Anne Makinda kusema 93% wamehesabiwa umetambuaje? Ulikuwa na idadi kabla ya sensa?

Anne Makinda kusema 93% wamehesabiwa umetambuaje? Ulikuwa na idadi kabla ya sensa?

nokwenumuya

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2019
Posts
820
Reaction score
2,896
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.
 
Kulikuwa na makadirio ya kaya ya kila EA sasa kuna nyingine zimevuka makadirio na nyingine baada ya kawa kuhesabiwa kwenye EA zimepatikana chini ya makadario.
 
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.

Walipita wakapiga picha za juu na kufanya estimate za majengo.

Hata hivyo sensa hii haihusishi tu idadi ya kaya, ni taarifa za wanakaya na idadi ya watu, na taarifa nyingine nyingi ambazo serikali hazikuwa nazo.
 
Zoezi la Sensa limeanza kwa kusajili Makazi. Ndiyo maana Mitaani tuliona Namba ziliandikwa katika Malango yetu ya Kaya karibu miezi Miwili kabla ya zoezi lenyewe

Makadirio ya Idadi ya kaya yalikuwa yanajulikana lazima. Pia zimefanyika semina za mafunzo kwa Makarani wakapitishwa kwa Viongozi wa Mitaa na Vitongoji hivyo ni dhahiri asemavyo kuwa zoezi limezifikia kaya kwa asilimia 93% ni Sahihi

Haya yote ni kwa sababu wana Database kwa ajili ya zoezi zima kwa msaada mkubwa wa Teknolojia iliyotumika
 
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.
kutokea kwenye sensa ya mwisho ya mwaka 2012, kama kutakuwa na taarifa sahihi za waliozaliwa, waliokufa, wahamaji na wahamihaji baada ya sensa ile (namaanisha kuanzia saa 6:01 usiku wa siku ya kwanza ya kuhesabu watu) basi huenda alikuwa na hesabu ya makadirio ya watu wanaotakiwa kufikiwa.
 
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Zoezi la Sensa limeanza kwa kusajili Makazi. Ndiyo maana Mitaani tuliona Namba ziliandikwa katika Malango yetu ya Kaya karibu miezi Miwili kabla ya zoezi lenyewe

Makadirio ya Idadi ya kaya yalikuwa yanajulikana lazima. Pia zimefanyika semina za mafunzo kwa Makarani wakapitishwa kwa Viongozi wa Mitaa na Vitongoji hivyo ni dhahiri asemavyo kuwa zoezi limezifikia kaya kwa asilimia 93% ni Sahihi

Haya yote ni kwa sababu wana Database kwa ajili ya zoezi zima kwa msaada mkubwa wa Teknolojia iliyotumika
Hili ndio jibu lenyewe sasa
 
Hivi maana ya politics ni kusema uwongo? kwa walio na uelewa wadadavue maana ya hili neno politics, maana mara nyingi tumekuwa tukisikia watu wakisema 'kaongea kauli ya kisiasa'.
 
Kwa hizo 600+B kumbe ile ishu ya watanzania kupata 1M kila mmoja inawezekana eee
 
Zoezi la Sensa limeanza kwa kusajili Makazi. Ndiyo maana Mitaani tuliona Namba ziliandikwa katika Malango yetu ya Kaya karibu miezi Miwili kabla ya zoezi lenyewe

Makadirio ya Idadi ya kaya yalikuwa yanajulikana lazima. Pia zimefanyika semina za mafunzo kwa Makarani wakapitishwa kwa Viongozi wa Mitaa na Vitongoji hivyo ni dhahiri asemavyo kuwa zoezi limezifikia kaya kwa asilimia 93% ni Sahihi

Haya yote ni kwa sababu wana Database kwa ajili ya zoezi zima kwa msaada mkubwa wa Teknolojia iliyotumika
Makazi na kaya ni vitu viwili tofauti!

Nyumba moja ya kupanga inaweza kuwa na kaya 6
 
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.
Kukikuwa na makadirio ya Kaya kulingana na Anwani za makazi, pilot Sensa na GPS.

Kwahiyo ukifika Tu kwenye Kaya hata ukihesabu mtu mmoja unapiga tiki, umetoka hiyo.
 
Ndio maana hii nchi tumegeuzwa mazuzu kweli, mimi sielewi kabisa Mama Makinda anapata wapi hizi figure za %,sensa ya kufikia kiwango hicho ni record ya dunia na sijui margin ya error ni %ngapi
 
Back
Top Bottom