ukanijibu "UNAJUA ila hutaki MANYANYASO kuendelea. RIP" - Anna Tibaijuka

View attachment 2900766

Written by Mjanja M1 ✍️

Halafu kuna mtu anadai kuwa kaja na R4 ..... Seriously!!!
 
Katumbua jipu, hapo vyama vya upinzani ndipo mjue mnapuyanga tu kuonesha watoa misaada kuna mageuzi but ndani huko ni uongo mtupu!.
wakina nani wajue? Mnakuwaga wajinga sana, nyie ndio Makonda anawapenda
 
Huu ndio ukweli mchungu ambao unawatesa upinzani.
Tusahau #KatibaMpya ya wananchi (version ya mzee Warioba).

Ni kuweli kwamba kuna familia za wakubwa zilikuwa zimepanga tangu kipindi cha MMshua wa MMsoga kupeana vijiti kwenye uRais.
Mambo yaliharibika baada ya kusalitiana. Aliyeshinda 2015 nae akaanza kupanga mstari wake wa kurithishana uRais, bahati mbaya mipango ikaishia njiani baada ya kutwaliwa.

Baada ya kuingia mama pande hizi mbili (msoga vs chato) zinasigana haijulikani kitakachotokea. Tuwaombee tu wenye uchu wa madaraka wasimalizane.
Nawaombea sana wote wamalizane. Naomba MUNGU anisikie. Ingeanza na ile ajali ya juzi ingemaliza yule kwanza,wafuate wengine kijani. Nchi ina kila aina ya rasimali imefukalishwa na hawa kijani. Bahati mbaya pamoja na ulafi wao hawataki mtoto yoyote wa masikini ainuke kupitia biashara halali. Wametengeneza chombo kama cha kukusanya kodi,lakini kiuhalisia ni kumkandamiza mfanyabiashara mdogo na wa kati asiinuke.
 
Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Anna Tibaijuka, ametoa pole kwa familia ya aliekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa.

"Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN. Nilishuhudia ukiweka maslahi ya nchi mbele ya yako. Jina lilipokatwa nilikushauri ubaki CCM kimfumo uwezekano kutangazwa mshindi ukitokea upinzani HAUPO Ukanijibu "UNAJUA ila hutaki MANYANYASO kuendelea. RIP" - Anna Tibaijuka

View attachment 2900766

Written by Mjanja M1 ✍️
huyu mama ana mawe aisee, au anataka kurudi mwaka kesho? amekuwa mzalendo sana siku hizi.
 
Back
Top Bottom