Anniversary ya miaka 15 na mke wa mtu

Anniversary ya miaka 15 na mke wa mtu

Nimegundua watu wengi sana mnaamini kwamba mtu anaefanya mambo mabaya tu ndio nayeye hua anapatwa na mabaya! Kwamba eti ukichepuka na wewe wako ataliwa..!!

Guess what?

Maisha hayako hivyo! Hili jamaa linaweza likachepuka mpaka likazeeka na lisipate janga lolote, wakati kuna watu hata hawajawahi kuchepuka lakini kila siku mabalaa left right and center.

Mi nafikiri we ukiona kuchepuka ndio mwendo we chepuka tuu, kwani nini bana.? Maisha haya ata uwe malaika bado tabu ziko palepale na mwisho wa siku utakufa tuu so enjoy as much as u can.
 
Mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake........

Mwanadamu anapoachana na matumizi ya fahamu zake anajiweka karibu na mabalaa makubwa pasi na yeye kujua.....Mungu ametupa akili na fikra ili vituongoze kwa faida yetu.......lakini unaporuhusu mahaba yaamue hatima yako jua upo karibu na anguko lako....

DUNIA MSONGAMANO.......
Hakika kaka umesema kweli
 
Miaka 15 unakula mke wa mwenzio imagine ingekuwa wewe ungefurahi? Acha upuuzi wewe sio sifa izo muache mke wa mwenzio usione sifa ya kuongea usenge kama huu.
Uanaume kamili sio kutembea na wake za watu mimi nafanya lkn naheshimu sana mke wa mtu eb acha sio sifa huwezi jua mwenzio kamtoa wapi. Tunajua sote wanawake hawa wengine hawajielewi unamtoa mbali unamtunza mpka anapendeza unagharamikia mpka anaonekana af jamaa mmoja tu anakuja kutoa sifa za kipuuzi juu ya mke wako yani anamnyandua miaka 15 asee acha acha kabisa usione fahari hata kama mwanamke hajitambui anza kujitambua wewe.
 
Siku ya jumamosi tarehe 5/6/2021 tutakuwa tunaazimisha miaka 15 ya mahusinano na mchepuko wangu. Kila mmoja ana ndoa yake ila tumebarikiwa kuishi kwa miaka 15 tukiwa kwenye mahusiano bila ya kushtukiwa.

Tunaomba support yenu wadau.


Mkeo nae anatimiza 15 na Mr.B bila wewe kujua
 
Siku ya jumamosi tarehe 5/6/2021 tutakuwa tunaazimisha miaka 15 ya mahusinano na mchepuko wangu. Kila mmoja ana ndoa yake ila tumebarikiwa kuishi kwa miaka 15 tukiwa kwenye mahusiano bila ya kushtukiwa.

Tunaomba support yenu wadau.


Support ya uzinzi?
Hapana chief tumeanza ku date wote tukiwa na miaka mitano kwenye ndoa. Tumeenda mbali sana mpaka ndugu zake na mama ananifahamu. Kuna shughuli tuna hudhuria kama couples.
Lazima itakuwa huyo bwana anajua lakini kuna baadhi huwa hawajali sana au ana matatizo kwenye shughuli.
 
Bro wivu yani kama yote. Kwanza hawezi toka na mumewe out bila ya ruhusa yangu. Kuna wakati tunagombana ndugu wanatuweka chini kutupatanisha.
Halafu munalalamika eti South Africa wanataka kupitisha sheria ya mke mmoja waume wengi, sasa hii ya kwako ni nini?
 
Mkuu unamtakia nini mwanaume mwenzako[emoji23][emoji23]
 
Duh! Miaka 15 mtu anapigiwa mkewe!!!!
😩😩😩😩😩
Siku ya jumamosi tarehe 5/6/2021 tutakuwa tunaazimisha miaka 15 ya mahusinano na mchepuko wangu. Kila mmoja ana ndoa yake ila tumebarikiwa kuishi kwa miaka 15 tukiwa kwenye mahusiano bila ya kushtukiwa.

Tunaomba support yenu wadau.


 
Sasa si umuoe tu, kwa nini waficha ficha
Waatuuuu,

Ule mchepuko wako wa kipindi kile bado mnaendelea au mmeachana...!.!??😅😅

Kilichojificha/kilichofichwa kina hamu na ushawishi mkubwa wa kuonwa/onjwa/kuliwa halafu ni kitamu vs kilicho wazi/free/ available..
 
Tafuta samli kabisa Mkuu 😂😂😂😂
Hahahahah mimi kama mumewe pamoja na genge langu tutajumuika kukupaka mafuta ya kimbo panapo kiboga! Jiandae kisaikolojia kwa Annivesary ya kukata na Sime!
 
Chai Hizi... Hivi huwa mnajisikiaje Kutunga Story Humu JF??
Huwezi kuamini lakini tulikuwa na shemegi yetu yaani dizaini hii, alikaa na mke wa mtu amezaa naye mtoto mmoja na mtaani wote pale tulikuwa tunajua. Mkewe pia alikuwa anajua pamoja na mume wa yule mama lakini jamaa alikuwa kimya tu.

Sasa hivi mume wa huyo mama amefariki ndiyo akaamua kumuoa kama mke wa pili na mpaka leo hii anae.
 
Mkuu, kwa mamlaka niliyonayo nakutunuku shahada ya uzamivu wa mchepuko mmoja na siyo mtambuka
 
Lau Kama ningekua sijaoa sijui ingekuaje kwa ipande wangu kuhusu ndoa, maana mada za hapa jf Ni dhahiri bila Shari swala la ndoa halitakua lepesi kwa ambae hajaingia huko kuingia.
Nakushauri ukipata nafasi angalia divorce court, couples court au paternity court utaona madai mengi ni ya aina hii.
 
Mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake........

Mwanadamu anapoachana na matumizi ya fahamu zake anajiweka karibu na mabalaa makubwa pasi na yeye kujua.....Mungu ametupa akili na fikra ili vituongoze kwa faida yetu.......lakini unaporuhusu mahaba yaamue hatima yako jua upo karibu na anguko lako....

DUNIA MSONGAMANO.......

Well said... best quote of the month mkuu
 
Back
Top Bottom