Anne Makinda kusema 93% wamehesabiwa umetambuaje? Ulikuwa na idadi kabla ya sensa?

Anne Makinda kusema 93% wamehesabiwa umetambuaje? Ulikuwa na idadi kabla ya sensa?

Zoezi la Sensa limeanza kwa kusajili Makazi. Ndiyo maana Mitaani tuliona Namba ziliandikwa katika Malango yetu ya Kaya karibu miezi Miwili kabla ya zoezi lenyewe

Makadirio ya Idadi ya kaya yalikuwa yanajulikana lazima. Pia zimefanyika semina za mafunzo kwa Makarani wakapitishwa kwa Viongozi wa Mitaa na Vitongoji hivyo ni dhahiri asemavyo kuwa zoezi limezifikia kaya kwa asilimia 93% ni Sahihi

Haya yote ni kwa sababu wana Database kwa ajili ya zoezi zima kwa msaada mkubwa wa Teknolojia iliyotumika
Kuna tofauti kubwa baina ya Kaya na Makazi ndg.
 
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.
Hapo kwa siku analipwa si chini ya laki 5 kuongea ongea tu hizo pumba
 
Ndio maana hii nchi tumegeuzwa mazuzu kweli, mimi sielewi kabisa Mama Makinda anapata wapi hizi figure za %,sensa ya kufikia kiwango hicho ni record ya dunia na sijui margin ya error ni %ngapi
Huwezi kujua kwa vile uelewa wako ndipo ulipoishia. Jiachie na uwe tayari kujifunza. Vinginevyo acha kazi iendeleee
 
Kuna mji x mahala mwenye nyumba anaishi na wapangaji 3.... Kahesabiwa yeye na familia yake tu, Hawa wapangaji na familia zao hawakuhesabiwa.....hiyo tuuite asilimis ngapi ?
 
Kuna mji x mahala mwenye nyumba anaishi na wapangaji 3.... Kahesabiwa yeye na familia yake tu, Hawa wapangaji na familia zao hawakuhesabiwa.....hiyo tuuite asilimis ngapi ?
7% waliobaki
 
Back
Top Bottom