Anne Makinda kusema 93% wamehesabiwa umetambuaje? Ulikuwa na idadi kabla ya sensa?

Anne Makinda kusema 93% wamehesabiwa umetambuaje? Ulikuwa na idadi kabla ya sensa?

Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.
Taifa la pingapinga.. hata science inapingwa. We hujahesabiwa!??
 
Ndio maana hii nchi tumegeuzwa mazuzu kweli, mimi sielewi kabisa Mama Makinda anapata wapi hizi figure za %,sensa ya kufikia kiwango hicho ni record ya dunia na sijui margin ya error ni %ngapi
Hujahesabiwa!?
 
Zoezi la sensa ni la kidijitali siyo analojia. Hivi hawana center ya mawasiliano ambayo inatumika kupokea ripoti kutoka kona zote za nchi? Kama ripoti zinawasilishwa wanashindwaje kujua hizo data? #Teknoloji.🙏🙏🙏
 
Zoezi la Sensa limeanza kwa kusajili Makazi. Ndiyo maana Mitaani tuliona Namba ziliandikwa katika Malango yetu ya Kaya karibu miezi Miwili kabla ya zoezi lenyewe

Makadirio ya Idadi ya kaya yalikuwa yanajulikana lazima. Pia zimefanyika semina za mafunzo kwa Makarani wakapitishwa kwa Viongozi wa Mitaa na Vitongoji hivyo ni dhahiri asemavyo kuwa zoezi limezifikia kaya kwa asilimia 93% ni Sahihi

Haya yote ni kwa sababu wana Database kwa ajili ya zoezi zima kwa msaada mkubwa wa Teknolojia iliyotumika
Sensa na Makazi unajua maana yake nini

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.

Vema kuomba msaada wa uelewa kuliko kuwa judgemental. Unapofanya masuala ya takwimu lazima uwe na unapojipimia ili kuona kama umefanikiwa au laah. Lazima kuwa na estimation (makadirio) vs actual (uhalisia).

Hizo 93% ni actual dhidi ya estimation. Na ili uone umefanikiwa ni lazima hizo data zisiwe 100% ni lazima izid kidogo au kupungua. Very rare estimation ikawa sawa na actual.

Njia kadhaa zinaweza kutumika katika kupata hizo estimation. Mfano birth and death rate with reference na population ya sensa ya mara ya mwisho.

Wanaweza kupata data kupitia kukusanya taarifa za makadirio ya kaya na wana kaya kupitia maeneo madogo madogo ya serikali za vitongoji, vijiji/mitaa.

Lengo ni nini?
Lengo ni kujua idadi sahihi ya watu waliopo hata kama sensa ikaisha wakawa wamefika 97% tafsiri yake hiyo ndio idadi sahihi ya watu waliopo na hizo 3% zilizobakia zitakua ni overestimation.

Jitahidi kujijengea uelewa kwanza kabla ya kukosoa. Hapa ulijikita kukosoa kwanini walifanya na kuona kama wanapoteza muda na rasilimali fedha.

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.
KWANI TANZANIA INA IDADI YA KAYA NGAPI MPAKA IPATIKANE HIYO ASILIMIA?
 
Anajua Mama Makundi ambaye alijua idadi ya kaya kabla ya zoezi kuanza
 
"Hili nalo muende mkalitizame Dada yangu Anneh Makinda na Mdogo wangu Albina Chuwa pamoja na timu yako"
 
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.

Kipindi wanaweka anuani kila mtaa, walipata idadi ya Kaya
 
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.
Bora umeuliza ufafanuliwe maana naona huelewiii
 
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.
Magufuli yuko ofisini anachapa kazi, mlitaka mmuone Kariakoo?
 
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.
Ni kamishina au kamisaa?.
 
Watu wengi hawajahesabiwa ikiwemo mimi binafsi kutokana na wingi wa maswali nyeti ya makarani yanayoingilia faragha za watu, ni intelijensia gani hiyo serikali inayokusanya!? Unaniuliza vitu nnavyomiliki ili iweje!? Hata smartphone! Ili serikali ipate data ina mbumbumbu wangapi wasioelewa hili wala lile. Ijue namna ya-kudeal/kucheza na akili za watanzania. sensa ya hovyo kabisa kupata kuishuhudia!
 
Kamishina wa Sensa, Bi. Anne Makinda amesema kuwa asilimia 93 ya kaya Tanzania tayari zimehesabiwa.

Sasa swali langu la msingi ni hili, yeye kajuaje kaya zilizohesabiwa ndio hiyo asilimia 93?

Je, alikuwa anajua idadi ya kaya zote nchini kabla ya zoezi la sensa kuanza?

Kama alikuwa anajua hiyo idadi yeye na timu yake walikuwa na haja gani kutumia bilioni 629 kuhesabu hizo kaya ambazo kwa mujibu wa maelezo yake tayari alikuwa anafahamu?

Wana great thinkers hebu tusaidiane kuanzia hapo tafadhari.

Angalia vizuri jezi za yanga utaziona hizo kaya!
 
Back
Top Bottom