TANZIA Anne Rwigara afariki dunia. Ni dada wa Diane aliyejaribu kugombea Urais dhidi ya Kagame. Mama asema kifo hicho ni fumbo

Kifo cha huyo Dada, hakiwezi kutenganishwa na mambo ya siasa!!!
Kagame anaachaje kuhusishwa hata kama kifo cha kawaida kwa namna huyo dada alivyokuwa treated na serikali yake??
Na huu ndio uzuri wa mauaji ya kijasusi unabakia kubunia bunia ila huna uthibitisho.

Na hakuna chombo Cha habari Cha Rwanda kimethubutu kuripoti
 
Popoma.Majitu yenye Asili ya Utusi yatakuwa yamefurahia.

Bahati mbaya sana hapa Duniani Majitu makatili ndio yanadumu,hata Kwa Mwendazake ilikuwa ni Ajali tuu ila Huwa hayafi kirahisi.
 
Niliwahi kusikia kuwa PK ni pandikizi la CIA! Analinda maslahi ya US kule Congo. Na hata siku moja hutasikia US imemsema PK!

Kwa wale wanaomfahamu sijui kama ni kweli.
Amepata Mafunzo USA,amesomesha mwanae mambo ya ujasusi USA na Sasa ni Mkuu wa kikosi Cha ulinzi wa Rais.

Kiufupi ni kibaraka wa Mabeberu na ndio maana hawana Cha kumfanya .
 
Lazima Afrika ipitie tanulu la moto kabla ya kuja kupata ustaarabu.

Bahati mbaya ni kwamba hao unaowashauri wamezaliwa.kuwa hivyo ,dhamiri zao zinawatuma.na kuwasukuma hivyo kama.wewe.unavyofanya kazi Yako.

Walisema wapuuze wanaumia nafasi so wao wanakuwa sadaka badala ya wengi na ukombozi huletwa na wachache ,jamii ikiwa na watu wengi watata haiwezi kutawalika.

Kwa hiyo Wacha waendelee kupambana ndio wito wao huo hakuna namna.
 
Umeandika pumba kabisa[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Watu wengi wamefanikiwa kifedha ila hawajui namna ya kuishi huku duniani. Duniani ukikosea hata kidogo namna gani utaadhibiwa tu na pengine hiyo adhabu ikagharimu hata uhai wako.

Tujifunze kwa manabii walikuwa wanatumwa na Mungu kwenda kukemea wafalme waliozingua ipa japo walikuwa na kibali na nguvu ya Mungu bafo walikuwa wanyenyekevu. Kuna lakujifunza sana hapo.

Zipo namna.

Apumzike kwa amani binti Rwigara.
 
Mtume Muhamad (saw) anatufundisha baada ya Mwenyezimungu tunapaswa tuziheshimu mamlaka, sio mtu unapata viji cent kidogo tu unahis unapaswa kutawala,.
Utawala unatoka kwa Mungu, na huja kwa machoz, jasho na damu. We jiulize maching za kagame akiingia kigali kuchukua madaraka akitoka porini alisucrifice watu wangapi then pisi kali moja inqtaka imtoe kwa vijembe na matusi.
 
Ni kweli amefia Marekani but sio sahihi kuhusisha kifo chake na mambo ya kisiasa kama anavyo taka kushawishi mtoa mada.
Ni Siasa Kagame anatuma watu waue huko SA wapinzani wake unazungumzia USA pana viongozi karibu wanne wameua wakiwa nje ya Rwanda nae anakiri kuwa adui yake atamfata popote alipo huyo alipewa sumu ya muda mrefu alipokua jela..
 
Unamuongelea Idd Amini yupi?
 

Maybe back in the day but today zama hizi si kitu cha kawaida. To take out mtu just because ana oppose ideology za kiongozi.
Unless muhusika anahatarisha usalama wa nchi kikweli kweli na si kisiasa
 
Kagame ni muoga sana. Anaogopa haka kamama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…