Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 2,478
- 5,102
Na huna la kuwafanya, nanyi endeleeni kula tu ruzuku, ndio maokoto yenuViongozi wa CCM wanafikra za Kishamba sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huna la kuwafanya, nanyi endeleeni kula tu ruzuku, ndio maokoto yenuViongozi wa CCM wanafikra za Kishamba sana.
Nyerere alishauri kuwa upinzani Bado sana kushika uraisi wajitahidi kugombea ubunge na udiwani na uongozi wa serikali za mitaaaSasa kwanini tupoteze mihela kwenye chaguzi, si twende tu na mfumo....
Mafisadi wawili wakipeana ushauriMwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Anna Tibaijuka, ametoa pole kwa familia ya aliekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa.
"Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN. Nilishuhudia ukiweka maslahi ya nchi mbele ya yako. Jina lilipokatwa nilikushauri ubaki CCM kimfumo uwezekano kutangazwa mshindi ukitokea upinzani HAUPO Ukanijibu "UNAJUA ila hutaki MANYANYASO kuendelea. RIP" - Anna Tibaijuka
View attachment 2900766
Written by Mjanja M1 ✍️
Tuwekee "payslips" za hao wapinzani wanaolipwa na CCM tafadhali.Wapinzani hawahawa waliopo kwenye payroll ya CCM! Tutasubiri sana
Pole sana.Weeewee! Lowasa asingeliweza kipambana na jiwe!
Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Anna Tibaijuka, ametoa pole kwa familia ya aliekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa.
"Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN. Nilishuhudia ukiweka maslahi ya nchi mbele ya yako. Jina lilipokatwa nilikushauri ubaki CCM kimfumo uwezekano kutangazwa mshindi ukitokea upinzani HAUPO Ukanijibu "UNAJUA ila hutaki MANYANYASO kuendelea. RIP" - Anna Tibaijuka
View attachment 2900766
Written by Mjanja M1 ✍️
Kabisa, hao ni wafanyabiashara wa siasaUnadhani hawajui wanajua ila kuna ruzuku ndio target kubwa kwa vyama vya upinzani kwa sasa they are not serious..
Hii Nchi sio Mali ya Viongozi wa CCM.Na huna la kuwafanya, nanyi endeleeni kula tu ruzuku, ndio maokoto yenu
wakina nani wajue? Mnakuwaga wajinga sana, nyie ndio Makonda anawapendaKatumbua jipu, hapo vyama vya upinzani ndipo mjue mnapuyanga tu kuonesha watoa misaada kuna mageuzi but ndani huko ni uongo mtupu!.
Nawaombea sana wote wamalizane. Naomba MUNGU anisikie. Ingeanza na ile ajali ya juzi ingemaliza yule kwanza,wafuate wengine kijani. Nchi ina kila aina ya rasimali imefukalishwa na hawa kijani. Bahati mbaya pamoja na ulafi wao hawataki mtoto yoyote wa masikini ainuke kupitia biashara halali. Wametengeneza chombo kama cha kukusanya kodi,lakini kiuhalisia ni kumkandamiza mfanyabiashara mdogo na wa kati asiinuke.Huu ndio ukweli mchungu ambao unawatesa upinzani.
Tusahau #KatibaMpya ya wananchi (version ya mzee Warioba).
Ni kuweli kwamba kuna familia za wakubwa zilikuwa zimepanga tangu kipindi cha MMshua wa MMsoga kupeana vijiti kwenye uRais.
Mambo yaliharibika baada ya kusalitiana. Aliyeshinda 2015 nae akaanza kupanga mstari wake wa kurithishana uRais, bahati mbaya mipango ikaishia njiani baada ya kutwaliwa.
Baada ya kuingia mama pande hizi mbili (msoga vs chato) zinasigana haijulikani kitakachotokea. Tuwaombee tu wenye uchu wa madaraka wasimalizane.
huyu mama ana mawe aisee, au anataka kurudi mwaka kesho? amekuwa mzalendo sana siku hizi.Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Anna Tibaijuka, ametoa pole kwa familia ya aliekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa.
"Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN. Nilishuhudia ukiweka maslahi ya nchi mbele ya yako. Jina lilipokatwa nilikushauri ubaki CCM kimfumo uwezekano kutangazwa mshindi ukitokea upinzani HAUPO Ukanijibu "UNAJUA ila hutaki MANYANYASO kuendelea. RIP" - Anna Tibaijuka
View attachment 2900766
Written by Mjanja M1 ✍️