Mkuu ulichoandika ni dhairi kabisaLau Kama ningekua sijaoa sijui ingekuaje kwa ipande wangu kuhusu ndoa, maana mada za hapa jf Ni dhahiri bila Shari swala la ndoa halitakua lepesi kwa ambae hajaingia huko kuingia.
Mkeo nae nasikia anaadhimisha miaka 18 na mume wa mtuSiku ya jumamosi tarehe 5/6/2021 tutakuwa tunaazimisha miaka 15 ya mahusinano na mchepuko wangu. Kila mmoja ana ndoa yake ila tumebarikiwa kuishi kwa miaka 15 tukiwa kwenye mahusiano bila ya kushtukiwa.
Tunaomba support yenu wadau.
Ni kwamba mumewe hakubaliki kwao mpaka utambuliwe wewe au ni nini?Hapana chief tumeanza ku date wote tukiwa na miaka mitano kwenye ndoa. Tumeenda mbali sana mpaka ndugu zake na mama ananifahamu. Kuna shughuli tuna hudhuria kama couples.
We dates kama hizi ukizipandisha status tuu yakuwa mke mnaanza kugombana.Duh 15yrs? Sasa si muachane tu na hizo ndoa zenu mhalalishe huo uchepukaji uwe ndoa? Na huenda hata mke wako na mume wake mchepuko wako wanapendana pia sasa why don't you do cross multiplication? [emoji848]
Ni kwamba mumewe hakubaliki kwao mpaka utambuliwe wewe au ni nini?
Dahπ€π€Hapana chief tumeanza ku date wote tukiwa na miaka mitano kwenye ndoa. Tumeenda mbali sana mpaka ndugu zake na mama ananifahamu. Kuna shughuli tuna hudhuria kama couples.
Chifu unaendeleaje na anniversary?Siku ya jumamosi tarehe 5/6/2021 tutakuwa tunaazimisha miaka 15 ya mahusinano na mchepuko wangu. Kila mmoja ana ndoa yake ila tumebarikiwa kuishi kwa miaka 15 tukiwa kwenye mahusiano bila ya kushtukiwa.
Tunaomba support yenu wadau.
Bado Kuna ukimwi tu?Usisahau kupima miwaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kudadeki dunia haiko fair aiseeeEti njemba nayo ina mke wakati mke hafanyi chochote bila ruhusa ya mchepuko. Mume anataka papuchi leo...,,usimpe si unajua tuna kutana weekend? Mwambie wewe unaumwa tukishakutana weekend ndiyo unaweza kumpa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kudadeki dunia haiko fair aiseee
Kwani anavyomla inapungua kiasi kwamba itafika mahali itaisha na mumewe ataikosa?Miaka 15 unakula mke wa mwenzio imagine ingekuwa wewe ungefurahi? Acha upuuzi wewe sio sifa izo muache mke wa mwenzio usione sifa ya kuongea usenge kama huu.
Uanaume kamili sio kutembea na wake za watu mimi nafanya lkn naheshimu sana mke wa mtu eb acha sio sifa huwezi jua mwenzio kamtoa wapi. Tunajua sote wanawake hawa wengine hawajielewi unamtoa mbali unamtunza mpka anapendeza unagharamikia mpka anaonekana af jamaa mmoja tu anakuja kutoa sifa za kipuuzi juu ya mke wako yani anamnyandua miaka 15 asee acha acha kabisa usione fahari hata kama mwanamke hajitambui anza kujitambua wewe.
Unajiongeza vipi, au unawapa support mashemeji ada za vyuo?Najiongeza sana kwa mashemeji ndio mana nakubalika
Jiwe hili zito sanaMtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake........
Mwanadamu anapoachana na matumizi ya fahamu zake anajiweka karibu na mabalaa makubwa pasi na yeye kujua.....Mungu ametupa akili na fikra ili vituongoze kwa faida yetu.......lakini unaporuhusu mahaba yaamue hatima yako jua upo karibu na anguko lako....
DUNIA MSONGAMANO.......
Chifu unaendeleaje na anniversary?
Vipi home Napo mama ameshare anniversary yake ya kitaa??
Hahahahaaaaaa
Hii dunia aisee
Unajiongeza vipi, au unawapa support mashemeji ada za vyuo?
HahahaaaaHahahaha anniversary imeenda vizuri sana. Tulikuwa kama watu 12 na dada zake.
Najiandaa hapa we are meeting for lunch